Ijue Comoro: Fursa za Biashara na Changamoto Zake

Inaendekea.....

FURSA ZA BIASHARA

kama nilivyoeleza hapo juu hii nchi haina kitu chochote Inachozalisha kitu ambacho kinapelekea kuwepo kwa fursa nyingi za biashara.

Kitovu cha biashara ni mji wa Moroni - Grande Comores na asilimia kubwa ya biashara huku zinafanywa na Watanzania, Waanjouni na wabushi (Wamadagascar).

Fusra nyingi za kupiga pesa ziko kwenye bidhaa za chakula; hapa nina maanisha mali mbichi na mali kavu pamoja na biashara ya mifugo.

Bei za bidhaa hukun hubadilika kulingana na demand hivyo kama unataka kufanya biashara lazima ujue ni bidhaa gani haiko sokoni ambapo ukibahatisha kuleta na ukajikuta ni wewe mwenyewe utapiga pesa safi. kwa mfano sasa hivi hakuna mayai hivyo ikitokea mtu akaleta leo basi atauza trei moja kwa elf20.

Biashara ya mifugo nadhani ndio inalipa Sana ila ina changamoto zake.

CHANGAMOTO ZA KUFANYA BIASHARA HUKU

Moja ya changamoto kubwa inayo wakumba wafanyabiashara huku ni UTAPELI, NA HUJUMA; vinara wakubwa kwa utapeli na kuhujumu wafanyabiashara wenzao ni watanzania.

Kwa kifupi niseme kuwa watanzania walioko huku ni wabinafsi na wana roho mbaya sana. hawataki kuona wenzao wakifaidika.

Watanzania wengi walioko huku ni matapeli na wameharibu sana reputation ya watanzania wote
Tanx muda mwingine tunatakiwa kuthink ahead tusibeze Sana na kukejeli maarifa ujuzi na taarifa Kama hizi ni Kama tools ya kusaidiana tuyafikie malengo
 
Inaendekea.....

FURSA ZA BIASHARA

kama nilivyoeleza hapo juu hii nchi haina kitu chochote Inachozalisha kitu ambacho kinapelekea kuwepo kwa fursa nyingi za biashara.

Kitovu cha biashara ni mji wa Moroni - Grande Comores na asilimia kubwa ya biashara huku zinafanywa na Watanzania, Waanjouni na wabushi (Wamadagascar).

Fusra nyingi za kupiga pesa ziko kwenye bidhaa za chakula; hapa nina maanisha mali mbichi na mali kavu pamoja na biashara ya mifugo.

Bei za bidhaa hukun hubadilika kulingana na demand hivyo kama unataka kufanya biashara lazima ujue ni bidhaa gani haiko sokoni ambapo ukibahatisha kuleta na ukajikuta ni wewe mwenyewe utapiga pesa safi. kwa mfano sasa hivi hakuna mayai hivyo ikitokea mtu akaleta leo basi atauza trei moja kwa elf20.

Biashara ya mifugo nadhani ndio inalipa Sana ila ina changamoto zake.

CHANGAMOTO ZA KUFANYA BIASHARA HUKU

Moja ya changamoto kubwa inayo wakumba wafanyabiashara huku ni UTAPELI, NA HUJUMA; vinara wakubwa kwa utapeli na kuhujumu wafanyabiashara wenzao ni watanzania.

Kwa kifupi niseme kuwa watanzania walioko huku ni wabinafsi na wana roho mbaya sana. hawataki kuona wenzao wakifaidika.

Watanzania wengi walioko huku ni matapeli na wameharibu sana reputation ya watanzania wote
tanx mda mwingine tunatakiwa kuthink ahead tusibeze Sana na kukejeli maarifa ujuzi na taarifa Kama hizi ni Kama tools ya kusaidiana tuyafikie malengo
 
Iko hivi Comoros ni nchi ya kitu kidogo rushwa na ubwanyenye ni mwingi sana.
Kwa hiyo hata mambo yanavyoendeshwa ni lazima uwe na connection ya kukushika mkono.

1. Nilishuhudi mtanzania akiharibiwa matikiti maji yake kisa kakosana na mamlaka.

2.Ukiwa mgeni ukiwekeza uwekezaji mkubwa huyo aliyekushika mkono anaweza kukufanya kitega uchumi pia.

3.Usafiri ni ndege tena ATC na kuna vindege vingine vidogo nimesahau majina

4.Meli ni kwa ajili ya mizigo, by the time niko kule kuna kampuni ilikuwa inafanya research ya kupeleka meli na hata JMT kupitia JWTZ walitaka kupeleka meli za mizigo.

5.Nchi haiko stable kisiasa, Rais wa madarakani ka edit katiba kaongeza muda, halafu kamuweka lockdown raisi wa Zamani Sambi.

6.Visa, zipo za airport ila mpaka uwe na justificative za wapi unafikia, kifupi jamaa hawako systematic, walishawahi kumzuia jamaa fulani pale airport aliletwa na kampuni.

7.Ukitaka kuona sisi JMT ni matajiri nenda Comoros.

8.Mademu wakali wengi ni wa Kianjouan wana kama mixer.

9.Comoros iko kwenye arab league.

10.Mtanzania unaitwa Mdarisalama

11.Moroni kwa hapa kwetu ni kama pale Rangi tatu
Kutoka Zakhem mpaka Charambe, kwa anayepajua jenga picha hiyo.

12.Fursa za biashara ni za chakula sana sana,zamani mpaka nyama
Mchele( maele),magimbi, ndizi, mayai hivi utauza,jamaa hawaujui ugali.
Watu wanapeleka mpaka ndimu.

13.Kilimo:Ardhi ya Grande Comoros sehemu kubwa ina mawe, kilimo labda kisiwa cha Mohel na Anjouan.

14.Wabongo wapo mpaka mama ntilie, mafundi simu, wauza maduka. Asilimia kubwa ni wazanzibar kutoka na historical back ground kwani kuna mpaka majina ya sehemu kufanana
Mfano ngome kongwe kule kuna Ngome kazi kama sikosei.

15.Lugha ni Chikomore na Kifaransa, Kiingereza chako utawapata wachache, hata mademu itakuwa shida, bora uongee kiswahili wanakuelewa kidogo.

16. Muunganiko wa watanzia upo ila haupo thabiti sana kwa kweli, kuhujumiana, majungu kibiashara kupo sana.

Inatosha hapa
Maandishi ya kiutu uzima, yaliyojitosheleza, hata kipofu anaweza kuona na kiziwi akasikia.

Hii ndio JF niliyokuwa naijuwa mimi.
 
Iko hivi Comoros ni nchi ya kitu kidogo rushwa na ubwanyenye ni mwingi sana.
Kwa hiyo hata mambo yanavyoendeshwa ni lazima uwe na connection ya kukushika mkono.

1. Nilishuhudi mtanzania akiharibiwa matikiti maji yake kisa kakosana na mamlaka.

2.Ukiwa mgeni ukiwekeza uwekezaji mkubwa huyo aliyekushika mkono anaweza kukufanya kitega uchumi pia.

3.Usafiri ni ndege tena ATC na kuna vindege vingine vidogo nimesahau majina

4.Meli ni kwa ajili ya mizigo, by the time niko kule kuna kampuni ilikuwa inafanya research ya kupeleka meli na hata JMT kupitia JWTZ walitaka kupeleka meli za mizigo.

5.Nchi haiko stable kisiasa, Rais wa madarakani ka edit katiba kaongeza muda, halafu kamuweka lockdown raisi wa Zamani Sambi.

6.Visa, zipo za airport ila mpaka uwe na justificative za wapi unafikia, kifupi jamaa hawako systematic, walishawahi kumzuia jamaa fulani pale airport aliletwa na kampuni.

7.Ukitaka kuona sisi JMT ni matajiri nenda Comoros.

8.Mademu wakali wengi ni wa Kianjouan wana kama mixer.

9.Comoros iko kwenye arab league.

10.Mtanzania unaitwa Mdarisalama

11.Moroni kwa hapa kwetu ni kama pale Rangi tatu
Kutoka Zakhem mpaka Charambe, kwa anayepajua jenga picha hiyo.

12.Fursa za biashara ni za chakula sana sana,zamani mpaka nyama
Mchele( maele),magimbi, ndizi, mayai hivi utauza,jamaa hawaujui ugali.
Watu wanapeleka mpaka ndimu.

13.Kilimo:Ardhi ya Grande Comoros sehemu kubwa ina mawe, kilimo labda kisiwa cha Mohel na Anjouan.

14.Wabongo wapo mpaka mama ntilie, mafundi simu, wauza maduka. Asilimia kubwa ni wazanzibar kutoka na historical back ground kwani kuna mpaka majina ya sehemu kufanana
Mfano ngome kongwe kule kuna Ngome kazi kama sikosei.

15.Lugha ni Chikomore na Kifaransa, Kiingereza chako utawapata wachache, hata mademu itakuwa shida, bora uongee kiswahili wanakuelewa kidogo.

16. Muunganiko wa watanzia upo ila haupo thabiti sana kwa kweli, kuhujumiana, majungu kibiashara kupo sana.

Inatosha hapa
Bwana kaijage nauli kutoka dar mpaka comoro inafika shi ngapi kwa makadirio
 
Habari GT,

Nianze kwa kusema kuwa mimi sio muandishi mzuri ila nitajitahidi kuweka vitu katika mpangilio kwa kiasi chake.

Kabla ya kuangalia baadhi ya fursa za biashara zilizoko Comores na changamoto zake, hebu tuangazie kidogob jamii ya watu wa huku katika nyanja za siasa, uchumi na jamii kwa ujumla.

SIASA:
Comores inaundwa na visiwa 4 ambavyo ni Grande Comore, Anjoun, Moheli na Mayyote, japo Mayyote imeng'ang'aniwa na Mfaransa (kwa wale wanaotaka kuzamia Ufaransa hii ndio shortcut; ukifika Mayotte tu hesabu umeshafika Ufaransa).

Kwa sasa hali ya siasa kisiwani humu si shwari kwa sababu inasemekana raisi alieko madarakani amegoma kutoka baada ya mda wake, hivyo wenye zamu yao kuongoza mda wowote wanaweza kukinukisha wakipata support; kwa fununu za mtaani wenye zamu yao, wako tayari kulipa gharama yoyote kwa mtu yeyote atakaeweza kuwasaidia kumg'oa presida; kuna mengi ya kusema hapa ila sio lengo la uzi, hivyo nitashia hapo.

UCHUMI:
Hali ya uchumi wa nchi hii ni mbaya Sana, maana nchi kama nchi haina vitega uchumi zaidi ya bandari, airport, mitandao ya simu na biashara ya kuuza mafuta, gesi na umeme wanao zalisha kwa kutumia magenereta.

Asilimia kubwa ya wanachi Comores wana maisha magumu sana, kiasi kwamba wengi wao wanaishi kwa mlo moja tena kwa kula mikate na vipapatio vya kuku kwa asilimia kubwa (katika watu wanaojua kuutumia vizuri unga wa ngano basi ni wakomoro). huku ukila mapaja ya kuku au nyama ni ufahari.

Licha ya kuwa uchumi wao uko chini, chakushangaza pesa yao iko juu zaidi ya Dola na Euro na juu zaidi ya pesa zetu za madafu. Hapa wataalamu wa uchumi wanaweza kutusaidia how is it possible ukizingatia kuwa 99% ya mahitaji yao yote wanaagiza nje.

JAMII KWA UJUMLA
Jamii ya wakomoro imegawanyika katika makabila matatu ambayo ni waanjuan, wangazija na waanjoun.

Katika jamii za kikomoro, wanawake ndio wenye sauti kuliko wanaume. huku ukioa unatakiwa ukaishi ukweni (mwanaume hana saut) suala la kuchepuka huku ni la kawaida kwa wanandoa; utachapiwa hadharani na huna la kusema.

ustaarabu katika jamii hizi ni sifuri, watu wanakunya hadharani bila kuona aibu; ilimradi tu kuwe na maji ya kuchambia basi mtu atavua nguo na kunya pembeni yako.

watu wa huku wanakula bila kunawa; maji ya kunawa utapewa baada ya kula ama usipewe kabisa

KWA uvivu hawa jamaa wamewashinda wazanzibar; japo nadhani uvivu wa hawa unachangiwa na mlo hafifu.

99% ya watu wa huku ni waislamu; uzuri wao hawana ule ujinga kama wa Zanzibar. Phawana ubaguzi kwa watu wa dini nyingine)

Sasa twende Kwenye Lengo la Uzi.

Inaendelea uk.23....
Soma vizuri hapo kwenye paragraph ya uchumi uliandika nini? Umeandika pesa ya Comoro iko juu ya zaidi dola na euro na pesa yetu ya madafu, hapo ndio umetuacha wengi na mshangao.😲😲
Kama umesoma vizuri ukaelewa, nilisema sielewi kwanini pesa yao ina thamani ukilinganisha na ya kwetu.

Kwa mfano 1000 ya Comoro ni almost 5400 ya kwetu ukiipeleka kwenye USD unapata ngapi?
Soma upya ulichoandika kwenye post yako ya kwanza category ya uchumi.
Yeah na 1 Tzs=0.00043 USD. What's your point?
Hana point yoyote ni mauzauza matupu.

Anataka kuaminisha watu pia kwamba Mayote na ufaransa ni kama Hawaii na Marekani, hizi ni bangi za Malawi.
 
Soma vizuri hapo kwenye paragraph ya uchumi uliandika nini? Umeandika pesa ya Comoro iko juu ya zaidi dola na euro na pesa yetu ya madafu, hapo ndio umetuacha wengi na mshangao.

Soma upya ulichoandika kwenye post yako ya kwanza category ya uchumi.

Hana point yoyote ni mauzauza matupu.

Anataka kuaminisha watu pia kwamba Mayote na ufaransa ni kama Hawaii na Marekani, hizi ni bangi za Malawi.

Hapo nadhani kakosea maelezo,ipo hivi
Comorian franc haijazidi thamani dollar wala euro ila imeizid tshs, kimtaa mtaa kule

1 Euro~ 490- 500 KMF
1 Usd~350- 420 KMF
1 KMF~5.5-6 Tshs

Halafu kuhusu Mayotte na Ufaransa. Mayotte ni oversea department ya ufaransa, France autre-mer kama ilivyo Reunion island,Martinique,Guadeloupe etc. Kuna conditions zake pia za mtu ku move kwenda France Metropolitan( France yenyewe).

Kwa hiyo haimaanishi ukiwa mayote basi unaenda tuu France kama unatoka bara unaenda Zenji.

Huo ndio ufaham wangu wakati niko Comoros
 
Bwana kaijage nauli kutoka dar mpaka comoro inafika shi ngapi kwa makadirio

Usafiri ni wa ndege ATC ilikuwa ina jumamosi, jumanne na alhamisi, then waka change jumanne na alhamisi sijui kwa siku hizi.

Nauli ilikuwa 140,000-160,000 KMF kitu kama around 700,000-800,000 Tshs kama sijakosea.
Ila check na website ya Airtanzania.

Asikudanganye mtu kuwa kuna usafiri wa meli, maana meli zenyewe hata mizigo tuu huwa hakunaga guarantee, kuna mkondo wa Mozambique ni hatari.

So meli huchukua muda mrefu........
 
tanx mda mwingine tunatakiwa kuthink ahead tusibeze Sana na kukejeli maarifa ujuzi na taarifa Kama hizi ni Kama tools ya kusaidiana tuyafikie malengo
Asante kwa kusaidia kufafanua hili. Hilo ndio lengo kubwa la uzi huu. Kuna vitu nimejaribu kuvigusia ambavyo ni muhimu sana.
 
Soma vizuri hapo kwenye paragraph ya uchumi uliandika nini? Umeandika pesa ya Comoro iko juu ya zaidi dola na euro na pesa yetu ya madafu, hapo ndio umetuacha wengi na mshangao.

Soma upya ulichoandika kwenye post yako ya kwanza category ya uchumi.

Hana point yoyote ni mauzauza matupu.

Anataka kuaminisha watu pia kwamba Mayote na ufaransa ni kama Hawaii na Marekani, hizi ni bangi za Malawi.
Wewe naona unatafuta bwana. Tuliza nye hiyo situmii.
 
Hapo nadhani kakosea maelezo,ipo hivi
Comorian franc haijazidi thamani dollar wala euro ila imeizid tshs, kimtaa mtaa kule

1 Euro~ 490- 500 KMF
1 Usd~350- 420 KMF
1 KMF~5.5-6 Tshs

Halafu kuhusu Mayotte na Ufaransa. Mayotte ni oversea department ya ufaransa, France autre-mer kama ilivyo Reunion island,Martinique,Guadeloupe etc. Kuna conditions zake pia za mtu ku move kwenda France Metropolitan( France yenyewe).

Kwa hiyo haimaanishi ukiwa mayote basi unaenda tuu France kama unatoka bara unaenda Zenji.

Huo ndio ufaham wangu wakati niko Comoros
Nilisema mtu akitaka kuzamia France njia nyepesi ni kupitia Mayyote, sijasema eti ukifika Mayyote ndio umefika France.
 
Usafiri ni wa ndege ATC ilikuwa ina jumamosi, jumanne na alhamisi, then waka change jumanne na alhamisi sijui kwa siku hizi.

Nauli ilikuwa 140,000-160,000 KMF kitu kama around 700,000-800,000 Tshs kama sijakosea.
Ila check na website ya Airtanzania.

Asikudanganye mtu kuwa kuna usafiri wa meli, maana meli zenyewe hata mizigo tuu huwa hakunaga guarantee, kuna mkondo wa Mozambique ni hatari.

So meli huchukua muda mrefu........
Shida ya watanzania mnabisha bila kuchunguza.

Narudia tena, kwa sasa kuna Meli inatoka Dar - Moroni na Nauli yake ni 90,0000KMF

Hiyo Meli ilikuwa hapa na imeahageuza kurudi Dar. Jumamosi inategemea kurudi.
 
Usafiri ni wa ndege ATC ilikuwa ina jumamosi, jumanne na alhamisi, then waka change jumanne na alhamisi sijui kwa siku hizi.

Nauli ilikuwa 140,000-160,000 KMF kitu kama around 700,000-800,000 Tshs kama sijakosea.
Ila check na website ya Airtanzania.

Asikudanganye mtu kuwa kuna usafiri wa meli, maana meli zenyewe hata mizigo tuu huwa hakunaga guarantee, kuna mkondo wa Mozambique ni hatari.

So meli huchukua muda mrefu........
Duuh parefu,
shukrani
 
Shida ya watanzania mnabisha bila kuchunguza.

Narudia tena, kwa sasa kuna Meli inatoka Dar - Moroni na Nauli yake ni 90,0000KMF

Hiyo Meli ilikuwa hapa na imeahageuza kurudi Dar. Jumamosi inategemea kurudi.

Sawa, hiyo sina taarifa,navyojua meli za mizigo zenyewe haziko sure,anyway ni kampuni gani?Agency ziko wapi?inatumia muda gani hadi kufika kule?

Wanapandia wapi? Maana pale bandari nishafika mpaka kule kwenye kupeleka mizigo gate la kupitia Central sijui ni namba ngapi lile sijaona kitu.

Share taarifa huru kila mtu apate kujua, 90,000KMF wanalipa Comoros je huku wanalipa Tshs ngapi?
 
Sawa, hiyo sina taarifa,navyojua meli za mizigo zenyewe haziko sure,anyway ni kampuni gani?Agency ziko wapi?inatumia muda gani hadi kufika kule?

Wanapandia wapi? Maana pale bandari nishafika mpaka kule kwenye kupeleka mizigo gate la kupitia Central sijui ni namba ngapi lile sijaona kitu.

Share taarifa huru kila mtu apate kujua, 90,000KMF wanalipa Comoros je huku wanalipa Tshs ngapi?
Bado nafuatilia hizo taarifa.
Wanapandia pale wanapopandia watu wa Zanibar; kwa maelezo niliyoyapata. Kwa sasa ninachojua hiyo Meli itaondoka Jumamosi hii. Kama Uko jirani unaweza kufika hapo

Ni kweli hizo Meli za mizigo haziko consistent; zinasumbua Sana.
 
Back
Top Bottom