Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,916
Huwezi kufananisha Roma na soko la kariakoo nduguNdio kwani Roma ilichukua miaka mingapi? Unashangaa kariakoo?
Huwezi kufananisha Roma na soko la kariakoo nduguNdio kwani Roma ilichukua miaka mingapi? Unashangaa kariakoo?
Nilisha jua utaongea hivyo. Sawa Kaka.Huwezi kufananisha Roma na soko la kariakoo ndugu
Umeanza lini utabiri? Kwani nilichoandika ni uongo?Nilisha jua utaongea hivyo. Sawa Kaka.
Ww na kuzimu damu damu kigagula, hata biashara yako inakaa maeneo yanayofanana.Limesalimika mtani langu liko kule shimoni wanakoita lango la kuzimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikutaka kelele na waja...Ww na kuzimu damu damu kigagula, hata biashara yako inakaa maeneo yanayofanana.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Hiyo yako ni inferiority complex, wanaume hatuwi na roho za hivyo. Mshana jr anafanya vizuri sana kushare na wengine kile anacholipata, sasa ukisema anataka sifa basi una yako mengine. Mimi wa mkoani leo nimejua mengi kuhusu soko hilo na nimeisoma habari yote na mwisho ame acknowledge source. Asante Mshana jrWewe ndio mpuuzi mpenda sifa za kijinga,ukiona vimeseji vinazunguka WhatsApp unakimbilia kuvileta huku JF ili usifiwe.
Msamehe bure .. ! Ukimuona mtu mwenyewe utamhurumia sana..!!!!Hiyo yako ni inferiority complex, wanaume hatuwi na roho za hivyo. Mshana jr anafanya vizuri sana kushare na wengine kile anacholipata, sasa ukisema anataka sifa basi una yako mengine. Mimi wa mkoani leo nimejua mengi kuhusu soko hilo na nimeisoma habari yote na mwisho ame acknowledge source. Asante Mshana jr
Ila kiukweli usiku kunatisha sana...hasa ile mida mibaya
Hata kwako kigagula ?Ila kiukweli usiku kunatisha sana...hasa ile mida mibaya
Huyo ndio wale uliowashikia akili ambao hua wanakuona bonge la great thinker kumbe ni bingwa wa copy & paste,Msamehe bure .. ! Ukimuona mtu mwenyewe utamhurumia sana..!!!!
Endelea kushikiwa akili na huyo bingwa wa copy & paste.Hiyo yako ni inferiority complex, wanaume hatuwi na roho za hivyo. Mshana jr anafanya vizuri sana kushare na wengine kile anacholipata, sasa ukisema anataka sifa basi una yako mengine. Mimi wa mkoani leo nimejua mengi kuhusu soko hilo na nimeisoma habari yote na mwisho ame acknowledge source. Asante Mshana jr
Hata wananazuoni ucopy kazi za wenzao na si kosa kabisa, ukisema ametushika akili unakosea sana. Kwa yeyote aliyesoma saikolojia atakuambia wewe una lako jambo, na jambo lenyewe ni wivu wa kiume. Sharing is caringHuyo ndio wale uliowashikia akili ambao hua wanakuona bonge la great thinker kumbe ni bingwa wa copy & paste,
Eti "ukimuona utamhurumia" kwa vile umemshikia akili anaweza kukuamini hata kwa hiyo kauli,
Wewe huna lolote,endelea kuwaburuza hao hao tu,u much know mwingi kumbe pumba tu.
Kajifundishe kwanza kuandika kisha ndio uje tujadili.Hata wananazuoni ucopy kazi za wenzao na si kosa kabisa, ukisema ametushika akili unakosea sana. Kwa yeyote aliyesoma saikolojia atakuambia wewe una lako jambo, na jambo lenyewe ni wivu wa kiume. Sharing is caring
na jambo lenyewe ni wivu wa kiumeHata wananazuoni ucopy kazi za wenzao na si kosa kabisa, ukisema ametushika akili unakosea sana. Kwa yeyote aliyesoma saikolojia atakuambia wewe una lako jambo, na jambo lenyewe ni wivu wa kiume. Sharing is caring
Nadhani kaka yetu Charles Hilary alisikia ombi lako.Mshana Jr, huu Uzi mzuri Sana, ilitakiwa uletwe kwa namna ya masimulizi ya sauti (audiobook)
Thanks kwa usaidiziNadhani kaka yetu Charles Hilary alisikia ombi lako.