Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,369
Hapa unatupanga sasa, tunaosoma uzi wako tuna exposure kubwa ya kusafiri.Visa ni muhimu na lazima uwe na barua ya mwaliko pamoja na ticket ya kueudi. Na aliekualika lazima agile airport kukupokea. Vinginevyo unaweza kuzuiliw airport