Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr. Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?

Wanabodi
Juzi September Mosi Imetolewa taarifa ya Ikulu kumhusu aliyekuwa Balozi Dr. Wilbroad Slaa kufutiwa hadhi ya Ubalozi, taarifa hiyo ya Ikulu haikutoa sababu za kumfutia hadhi hiyo ya Ubalozi.

Hatua hii imezua mijadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii wengi waki speculates sababu za kufutiwa hadhi ya Ubalozi ni kwasababu ya ukosoaji wake wa mkataba wa DPW na Bandari zetu.

Kwanza naomba ifahamike wazi, hakuna kosa lolote kwa mtu yoyote, mwenye hadhi yoyote, kufanya ukosoaji wowote, wa jambo lolote, as long as ukosoaji huo haukiuki sheria yoyote.

Hivyo Dr. Wilbroad Slaa ana haki ya kukosoa jambo lolote kama ilivyotolewa na ibara ya 18 ya Katiba yetu kwenye freedom of speech and expression.

Ubalozi ni hadhi ya kimataifa inayoendana na rights na privileges fulani fulani zikiandamana na immunities, hivyo ubalozi una masharti ya kufuatwa mtu unapokuwa Balozi na kuna vitu hutakiwi kuvifanya.

Hili ni bandiko elimishi kuhusu
Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr.Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?

Miongoni mwa privileges na immunities za diplomatic status ni pamoja na kinga ya kibalozi, ya kutokushitakiwa popote kwa kosa la jinai.

Mtu yoyote mwenye hadhi ya Ubalozi akitenda jinai yoyote, kabla hajapandishwa mahakamani kushitakiwa, hatua ya kwanza ni kuvuliwa kwanza hadhi ya Ubalozi, ndipo aweze kushitakika kwasababu hadhi ya Ubalozi ina kinga ya kibalozi kutokushitakiwa.

Kuna msemo wa Kiswahili usemao, ukiona zinduna, ujue ambari iko nyuma!, au dalili ya mvua ni mawingu na panapo fuka moshi chini kuna moto!.

Kuvuliwa huku Ubalozi kwa Dr. Slaa ni Zinduna, ni mawingu, ni kufuka tuu kwa moshi, ajiandae kuipokea Ambari, kujikinga na mvua na kuuzima moto unaokuja.

Hii sio mara ya kwanza kwa mtu mwenye hadhi ya Ubalozi kuvuliwa hadhi hiyo, wa kwanza ni balozi wetu wa kwanza jijini London nchini Uingereza Balozi Christopher Kasanga Tumbo, alivuliwa Ubalozi na kushitakiwa kwa jinai enzi za Nyerere. Mwingine ni Balozi Antony Pastor Ngaiza alivuliwa Ubalozi na kushitakiwa kwenye ile kesi ya uhaini ya mwaka 1982. Pia Balozi Prof. Costa Rick Mahalu akivuliwa hadhi ya Ubalozi na kushitakiwa kwa uhujumu ununuzi wa jengo la Ubalozi wa Tanzania jijini Rome nchini Italy, alliposhinda kesi na kukutwa hana hatia, alirejeshewa Ubalozi wake.
.
Hivyo hata kwa Dr. Slaa, tusubirie yatokanayo na kufutiwa hadhi hii ya Ubalozi, yakishindwa kuthibitishwa, anarejeshewa Ubalozi wake.

Kwa vile hili ni bandiko elimishi, nitakuelimisha kidongo na kwa kifupi
  1. Hadhi ya Ubalozi ni nini?
  2. Sifa za mtu kuwa na hadhi ya Ubalozi ni zipi?
  3. Kuna cheo cha Ubalozi (career diplomats) na Ubalozi wa kuteuliwa.
  4. Privileges za diplomatic status ni zipi?.
  5. Ijue diplomatic immunity
  6. Je kila Balozi lazima awakilishe nchi ubalozini?
  7. Jee maofisa wote ubalozini ni mabalozi au wana hadhi za Ubalozi?
  8. Wajue Local Staff ubalozini wasio na hadhi za Ubalozi
  9. Ukifanya makosa gani unapoteza hadhi ya Ubalozi?
  10. Jee kila diplomat anayefanya jinai ni lazima avuliwe Ubalozi?.
  11. Ijue diplomatic Bag?
  12. Jee mwenye diplomatic status ni Balozi?.
  13. Jee kila mwenye diplomatic passport ni diplomats?
  14. Maisha baada ya kuvuliwa Ubalozi, psychological depression etc.
  15. Wajue Wafanya Biashara Matajiri wenye diplomatic status na sio mabalozi!
Kufuatia hii topic ni topic ndefu hivyo nakwenda nayo mdogo mdogo, saa hizi nawahi misa ya kwanza, baada ya misa nitaikamilisha
Itaendelea...

Paskali
Mwandishi ni mwana habari aliyefanya kazi ubalozi fulani kwa miaka 4, ila kufutia fani yake ya uandishi wa habari, ametembelea Balozi za Tanzania katika nchi nyingi za Africa, Ulaya. Asia na America.
VIENNA CONVENTION 1961 inaanza kumlinda mtu huyo, yaani anapata upendeleo & kinga (privileges & immunity) za KIDIPLOMASIA.

Lakini, KINGA hii inaweza kuondolewa kwa muda, na wakati wowote na nchi yake (sending state) – inaitwa "WAVER"; Article 32 ya VIENNA CONVENTION, 1961. Isipokuwa, "WAVER" hutokea tu pale ambapo "receiving state" inapeleka maombi kwa "sending state" kwamba Balozi aondolewe KINGA ili atoe ushahidi mahakamani, akamatwe au ashtakiwe kwa kosa la jinai (under the local criminal jurisdiction). Nchi ya kituo cha kazi cha Balozi haiwezi kumnyang'anya Balozi kinga au haki hizo za KIDIPLOMASIA kama Balozi huyo si raia wake.

Hata hivyo, Balozi akimaliza muda wake wa utumishi nje ya nchi yake, au kama amerudishwa nyumbani (recall), pale tu anapoondoka kwenye nchi ya kituo chake cha kazi, anapoteza KINGA hiyo; Article 39(2) ya VC. Lakini, bado mtu huyo ataendelea kutambulika na hadhi ya Kibalozi anaporudi nyumbani. Ataitwa "Balozi mstaafu", kama anavyoitwa Rais au Waziri au Jaji mstaafu.

Under common law jurisdiction & Diplomatic law, Rais Samia ana MAMLAKA ya kumwondolea mtu "immunity" ili ashtakiwe kwa kosa la jinai, lakini Rais hana mamlaka ya kufuta "HADHI YA UBALOZI" wake kwa sababu hadhi hiyo inatokana na sheria za Kimataifa na Rais Samia hajapewa UWEZO wa kuingilia sheria hizo, isipokuwa tu kama sheria hizo zingetamka wazi! Kwa VIENNA CONVENTION ya 1961, au sheria zingine hazijatoa mamlaka hayo kwa Rais wa nchi yoyote.

Hakuna, kwenye sheria zetu za ndani au za Kimataifa umewekwa utaratibu wa kunyang'anya hadhi ya Ubalozi ya mtu, isipokuwa tu kumwondolea kinga ili ashtakiwe kwenye mahakama za nchi ya kituo chake cha utumishi. Hili suala hapa nyumbani, linafanyika KISIASA tu.

Hivyo, kwa msimamo huu wa kisheria, Dr. Willibrod Peter Slaa
 
VIENNA CONVENTION 1961 inaanza kumlinda mtu huyo, yaani anapata upendeleo & kinga (privileges & immunity) za KIDIPLOMASIA.

Lakini, KINGA hii inaweza kuondolewa kwa muda, na wakati wowote na nchi yake (sending state) – inaitwa "WAVER"; Article 32 ya VIENNA CONVENTION, 1961. Isipokuwa, "WAVER" hutokea tu pale ambapo "receiving state" inapeleka maombi kwa "sending state" kwamba Balozi aondolewe KINGA ili atoe ushahidi mahakamani, akamatwe au ashtakiwe kwa kosa la jinai (under the local criminal jurisdiction). Nchi ya kituo cha kazi cha Balozi haiwezi kumnyang'anya Balozi kinga au haki hizo za KIDIPLOMASIA kama Balozi huyo si raia wake.

Hata hivyo, Balozi akimaliza muda wake wa utumishi nje ya nchi yake, au kama amerudishwa nyumbani (recall), pale tu anapoondoka kwenye nchi ya kituo chake cha kazi, anapoteza KINGA hiyo; Article 39(2) ya VC. Lakini, bado mtu huyo ataendelea kutambulika na hadhi ya Kibalozi anaporudi nyumbani. Ataitwa "Balozi mstaafu", kama anavyoitwa Rais au Waziri au Jaji mstaafu.

Under common law jurisdiction & Diplomatic law, Rais Samia ana MAMLAKA ya kumwondolea mtu "immunity" ili ashtakiwe kwa kosa la jinai, lakini Rais hana mamlaka ya kufuta "HADHI YA UBALOZI" wake kwa sababu hadhi hiyo inatokana na sheria za Kimataifa na Rais Samia hajapewa UWEZO wa kuingilia sheria hizo, isipokuwa tu kama sheria hizo zingetamka wazi! Kwa VIENNA CONVENTION ya 1961, au sheria zingine hazijatoa mamlaka hayo kwa Rais wa nchi yoyote.

Hakuna, kwenye sheria zetu za ndani au za Kimataifa umewekwa utaratibu wa kunyang'anya hadhi ya Ubalozi ya mtu, isipokuwa tu kumwondolea kinga ili ashtakiwe kwenye mahakama za nchi ya kituo chake cha utumishi. Hili suala hapa nyumbani, linafanyika KISIASA tu.

Hivyo, kwa msimamo huu wa kisheria, Dr. Willibrod Peter Slaa
Hii inaitwa jino kwa jino
 
Wanabodi
Juzi September Mosi Imetolewa taarifa ya Ikulu kumhusu aliyekuwa Balozi Dr. Wilbroad Slaa kufutiwa hadhi ya Ubalozi, taarifa hiyo ya Ikulu haikutoa sababu za kumfutia hadhi hiyo ya Ubalozi.

Hatua hii imezua mijadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii wengi waki speculates sababu za kufutiwa hadhi ya Ubalozi ni kwasababu ya ukosoaji wake wa mkataba wa DPW na Bandari zetu.

Kwanza naomba ifahamike wazi, hakuna kosa lolote kwa mtu yoyote, mwenye hadhi yoyote, kufanya ukosoaji wowote, wa jambo lolote, as long as ukosoaji huo haukiuki sheria yoyote.

Hivyo Dr. Wilbroad Slaa ana haki ya kukosoa jambo lolote kama ilivyotolewa na ibara ya 18 ya Katiba yetu kwenye freedom of speech and expression.

Ubalozi ni hadhi ya kimataifa inayoendana na rights na privileges fulani fulani zikiandamana na immunities, hivyo ubalozi una masharti ya kufuatwa mtu unapokuwa Balozi na kuna vitu hutakiwi kuvifanya.

Hili ni bandiko elimishi kuhusu
Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr.Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?

Miongoni mwa privileges na immunities za diplomatic status ni pamoja na kinga ya kibalozi, ya kutokushitakiwa popote kwa kosa la jinai.

Mtu yoyote mwenye hadhi ya Ubalozi akitenda jinai yoyote, kabla hajapandishwa mahakamani kushitakiwa, hatua ya kwanza ni kuvuliwa kwanza hadhi ya Ubalozi, ndipo aweze kushitakika kwasababu hadhi ya Ubalozi ina kinga ya kibalozi kutokushitakiwa.

Kuna msemo wa Kiswahili usemao, ukiona zinduna, ujue ambari iko nyuma!, au dalili ya mvua ni mawingu na panapo fuka moshi chini kuna moto!.

Kuvuliwa huku Ubalozi kwa Dr. Slaa ni Zinduna, ni mawingu, ni kufuka tuu kwa moshi, ajiandae kuipokea Ambari, kujikinga na mvua na kuuzima moto unaokuja.

Hii sio mara ya kwanza kwa mtu mwenye hadhi ya Ubalozi kuvuliwa hadhi hiyo, wa kwanza ni balozi wetu wa kwanza jijini London nchini Uingereza Balozi Christopher Kasanga Tumbo, alivuliwa Ubalozi na kushitakiwa kwa jinai enzi za Nyerere. Mwingine ni Balozi Antony Pastor Ngaiza alivuliwa Ubalozi na kushitakiwa kwenye ile kesi ya uhaini ya mwaka 1982. Pia Balozi Prof. Costa Rick Mahalu akivuliwa hadhi ya Ubalozi na kushitakiwa kwa uhujumu ununuzi wa jengo la Ubalozi wa Tanzania jijini Rome nchini Italy, alliposhinda kesi na kukutwa hana hatia, alirejeshewa Ubalozi wake.
.
Hivyo hata kwa Dr. Slaa, tusubirie yatokanayo na kufutiwa hadhi hii ya Ubalozi, yakishindwa kuthibitishwa, anarejeshewa Ubalozi wake.

Kwa vile hili ni bandiko elimishi, nitakuelimisha kidongo na kwa kifupi
  1. Hadhi ya Ubalozi ni nini?
  2. Sifa za mtu kuwa na hadhi ya Ubalozi ni zipi?
  3. Kuna cheo cha Ubalozi (career diplomats) na Ubalozi wa kuteuliwa.
  4. Privileges za diplomatic status ni zipi?.
  5. Ijue diplomatic immunity
  6. Je kila Balozi lazima awakilishe nchi ubalozini?
  7. Jee maofisa wote ubalozini ni mabalozi au wana hadhi za Ubalozi?
  8. Wajue Local Staff ubalozini wasio na hadhi za Ubalozi
  9. Ukifanya makosa gani unapoteza hadhi ya Ubalozi?
  10. Jee kila diplomat anayefanya jinai ni lazima avuliwe Ubalozi?.
  11. Ijue diplomatic Bag?
  12. Jee mwenye diplomatic status ni Balozi?.
  13. Jee kila mwenye diplomatic passport ni diplomats?
  14. Maisha baada ya kuvuliwa Ubalozi, psychological depression etc.
  15. Wajue Wafanya Biashara Matajiri wenye diplomatic status na sio mabalozi!
Kufuatia hii topic ni topic ndefu hivyo nakwenda nayo mdogo mdogo, saa hizi nawahi misa ya kwanza, baada ya misa nitaikamilisha
Itaendelea...

Paskali
Mwandishi ni mwana habari aliyefanya kazi ubalozi fulani kwa miaka 4, ila kufutia fani yake ya uandishi wa habari, ametembelea Balozi za Tanzania katika nchi nyingi za Africa, Ulaya. Asia na America.
Kaka Paskali, asante kwa hili. Mimi ni mmoja wa wanaosubria kwa hamu elimu hiyo..!!
 
VIENNA CONVENTION 1961 inaanza kumlinda mtu huyo, yaani anapata upendeleo & kinga (privileges & immunity) za KIDIPLOMASIA.

Lakini, KINGA hii inaweza kuondolewa kwa muda, na wakati wowote na nchi yake (sending state) – inaitwa "WAVER"; Article 32 ya VIENNA CONVENTION, 1961. Isipokuwa, "WAVER" hutokea tu pale ambapo "receiving state" inapeleka maombi kwa "sending state" kwamba Balozi aondolewe KINGA ili atoe ushahidi mahakamani, akamatwe au ashtakiwe kwa kosa la jinai (under the local criminal jurisdiction). Nchi ya kituo cha kazi cha Balozi haiwezi kumnyang'anya Balozi kinga au haki hizo za KIDIPLOMASIA kama Balozi huyo si raia wake.

Hata hivyo, Balozi akimaliza muda wake wa utumishi nje ya nchi yake, au kama amerudishwa nyumbani (recall), pale tu anapoondoka kwenye nchi ya kituo chake cha kazi, anapoteza KINGA hiyo; Article 39(2) ya VC. Lakini, bado mtu huyo ataendelea kutambulika na hadhi ya Kibalozi anaporudi nyumbani. Ataitwa "Balozi mstaafu", kama anavyoitwa Rais au Waziri au Jaji mstaafu.

Under common law jurisdiction & Diplomatic law, Rais Samia ana MAMLAKA ya kumwondolea mtu "immunity" ili ashtakiwe kwa kosa la jinai, lakini Rais hana mamlaka ya kufuta "HADHI YA UBALOZI" wake kwa sababu hadhi hiyo inatokana na sheria za Kimataifa na Rais Samia hajapewa UWEZO wa kuingilia sheria hizo, isipokuwa tu kama sheria hizo zingetamka wazi! Kwa VIENNA CONVENTION ya 1961, au sheria zingine hazijatoa mamlaka hayo kwa Rais wa nchi yoyote.

Hakuna, kwenye sheria zetu za ndani au za Kimataifa umewekwa utaratibu wa kunyang'anya hadhi ya Ubalozi ya mtu, isipokuwa tu kumwondolea kinga ili ashtakiwe kwenye mahakama za nchi ya kituo chake cha utumishi. Hili suala hapa nyumbani, linafanyika KISIASA tu.

Hivyo, kwa msimamo huu wa kisheria, Dr. Willibrod Peter Slaa
Kama nimekuelewa kaka itoshe kusema bwana Slaa bado ni balozi

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo wewe ndiye mshauri wa rais wa JMT?
Hivi sisi hatuna mwanasheria mkuu? Hatuna inside political analysts and advisers? Au washauri wetu wako nje ya mfumo? Mbona vitu vinafanyika halafu vinakuja kuonekana sheria zimekiukwa then unasikia mabadiliko.
Chukua mfano wa suala la ukodishwaji wa bandari. Tunapeleka timu ya wabunge dubai kujifunza na kuona uendeshaji wa DPW, tunarudi bungeni kuja kuridhia mkataba ambao ulishasainiwa tangu mwaka jana! Mfano Bunge lingesema (unless ilishapangwa) tubadilishe baadhi ya vipengele, ingekuwaje?
Suala hili hili tena, mkataba umeshasainiwa lakini tukajikuta kumbe kuna sheria ya ulinzi wa rasilimali inakinzana na baadhi ya vipengele vya mkataba.
Turudi kwenye mada, Dr Slaa amekamatwa na kushitakiwa kwa uhaini, tunakuja kugundua baadae kumbe alikuwa na hadhi ya ubalozi na alitakiwa avuliwe kwanza! Hatukuwa na watu wa kuyaona haya? Wewe umesoma sheria, au inatumika reversal kwa mtu kujipinga mwenyewe baada ya kutoa maamuzi ya awali?
 
Hadhi ya Ubalozi has nothing to do with CCM, tena usikute hata Rais has nothing to do with Dr. Wilbroad Slaa, lakini kwa vile Rais ndio mamlaka, amelazimika kutimiza wajibu wake ili mambo mengine yaendelee, ikukutikana sio kweli na hahusiki, anarejeshewa Ubalozi wake!.
P
Kuwa na hadhi ya ubalozi siyo ajira. Usifananishe kama mtumishi wa umma anapokuwa na jinai, anasimamishwa utumishi, kesi ikiisha, hana hatia, automatically anarudi na utumishi wake. Ubalozi haurudi automatic, ni mpaka impendeze mwenye mamlaka ya uteuzi, nieona nikuweke sawa kdg hapo
 
Tanzania sheria zinatekelezwa kutokana na utashi wa kiongozi aliye madarakani na genge lake. Hata uorodheshe vipi matakwa ya kisheria ya ubalozi, bado utekelezaji utafuata mtazamo wa kiongozi na genge lake. Hivyo utakacholeta ni story za furahisha genge.
Angalia pia waliounga mkono suala la bandari. Utaona kwenye mabadiliko ya baraza
 
Hivi sisi hatuna mwanasheria mkuu? Hatuna inside political analysts and advisers? Au washauri wetu wako nje ya mfumo? Mbona vitu vinafanyika halafu vinakuja kuonekana sheria zimekiukwa then unasikia mabadiliko.
Chukua mfano wa suala la ukodishwaji wa bandari. Tunapeleka timu ya wabunge dubai kujifunza na kuona uendeshaji wa DPW, tunarudi bungeni kuja kuridhia mkataba ambao ulishasainiwa tangu mwaka jana! Mfano Bunge lingesema (unless ilishapangwa) tubadilishe baadhi ya vipengele, ingekuwaje?
Suala hili hili tena, mkataba umeshasainiwa lakini tukajikuta kumbe kuna sheria ya ulinzi wa rasilimali inakinzana na baadhi ya vipengele vya mkataba.
Turudi kwenye mada, Dr Slaa amekamatwa na kushitakiwa kwa uhaini, tunakuja kugundua baadae kumbe alikuwa na hadhi ya ubalozi na alitakiwa avuliwe kwanza! Hatukuwa na watu wa kuyaona haya? Wewe umesoma sheria, au inatumika reversal kwa mtu kujipinga mwenyewe baada ya kutoa maamuzi ya awali?
Elimu za kuunga sana kaka
 
Mimi sio mshauri wa yoyote, ni mtu tuu mwenye ufahahamu wa issues za kidplomasia hivyo kujitolea kuelimisha watu humu kuhusu mtu kufutiwa hadhi ya Ubalozi Hakutokani na Ukosoaji, bali kufutiwa kule ni Zinduna tuu, Ambari iko nyuma...
P
Mkuu Pascal ninamaswali mengi kuhusiana na UBALOZI nafikiri mpaka mada inaisha nitakuwa nimeipata majibu
 
Wanabodi
Juzi September Mosi Imetolewa taarifa ya Ikulu kumhusu aliyekuwa Balozi Dr. Wilbroad Slaa kufutiwa hadhi ya Ubalozi, taarifa hiyo ya Ikulu haikutoa sababu za kumfutia hadhi hiyo ya Ubalozi.

Hatua hii imezua mijadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii wengi waki speculates sababu za kufutiwa hadhi ya Ubalozi ni kwasababu ya ukosoaji wake wa mkataba wa DPW na Bandari zetu.

Kwanza naomba ifahamike wazi, hakuna kosa lolote kwa mtu yoyote, mwenye hadhi yoyote, kufanya ukosoaji wowote, wa jambo lolote, as long as ukosoaji huo haukiuki sheria yoyote.

Hivyo Dr. Wilbroad Slaa ana haki ya kukosoa jambo lolote kama ilivyotolewa na ibara ya 18 ya Katiba yetu kwenye freedom of speech and expression.

Ubalozi ni hadhi ya kimataifa inayoendana na rights na privileges fulani fulani zikiandamana na immunities, hivyo ubalozi una masharti ya kufuatwa mtu unapokuwa Balozi na kuna vitu hutakiwi kuvifanya.

Hili ni bandiko elimishi kuhusu
Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr.Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?

Miongoni mwa privileges na immunities za diplomatic status ni pamoja na kinga ya kibalozi, ya kutokushitakiwa popote kwa kosa la jinai.

Mtu yoyote mwenye hadhi ya Ubalozi akitenda jinai yoyote, kabla hajapandishwa mahakamani kushitakiwa, hatua ya kwanza ni kuvuliwa kwanza hadhi ya Ubalozi, ndipo aweze kushitakika kwasababu hadhi ya Ubalozi ina kinga ya kibalozi kutokushitakiwa.

Kuna msemo wa Kiswahili usemao, ukiona zinduna, ujue ambari iko nyuma!, au dalili ya mvua ni mawingu na panapo fuka moshi chini kuna moto!.

Kuvuliwa huku Ubalozi kwa Dr. Slaa ni Zinduna, ni mawingu, ni kufuka tuu kwa moshi, ajiandae kuipokea Ambari, kujikinga na mvua na kuuzima moto unaokuja.

Hii sio mara ya kwanza kwa mtu mwenye hadhi ya Ubalozi kuvuliwa hadhi hiyo, wa kwanza ni balozi wetu wa kwanza jijini London nchini Uingereza Balozi Christopher Kasanga Tumbo, alivuliwa Ubalozi na kushitakiwa kwa jinai enzi za Nyerere. Mwingine ni Balozi Antony Pastor Ngaiza alivuliwa Ubalozi na kushitakiwa kwenye ile kesi ya uhaini ya mwaka 1982. Pia Balozi Prof. Costa Rick Mahalu akivuliwa hadhi ya Ubalozi na kushitakiwa kwa uhujumu ununuzi wa jengo la Ubalozi wa Tanzania jijini Rome nchini Italy, alliposhinda kesi na kukutwa hana hatia, alirejeshewa Ubalozi wake.
.
Hivyo hata kwa Dr. Slaa, tusubirie yatokanayo na kufutiwa hadhi hii ya Ubalozi, yakishindwa kuthibitishwa, anarejeshewa Ubalozi wake.

Kwa vile hili ni bandiko elimishi, nitakuelimisha kidongo na kwa kifupi
  1. Hadhi ya Ubalozi ni nini?
  2. Sifa za mtu kuwa na hadhi ya Ubalozi ni zipi?
  3. Kuna cheo cha Ubalozi (career diplomats) na Ubalozi wa kuteuliwa.
  4. Privileges za diplomatic status ni zipi?.
  5. Ijue diplomatic immunity
  6. Je kila Balozi lazima awakilishe nchi ubalozini?
  7. Jee maofisa wote ubalozini ni mabalozi au wana hadhi za Ubalozi?
  8. Wajue Local Staff ubalozini wasio na hadhi za Ubalozi
  9. Ukifanya makosa gani unapoteza hadhi ya Ubalozi?
  10. Jee kila diplomat anayefanya jinai ni lazima avuliwe Ubalozi?.
  11. Ijue diplomatic Bag?
  12. Jee mwenye diplomatic status ni Balozi?.
  13. Jee kila mwenye diplomatic passport ni diplomats?
  14. Maisha baada ya kuvuliwa Ubalozi, psychological depression etc.
  15. Wajue Wafanya Biashara Matajiri wenye diplomatic status na sio mabalozi!
Kufuatia hii topic ni topic ndefu hivyo nakwenda nayo mdogo mdogo, saa hizi nawahi misa ya kwanza, baada ya misa nitaikamilisha
Itaendelea...

Paskali
Mwandishi ni mwana habari aliyefanya kazi ubalozi fulani kwa miaka 4, ila kufutia fani yake ya uandishi wa habari, ametembelea Balozi za Tanzania katika nchi nyingi za Africa, Ulaya. Asia na America.
Ibada njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom