Ngwakwiii
JF-Expert Member
- Dec 6, 2019
- 426
- 526
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu
Kariakoo ndilo soko utakalo kuta machinga anauza bidhaa haswa nguo zinazofanana na mwenye duka yy anapiga debe kwa mbele dukani vijana wa kazi wanaangalia kama wa msiba
Kariakoo ndilo soko ambalo machinga na mishkaki yao watapita hata kwenye chochoro bila hata kuangalia nani watamuunguuza wao wanahitaji chapaa pekee
Kariakoo market ndilo soko pekee utakuta vipaza sauti vinazidi kelele kuliko hata wateja wenyewe
Kariakoo ndio soko ambalo kipindi cha sikukuu wanawake wengi wanaiba mizigo ya wateja kuliko wanaume
Kariakoo ndio soko zuri East Africa kuliko masoko yote kwa usafi mpangilio kuliko maaoko yote.
Unaweza jazia sifa nyingine za soko la kariakoo kama unazifahamu ndg mwana Jf
Kariakoo ndilo soko utakalo kuta machinga anauza bidhaa haswa nguo zinazofanana na mwenye duka yy anapiga debe kwa mbele dukani vijana wa kazi wanaangalia kama wa msiba
Kariakoo ndilo soko ambalo machinga na mishkaki yao watapita hata kwenye chochoro bila hata kuangalia nani watamuunguuza wao wanahitaji chapaa pekee
Kariakoo market ndilo soko pekee utakuta vipaza sauti vinazidi kelele kuliko hata wateja wenyewe
Kariakoo ndio soko ambalo kipindi cha sikukuu wanawake wengi wanaiba mizigo ya wateja kuliko wanaume
Kariakoo ndio soko zuri East Africa kuliko masoko yote kwa usafi mpangilio kuliko maaoko yote.
Unaweza jazia sifa nyingine za soko la kariakoo kama unazifahamu ndg mwana Jf