Darwin james
Member
- Oct 18, 2023
- 20
- 12
Habari zenu wakuu,
Naitwa Jason kwa sasa nasoma Chuo Cha uhasibu Arusha (IAA), kozi ni Bachelor Degree in Computer Science naingia sasa mwaka wa pili lakini nina dukuduku nyumbani wanasema hii kozi nitahangaika huko mbeleni kupata kazi ya maslahi ni bora ningekua nasoma Afya kungeweza kuwa na afadhali, lakini Sasa nimeshasoma mwaka mmoja.
Kuna wazo limeniijia kichwani kwamba niachane nayo alafu nikasome Diploma kozi ya Afya (Diagnostic Radiography).
Naombeni ushauri wakuu lipi wazo Bora kuendelea nayo au nikasome hyo Diploma ya kozi ya Afya.
Ahsanteni 🙏🙏🙏
Naitwa Jason kwa sasa nasoma Chuo Cha uhasibu Arusha (IAA), kozi ni Bachelor Degree in Computer Science naingia sasa mwaka wa pili lakini nina dukuduku nyumbani wanasema hii kozi nitahangaika huko mbeleni kupata kazi ya maslahi ni bora ningekua nasoma Afya kungeweza kuwa na afadhali, lakini Sasa nimeshasoma mwaka mmoja.
Kuna wazo limeniijia kichwani kwamba niachane nayo alafu nikasome Diploma kozi ya Afya (Diagnostic Radiography).
Naombeni ushauri wakuu lipi wazo Bora kuendelea nayo au nikasome hyo Diploma ya kozi ya Afya.
Ahsanteni 🙏🙏🙏