happysarah
New Member
- Mar 2, 2022
- 2
- 2
kaka naomba namba yakoNilichelewa kuona hii post umeongea mambo mengi ambayo umetukashif sisi wakomoro na inaonyesha huijui comoro tafadhali rekabisha post yako halafu tuje kukusaidia maana naona umeropokwa mambo mengi umeiponda comoro na ukaipônda zanzibar inaonekana una ubaguzi wa visiwa sisi ndio tunaokaa comores tunaijua comores watanzania ndio namba moja walioiharibu comores kwa kuleta bangi na maunga saivi wamejaa kila kona ya ngazija wengine hata kurudi kwao hawana tena nia ya kuridi ninacho kuomba usiropokwe tu kutoa mambo ambayo huyajui