Ijue Comoro: Fursa za Biashara na Changamoto Zake

Nilichelewa kuona hii post umeongea mambo mengi ambayo umetukashif sisi wakomoro na inaonyesha huijui comoro tafadhali rekabisha post yako halafu tuje kukusaidia maana naona umeropokwa mambo mengi umeiponda comoro na ukaipônda zanzibar inaonekana una ubaguzi wa visiwa sisi ndio tunaokaa comores tunaijua comores watanzania ndio namba moja walioiharibu comores kwa kuleta bangi na maunga saivi wamejaa kila kona ya ngazija wengine hata kurudi kwao hawana tena nia ya kuridi ninacho kuomba usiropokwe tu kutoa mambo ambayo huyajui
kaka naomba namba yako
 
wee umepita tu haujakaa wenye kukaa ndio sie tuliopo na mpaka watoto tumezaa acha kudanganya watu
eti wacomoro wanakula bila kunawa , hilo ni suala la mtu binafsi kama uliona mtu kafanya hivyo hilo ni suala lake binafsi inamaana tukisema watanzania wote malaya wee utaridhika kwasababu tu buguruni kuna malaya wanajiuza
au tukisema wabongo matapeli majambazi ndio watanzania wote matapeli
comores utatembea na hela yako hata mamilion ya mapesa mfukoni hakuna mtu atakusumbua hata iwe saa nane sa usiku njoo bongo uone elfu 20 tu inaweza kua ndio ajali ya kifo chako
na eti cjui unasema unaweza ukatombewa mkeo hivi unaona na usiweze kufanya lolote acha huo uwongo
na eti unasema wacomores wamegawika makabila 3 na hayo matatu hata hukuyaelezea sasa nakwambia hivi
comores ni mkusanyiko wa visiwa 4 ambavyo ni NGAZIJA , MOHELI, ANZOUANI, na MAYOTTE ila hii MAYOTTE bado inatawaliwa na wa FRANCE lakini serikali ya comores wako mbioni kutafuta solution ya kukipata kisiwa chao ijapo kua ni vigumu maana hata hao wamayote wako radhi wao kutawaliwa na wa france kutokana na hali ya ugumu wa maisha yaliopo comores .
eti watu wanakunya hadharani acha huo uongo cjui wee uliona wapi hayo mabo na cjui ulikua unakaa mji gani maana kila nyumba ya mcomores kuna choo hata kama ni cha pasport size sema tu comores kuna uhaba wa maji kutokana na ardhi yao ni ya volcano jiwe tupu vigumu kuchimba visima hutumia maji ya mvua panajengwa tu hodhi kubwa lina hifadhi maji hata kama ni mwaka na hayo maji hitumiwa na wala watu hawapati madhara yoyote ila kwa waliopo tu moroni ndio huitumia maji ya bomba lakini kwa mashamba hutumia maji tu y mvua
na mvua zisiponyesha watu hupata tabu sana
umesema eti wavivu, unajua wacomores wengi kila familia utakuta watu zaid ya 3 wapo france hawa ndio husaidia famila na mtoto akipasi masomo humfanyia scholership ya msomo france na kila mtoto anaekua saivi akimaliza tu masomo huondoka comores na kwenda sehemu nyengine kusoma kama moroco, france, senegal egypt saudia ......
capital city ni ngazija na wafanya biashara wengi ni wa anzouani kama tunavyoona wa pemba kibiashara basi wanzuani ndivo walivo
sasa nakuomba nenda kafanye uchunguzi tena comores uje kuandika post yako usione tu mabaya ya comores ona na mazuri yake
kila sehemu kuna wabaya na wema siasa ya comores ni nzuri kuliko siasa ya tanzania kule wakati wa uchaguzi hutosikia mauaji njoo bongo uone na zenji uatafikiri tupo dafur
comores utaongea unachotaka hata kumtukana raisi fanya tz uone kama hutapotea na watu wasiojulikana
naishia hapa . karibuni comores visiwa vya amani visiwa vya mastarehe .
kaka.naomba no.yko
 
Kuna watu ni viazi Sana.
Ukifika Comoro mbambo ni tofauti na mnavyo soma huko mtandaoni.

Narudia tena, Viza ya Comoros lazima uombe kabla ya kuanza safari huo ndio uhalisia.

Nakuwekea na kilelezo kabisa. Kama una akili itawkewa kuwa unabisha kitu ambacho huna experience nacho. View attachment 1998588
Endelea Kubisha sasa
nakubaliana kabisa. kilicho kwenye hayo malist mtandaoni ni tofauti kabisa na whats on the ground. Nimetolea mfano nilivyokwenda Bangladesh, bila kuwa na visa kwa sababu list ya mtandaoni imesema Tanzania Passport holders hawahitaji visa kama watakaanchini Bangladesh chini ya siku 90. Weee! nilipofika Dhaka ilikuwa issue. Sema you can get visa on arrival kule
 
wee umepita tu haujakaa wenye kukaa ndio sie tuliopo na mpaka watoto tumezaa acha kudanganya watu
eti wacomoro wanakula bila kunawa , hilo ni suala la mtu binafsi kama uliona mtu kafanya hivyo hilo ni suala lake binafsi inamaana tukisema watanzania wote malaya wee utaridhika kwasababu tu buguruni kuna malaya wanajiuza
au tukisema wabongo matapeli majambazi ndio watanzania wote matapeli
comores utatembea na hela yako hata mamilion ya mapesa mfukoni hakuna mtu atakusumbua hata iwe saa nane sa usiku njoo bongo uone elfu 20 tu inaweza kua ndio ajali ya kifo chako
na eti cjui unasema unaweza ukatombewa mkeo hivi unaona na usiweze kufanya lolote acha huo uwongo
na eti unasema wacomores wamegawika makabila 3 na hayo matatu hata hukuyaelezea sasa nakwambia hivi
comores ni mkusanyiko wa visiwa 4 ambavyo ni NGAZIJA , MOHELI, ANZOUANI, na MAYOTTE ila hii MAYOTTE bado inatawaliwa na wa FRANCE lakini serikali ya comores wako mbioni kutafuta solution ya kukipata kisiwa chao ijapo kua ni vigumu maana hata hao wamayote wako radhi wao kutawaliwa na wa france kutokana na hali ya ugumu wa maisha yaliopo comores .
eti watu wanakunya hadharani acha huo uongo cjui wee uliona wapi hayo mabo na cjui ulikua unakaa mji gani maana kila nyumba ya mcomores kuna choo hata kama ni cha pasport size sema tu comores kuna uhaba wa maji kutokana na ardhi yao ni ya volcano jiwe tupu vigumu kuchimba visima hutumia maji ya mvua panajengwa tu hodhi kubwa lina hifadhi maji hata kama ni mwaka na hayo maji hitumiwa na wala watu hawapati madhara yoyote ila kwa waliopo tu moroni ndio huitumia maji ya bomba lakini kwa mashamba hutumia maji tu y mvua
na mvua zisiponyesha watu hupata tabu sana
umesema eti wavivu, unajua wacomores wengi kila familia utakuta watu zaid ya 3 wapo france hawa ndio husaidia famila na mtoto akipasi masomo humfanyia scholership ya msomo france na kila mtoto anaekua saivi akimaliza tu masomo huondoka comores na kwenda sehemu nyengine kusoma kama moroco, france, senegal egypt saudia ......
capital city ni ngazija na wafanya biashara wengi ni wa anzouani kama tunavyoona wa pemba kibiashara basi wanzuani ndivo walivo
sasa nakuomba nenda kafanye uchunguzi tena comores uje kuandika post yako usione tu mabaya ya comores ona na mazuri yake
kila sehemu kuna wabaya na wema siasa ya comores ni nzuri kuliko siasa ya tanzania kule wakati wa uchaguzi hutosikia mauaji njoo bongo uone na zenji uatafikiri tupo dafur
comores utaongea unachotaka hata kumtukana raisi fanya tz uone kama hutapotea na watu wasiojulikana
naishia hapa . karibuni comores visiwa vya amani visiwa vya mastarehe .
Nataka mke mgazinja..nisaidiae kuniunganisha naye.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi kwa upande wangu sijamuelewa muhemiwa hapa
Nimependa mleta mada hio “season 1” yake ndio hela ilipo tafakari nn unaweza fanya iliupate hela maeneo km hayo???,that’s pure cash km unafikiria hela hapo ipo nje nje just think watu wanawaza kutafuniwa tu
Mfano penye vita yyy USA hakosi lazima auze silaha vyakutosha nawe waza hapo what you can do?
 
Inaendekea.....

FURSA ZA BIASHARA

kama nilivyoeleza hapo juu hii nchi haina kitu chochote Inachozalisha kitu ambacho kinapelekea kuwepo kwa fursa nyingi za biashara.

Kitovu cha biashara ni mji wa Moroni - Grande Comores na asilimia kubwa ya biashara huku zinafanywa na Watanzania, Waanjouni na wabushi (Wamadagascar).

Fusra nyingi za kupiga pesa ziko kwenye bidhaa za chakula; hapa nina maanisha mali mbichi na mali kavu pamoja na biashara ya mifugo.

Bei za bidhaa hukun hubadilika kulingana na demand hivyo kama unataka kufanya biashara lazima ujue ni bidhaa gani haiko sokoni ambapo ukibahatisha kuleta na ukajikuta ni wewe mwenyewe utapiga pesa safi. kwa mfano sasa hivi hakuna mayai hivyo ikitokea mtu akaleta leo basi atauza trei moja kwa elf20.

Biashara ya mifugo nadhani ndio inalipa Sana ila ina changamoto zake.

CHANGAMOTO ZA KUFANYA BIASHARA HUKU

Moja ya changamoto kubwa inayo wakumba wafanyabiashara huku ni UTAPELI, NA HUJUMA; vinara wakubwa kwa utapeli na kuhujumu wafanyabiashara wenzao ni watanzania.

Kwa kifupi niseme kuwa watanzania walioko huku ni wabinafsi na wana roho mbaya sana. hawataki kuona wenzao wakifaidika.

Watanzania wengi walioko huku ni matapeli na wameharibu sana reputation ya watanzania wote
Aisee
 
Back
Top Bottom