Ijue kozi ya Diploma in Diagnostic Radiography (DDR)

Siyo kirahisi Kama unavyofikiria wewe.
Kuna special accessories kumkinga radiographer from scattered radiations.
Lakini pia wafanya kazi wa radiology department huwa wanarotation katika modalities mbalimbali. Mfano leo unakuwa CT SCAN kesho unakuwa MRI( ambayo hii haitumii mionzi) etc, so unakuwa haukai sehemumoja

Udhamini haupo! Ni wewe mwanafunzi na mzazi wako, though mazingira ni friendly Sana unalipa ada kwa awamu mbili (semester ya Kwanza na semester ya pili)
Kozi moja nzuri sana. Na soko duniani lipo la kutosha.
 
Ddr ni kozi ambayo haifahamiki sana miongoni mwa watu.

Diploma in diagnostic radiography inatolewa na vyuo viwili tu Tanzania ambavyo ni muhas and cuhas
. Ni kozi ambayo degree yake inatolewa na cuhas tu hapa Tanzania lakini pia muhas Wana mpango was kuanzisha degree yake.

Kiufupi katika kozi hii mwanafunzi atafundishwa kuchunguza (diagnose) abnormalities (diseases, trauma etc) kwa kutumia mionzi (radiations) mfano mwanafunzi atafundishwa jinsi ya kutumia x-ray machine, CT SCAN, MRI(non-radiation use), ultrasound machine ili kuchunguza magonjwa (cancer, bone diseases etc) ndani ya mwili wa binadamu lakini pia mtu akipata ajali lazima utafundishwa kuangalia sehemu ya mwili iliyoumia (Traumatic cases) kwa kutumia mionzi.

Kozi hii ni miaka mitatu (duration) na kozi hii ipo under TCU and not under NACTE Kama kozi zingine za diploma.
Kwa maelezo zaidi juu ya kozi hii nzuri unaweza kuyapata kupitia websites za vyuo husika (muhas na cuhas).

Ukipata bahati ya kuchaguliwa muhas utafaidi Sana maana vifaa (modalities such as x-ray machine, CT SCAN, MRI, ultrasound machine, Angiography machine, flouroscopy etc) ni vingi Sana so utakuwa na ujuzi mwingi lakini pia resources zingine Kama vitabu ni vingi Sana maana Kuna Muhas Library 24/7 inafunguliwa kwahiyo mwanafunzi atapata maarifa na ujuzi mwingi Sana katika kozi hii.

Mwisho Kabisa wanafunzi huwa wanafanya rotation zao katika hospitali Kama vile Muhimbili national hospital, Muhimbili orthopaedic institute (MOI), Ocean road Cancer institute (ORCI), Mloganzila Muhimbili hospital.

Nakualika wewe kijana mwenzangu uliye na ndoto za kusoma afya Kama una vigezo karibu usome hii kozi hautojutia maamuzi yako.

Lordfrank student at muhas.
Vipi ukimaliza hii kozi unawwza kusoma degree yake kwa form four leaver
 
Samahan wakuu naomba kuuliza hiv mtu akiomba chuo ngaz ya diploma baada ya akapata Kama must au udsm analipa ada kias gani
 
This time around we don't focus much kwenye mishahara but nachojua hii kozi ni nzuri Sana hata kwenye kujiajili.

Note: Bachelor yake imeanzisha na muhas pia mwaka huu.
 
Ddr ni kozi ambayo haifahamiki sana miongoni mwa watu.

Diploma in diagnostic radiography inatolewa na vyuo viwili tu Tanzania ambavyo ni muhas and cuhas
. Ni kozi ambayo degree yake inatolewa na cuhas tu hapa Tanzania lakini pia muhas Wana mpango was kuanzisha degree yake.

Kiufupi katika kozi hii mwanafunzi atafundishwa kuchunguza (diagnose) abnormalities (diseases, trauma etc) kwa kutumia mionzi (radiations) mfano mwanafunzi atafundishwa jinsi ya kutumia x-ray machine, CT SCAN, MRI(non-radiation use), ultrasound machine ili kuchunguza magonjwa (cancer, bone diseases etc) ndani ya mwili wa binadamu lakini pia mtu akipata ajali lazima utafundishwa kuangalia sehemu ya mwili iliyoumia (Traumatic cases) kwa kutumia mionzi.

Kozi hii ni miaka mitatu (duration) na kozi hii ipo under TCU and not under NACTE Kama kozi zingine za diploma.
Kwa maelezo zaidi juu ya kozi hii nzuri unaweza kuyapata kupitia websites za vyuo husika (muhas na cuhas).

Ukipata bahati ya kuchaguliwa muhas utafaidi Sana maana vifaa (modalities such as x-ray machine, CT SCAN, MRI, ultrasound machine, Angiography machine, flouroscopy etc) ni vingi Sana so utakuwa na ujuzi mwingi lakini pia resources zingine Kama vitabu ni vingi Sana maana Kuna Muhas Library 24/7 inafunguliwa kwahiyo mwanafunzi atapata maarifa na ujuzi mwingi Sana katika kozi hii.

Mwisho Kabisa wanafunzi huwa wanafanya rotation zao katika hospitali Kama vile Muhimbili national hospital, Muhimbili orthopaedic institute (MOI), Ocean road Cancer institute (ORCI), Mloganzila Muhimbili hospital.

Nakualika wewe kijana mwenzangu uliye na ndoto za kusoma afya Kama una vigezo karibu usome hii kozi hautojutia maamuzi yako.

Lordfrank student at muhas.
Kk nackia imeunganishwa na rtt na itakuwa n 4yrs
 
Kk iyo itakuw coz nzur au co na salary yke ina range sh ngap
Mkuu kuhusu mshahara nitakudanganya but the truth is hii ni kozi nzuri inakufanya ujiajili mwenyewe.

Hii kozi inakufanya uanze kupata some money ukiwa chuoni Kama unajua vizuri modalities zote mfano ukiwa unajua x-ray, CT SCAN, MRI Vizuri chiefu anaweza kukwambia umshikie zamu yake ya usiku maanake hapo anakupa hela kidogo so maisha yanasonga mbele.

Kiukweli nisiseme Sana Ila hii kozi ukisoma hautojutia hata siku Moja.
 
Mtoa maada unapoulizwa jibu kwa ukamilifu. Nashangaa unavyodanganya kwamba ada ya DDR ni 400K bila kuwa specific. Mimi nalipa ada 1.2M kwa DDR kwa hiyo eleza vema kwamba mtu akipata bahati ya kuchaguliwa kama regular student ndo atalipa 400K otherwise akichaguliwa DDR-Evening ada ni 1.2M na michango mingine kibao.
Nimedanganya au nimesema ukweli, hivi unaelewa maana ya kudanganya mkuu!?.

Laki nne hawalipi!?, Comment yako ingekuwa Kama additional ya kitu ambacho sikukiandika Mimi!

Unakwama wapi mkuu😂😂
 
Back
Top Bottom