Nimweleze nini sasaSasa si uelezee?
Sijawahi kuona mzee mjinga kama wewe.Really?
Seriously?
Ni kweli na wala sina mpango wa kufika huko, route zangu ni Sheghen countries and UK.
Need i say more?
Hata wazungu wanaokuja Tanzania wana hiyari ya kuomba viza kwenye balozi zetu kwenye nchi zao, au viza on arrival airport, hujuwi kitu takataka tu.
Hakuna anayejiuwa kila kitu, ila huwezi kunidanganya vitu vidogo sana kwangu kama hivi.
Nimeanza kusafiri wakati Uingereza Watanzania tulikuwa tunaingia kwa entry tu airport hatukuwa tukiomba viza ubalozini kabla Wapemba hawajatuharibia mwaka 1995 na CUF yao.
Ndio sembuse Comoro nchi ambayo naamini bado swala la choo kwa kila nyumba bado mtihani ndio wawe na condition hizo?
Je una lingine?
Mweleze inavyowezekana kwenda Ufaransa kwa sababu tu uko Mayotte.Nimweleze nini sasa
Umewahi kwenda?Comoro viza unapata ukishafika huko. Acha uongo
Akielezea hili nistuwe tafadhali.Mweleze inavyowezekana kwenda Ufaransa kwa sababu tu uko Mayotte.
NdioUmewahi kwenda?
Tuanzie hapo?
huyo hawezi kuelewa kwa sasa maana amesha seti ubongo wake kuwa haiwezekani.Mweleze inavyowezekana kwenda Ufaransa kwa sababu tu uko Mayotte.
Weka ushahidi ndugu tusitumie maneno.Ndio
1comorian franc=0.0023USD
Iyo thaman unayosema ni ipi mkuu
Kama umesoma vizuri ukaelewa, nilisema sielewi kwanini pesa yao ina thamani ukilinganisha na ya kwetu.1comorian franc=0.0023USD
Iyo thaman unayosema ni ipi mkuu
Yeah na 1 Tzs=0.00043 USD. What's your point?1comorian franc=0.0023USD
Iyo thaman unayosema ni ipi mkuu
Sio yeye tu ambaye haelewi. Hata mimi sielewi unafikaje Ufaransa?huyo hawezi kuelewa kwa sasa maana amesha seti ubongo wake kuwa haiwezekani.
Una kiherehere kama shishi nenda post ya 23Sasa fursa gani umeongelea hapo? Ndo kwenda Mayotte ili uzamie ufaransa? Nilitegemea ungekuja na fursa za kibiashara
Tanx muda mwingine tunatakiwa kuthink ahead tusibeze Sana na kukejeli maarifa ujuzi na taarifa Kama hizi ni Kama tools ya kusaidiana tuyafikie malengoInaendekea.....
FURSA ZA BIASHARA
kama nilivyoeleza hapo juu hii nchi haina kitu chochote Inachozalisha kitu ambacho kinapelekea kuwepo kwa fursa nyingi za biashara.
Kitovu cha biashara ni mji wa Moroni - Grande Comores na asilimia kubwa ya biashara huku zinafanywa na Watanzania, Waanjouni na wabushi (Wamadagascar).
Fusra nyingi za kupiga pesa ziko kwenye bidhaa za chakula; hapa nina maanisha mali mbichi na mali kavu pamoja na biashara ya mifugo.
Bei za bidhaa hukun hubadilika kulingana na demand hivyo kama unataka kufanya biashara lazima ujue ni bidhaa gani haiko sokoni ambapo ukibahatisha kuleta na ukajikuta ni wewe mwenyewe utapiga pesa safi. kwa mfano sasa hivi hakuna mayai hivyo ikitokea mtu akaleta leo basi atauza trei moja kwa elf20.
Biashara ya mifugo nadhani ndio inalipa Sana ila ina changamoto zake.
CHANGAMOTO ZA KUFANYA BIASHARA HUKU
Moja ya changamoto kubwa inayo wakumba wafanyabiashara huku ni UTAPELI, NA HUJUMA; vinara wakubwa kwa utapeli na kuhujumu wafanyabiashara wenzao ni watanzania.
Kwa kifupi niseme kuwa watanzania walioko huku ni wabinafsi na wana roho mbaya sana. hawataki kuona wenzao wakifaidika.
Watanzania wengi walioko huku ni matapeli na wameharibu sana reputation ya watanzania wote