Ijue Comoro: Fursa za Biashara na Changamoto Zake

Bado nafuatilia hizo taarifa.
Wanapandia pale wanapopandia watu wa Zanibar; kwa maelezo niliyoyapata. Kwa sasa ninachojua hiyo Meli itaondoka Jumamosi hii. Kama Uko jirani unaweza kufika hapo

Ni kweli hizo Meli za mizigo haziko consistent; zinasumbua Sana.

Nilidhani una A-Z, anyway nahisi labda hawa jamaa wa Zanlink.....Fatilia.

Na mlolongo wa route was supposed to be
Dar-Moroni-Fomboni-Anjouan
na kwa calculation tulizofanya kipindi hiko ni ilikuwa kwa meli ya 35knots speed ingechukua 12 hours to Moroni,ila hatukuendelea niliiacha report na proposal imetumwa serikalini kule.
 
Nilidhani una A-Z, anyway nahisi labda hawa jamaa wa Zanlink.....Fatilia.

Na mlolongo wa route was supposed to be
Dar-Moroni-Fomboni-Anjouan
na kwa calculation tulizofanya kipindi hiko ni ilikuwa kwa meli ya 35knots speed ingechukua 12 hours to Moroni,ila hatukuendelea niliiacha report na proposal imetumwa serikalini kule.
Sikuwa interested sana kwenye hilo, ndio maana sikufuatilia zaidi. Ila Meli niliona Moroni bandarini.

Hii ilikuwa ipige route za Dar - Moroni - Anjoun - Madagascar. Lakini baada ya kufika hapa waka cancel route ya Madagascar.

Kitu nilicho kusikia huku, Ili ifanye biashara kubwa, lazima ukubali kula na wakubwa pasu kea pasu, tofauti na hapo Kazi inakuwa ngumu. Biashara nyingi kubwa huku zinafungwa kwa ajili hiyo.
 
Kama umesoma vizuri ukaelewa, nilisema sielewi kwanini pesa yao ina thamani ukilinganisha na ya kwetu.

Kwa mfano 1000 ya Comoro ni almost 5400 ya kwetu ukiipeleka kwenye USD unapata ngapi?
Umesema pesa yao ipo juu zaidi ya dola na Euro,Nahisi ulichokiandika hukijui
 
Sio yeye tu ambaye haelewi. Hata mimi sielewi unafikaje Ufaransa?
Bro kwa uchache nilisikia kwamba comoro walitawaliwa na ufaransa. Kumbuka wafaransa na wareno walitawala makoloni yao kama sehemu ya nchi zao (ufaransa na ureno).

Wakati wa harakati za uhuru walitakiwa kupiga kura za kuamua kuwa huru au kuendelea kuwa chini ya ufaransa. Kisiwa cha mayote walikataa kuwa huru na hivyo waliamua kuendelea kuwa chini ya ufaransa hivyo hadi leo ni sehemu ya ufaransa.
Nakaribisha anayefaham zaidi atusaidie ila nliwahi kusikia hivyo.
 
Bro kwa uchache nilisikia kwamba comoro walitawaliwa na ufaransa. Kumbuka wafaransa na wareno walitawala makoloni yao kama sehemu ya nchi zao (ufaransa na ureno).

Wakati wa harakati za uhuru walitakiwa kupiga kura za kuamua kuwa huru au kuendelea kuwa chini ya ufaransa. Kisiwa cha mayote walikataa kuwa huru na hivyo waliamua kuendelea kuwa chini ya ufaransa hivyo hadi leo ni sehemu ya ufaransa.
Nakaribisha anayefaham zaidi atusaidie ila nliwahi kusikia hivyo.
Hujakosea ....mayotte walitaka wenyewe kua chini ya ufaransa
 
Bro kwa uchache nilisikia kwamba comoro walitawaliwa na ufaransa. Kumbuka wafaransa na wareno walitawala makoloni yao kama sehemu ya nchi zao (ufaransa na ureno).

Wakati wa harakati za uhuru walitakiwa kupiga kura za kuamua kuwa huru au kuendelea kuwa chini ya ufaransa. Kisiwa cha mayote walikataa kuwa huru na hivyo waliamua kuendelea kuwa chini ya ufaransa hivyo hadi leo ni sehemu ya ufaransa.
Nakaribisha anayefaham zaidi atusaidie ila nliwahi kusikia hivyo.
Kwa hiyo nikiwa Mayote kwenda Paris ni sawa na kuwa Dar na kwenda Mwanza? Si ndio?
 
Habari GT,

Nianze kwa kusema kuwa mimi sio muandishi mzuri ila nitajitahidi kuweka vitu katika mpangilio kwa kiasi chake.

Kabla ya kuangalia baadhi ya fursa za biashara zilizoko Comores na changamoto zake, hebu tuangazie kidogob jamii ya watu wa huku katika nyanja za siasa, uchumi na jamii kwa ujumla.

SIASA:
Comores inaundwa na visiwa 4 ambavyo ni Grande Comore, Anjoun, Moheli na Mayyote, japo Mayyote imeng'ang'aniwa na Mfaransa (kwa wale wanaotaka kuzamia Ufaransa hii ndio shortcut; ukifika Mayotte tu hesabu umeshafika Ufaransa).

Kwa sasa hali ya siasa kisiwani humu si shwari kwa sababu inasemekana raisi alieko madarakani amegoma kutoka baada ya mda wake, hivyo wenye zamu yao kuongoza mda wowote wanaweza kukinukisha wakipata support; kwa fununu za mtaani wenye zamu yao, wako tayari kulipa gharama yoyote kwa mtu yeyote atakaeweza kuwasaidia kumg'oa presida; kuna mengi ya kusema hapa ila sio lengo la uzi, hivyo nitashia hapo.

UCHUMI:
Hali ya uchumi wa nchi hii ni mbaya Sana, maana nchi kama nchi haina vitega uchumi zaidi ya bandari, airport, mitandao ya simu na biashara ya kuuza mafuta, gesi na umeme wanao zalisha kwa kutumia magenereta.

Asilimia kubwa ya wanachi Comores wana maisha magumu sana, kiasi kwamba wengi wao wanaishi kwa mlo moja tena kwa kula mikate na vipapatio vya kuku kwa asilimia kubwa (katika watu wanaojua kuutumia vizuri unga wa ngano basi ni wakomoro). huku ukila mapaja ya kuku au nyama ni ufahari.

Licha ya kuwa uchumi wao uko chini, chakushangaza pesa yao iko juu zaidi ya Dola na Euro na juu zaidi ya pesa zetu za madafu. Hapa wataalamu wa uchumi wanaweza kutusaidia how is it possible ukizingatia kuwa 99% ya mahitaji yao yote wanaagiza nje.

JAMII KWA UJUMLA
Jamii ya wakomoro imegawanyika katika makabila matatu ambayo ni waanjuan, wangazija na waanjoun.

Katika jamii za kikomoro, wanawake ndio wenye sauti kuliko wanaume. huku ukioa unatakiwa ukaishi ukweni (mwanaume hana saut) suala la kuchepuka huku ni la kawaida kwa wanandoa; utachapiwa hadharani na huna la kusema.

ustaarabu katika jamii hizi ni sifuri, watu wanakunya hadharani bila kuona aibu; ilimradi tu kuwe na maji ya kuchambia basi mtu atavua nguo na kunya pembeni yako.

watu wa huku wanakula bila kunawa; maji ya kunawa utapewa baada ya kula ama usipewe kabisa

KWA uvivu hawa jamaa wamewashinda wazanzibar; japo nadhani uvivu wa hawa unachangiwa na mlo hafifu.

99% ya watu wa huku ni waislamu; uzuri wao hawana ule ujinga kama wa Zanzibar. Phawana ubaguzi kwa watu wa dini nyingine)

Sasa twende Kwenye Lengo la Uzi.

Inaendelea uk.23....
Nilichelewa kuona hii post umeongea mambo mengi ambayo umetukashif sisi wakomoro na inaonyesha huijui comoro tafadhali rekabisha post yako halafu tuje kukusaidia maana naona umeropokwa mambo mengi umeiponda comoro na ukaipônda zanzibar inaonekana una ubaguzi wa visiwa sisi ndio tunaokaa comores tunaijua comores watanzania ndio namba moja walioiharibu comores kwa kuleta bangi na maunga saivi wamejaa kila kona ya ngazija wengine hata kurudi kwao hawana tena nia ya kuridi ninacho kuomba usiropokwe tu kutoa mambo ambayo huyajui
 
Nilichelewa kuona hii post umeongea mambo mengi ambayo umetukashif sisi wakomoro na inaonyesha huijui comoro tafadhali rekabisha post yako halafu tuje kukusaidia maana naona umeropokwa mambo mengi umeiponda comoro na ukaipônda zanzibar inaonekana una ubaguzi wa visiwa sisi ndio tunaokaa comores tunaijua comores watanzania ndio namba moja walioiharibu comores kwa kuleta bangi na maunga saivi wamejaa kila kona ya ngazija wengine hata kurudi kwao hawana tena nia ya kuridi ninacho kuomba usiropokwe tu kutoa mambo ambayo huyajui
Nimekaa huko hivyo nilichoandika nimekishuhudia hakuna kashfa hapo.
 
Nimekaa huko hivyo nilichoandika nimekishuhudia hakuna kashfa hapo.
wee umepita tu haujakaa wenye kukaa ndio sie tuliopo na mpaka watoto tumezaa acha kudanganya watu
eti wacomoro wanakula bila kunawa , hilo ni suala la mtu binafsi kama uliona mtu kafanya hivyo hilo ni suala lake binafsi inamaana tukisema watanzania wote malaya wee utaridhika kwasababu tu buguruni kuna malaya wanajiuza
au tukisema wabongo matapeli majambazi ndio watanzania wote matapeli
comores utatembea na hela yako hata mamilion ya mapesa mfukoni hakuna mtu atakusumbua hata iwe saa nane sa usiku njoo bongo uone elfu 20 tu inaweza kua ndio ajali ya kifo chako
na eti cjui unasema unaweza ukatombewa mkeo hivi unaona na usiweze kufanya lolote acha huo uwongo
na eti unasema wacomores wamegawika makabila 3 na hayo matatu hata hukuyaelezea sasa nakwambia hivi
comores ni mkusanyiko wa visiwa 4 ambavyo ni NGAZIJA , MOHELI, ANZOUANI, na MAYOTTE ila hii MAYOTTE bado inatawaliwa na wa FRANCE lakini serikali ya comores wako mbioni kutafuta solution ya kukipata kisiwa chao ijapo kua ni vigumu maana hata hao wamayote wako radhi wao kutawaliwa na wa france kutokana na hali ya ugumu wa maisha yaliopo comores .
eti watu wanakunya hadharani acha huo uongo cjui wee uliona wapi hayo mabo na cjui ulikua unakaa mji gani maana kila nyumba ya mcomores kuna choo hata kama ni cha pasport size sema tu comores kuna uhaba wa maji kutokana na ardhi yao ni ya volcano jiwe tupu vigumu kuchimba visima hutumia maji ya mvua panajengwa tu hodhi kubwa lina hifadhi maji hata kama ni mwaka na hayo maji hitumiwa na wala watu hawapati madhara yoyote ila kwa waliopo tu moroni ndio huitumia maji ya bomba lakini kwa mashamba hutumia maji tu y mvua
na mvua zisiponyesha watu hupata tabu sana
umesema eti wavivu, unajua wacomores wengi kila familia utakuta watu zaid ya 3 wapo france hawa ndio husaidia famila na mtoto akipasi masomo humfanyia scholership ya msomo france na kila mtoto anaekua saivi akimaliza tu masomo huondoka comores na kwenda sehemu nyengine kusoma kama moroco, france, senegal egypt saudia ......
capital city ni ngazija na wafanya biashara wengi ni wa anzouani kama tunavyoona wa pemba kibiashara basi wanzuani ndivo walivo
sasa nakuomba nenda kafanye uchunguzi tena comores uje kuandika post yako usione tu mabaya ya comores ona na mazuri yake
kila sehemu kuna wabaya na wema siasa ya comores ni nzuri kuliko siasa ya tanzania kule wakati wa uchaguzi hutosikia mauaji njoo bongo uone na zenji uatafikiri tupo dafur
comores utaongea unachotaka hata kumtukana raisi fanya tz uone kama hutapotea na watu wasiojulikana
naishia hapa . karibuni comores visiwa vya amani visiwa vya mastarehe .
 
wee umepita tu haujakaa wenye kukaa ndio sie tuliopo na mpaka watoto tumezaa acha kudanganya watu
eti wacomoro wanakula bila kunawa , hilo ni suala la mtu binafsi kama uliona mtu kafanya hivyo hilo ni suala lake binafsi inamaana tukisema watanzania wote malaya wee utaridhika kwasababu tu buguruni kuna malaya wanajiuza
au tukisema wabongo matapeli majambazi ndio watanzania wote matapeli
comores utatembea na hela yako hata mamilion ya mapesa mfukoni hakuna mtu atakusumbua hata iwe saa nane sa usiku njoo bongo uone elfu 20 tu inaweza kua ndio ajali ya kifo chako
na eti cjui unasema unaweza ukatombewa mkeo hivi unaona na usiweze kufanya lolote acha huo uwongo
na eti unasema wacomores wamegawika makabila 3 na hayo matatu hata hukuyaelezea sasa nakwambia hivi
comores ni mkusanyiko wa visiwa 4 ambavyo ni NGAZIJA , MOHELI, ANZOUANI, na MAYOTTE ila hii MAYOTTE bado inatawaliwa na wa FRANCE lakini serikali ya comores wako mbioni kutafuta solution ya kukipata kisiwa chao ijapo kua ni vigumu maana hata hao wamayote wako radhi wao kutawaliwa na wa france kutokana na hali ya ugumu wa maisha yaliopo comores .
eti watu wanakunya hadharani acha huo uongo cjui wee uliona wapi hayo mabo na cjui ulikua unakaa mji gani maana kila nyumba ya mcomores kuna choo hata kama ni cha pasport size sema tu comores kuna uhaba wa maji kutokana na ardhi yao ni ya volcano jiwe tupu vigumu kuchimba visima hutumia maji ya mvua panajengwa tu hodhi kubwa lina hifadhi maji hata kama ni mwaka na hayo maji hitumiwa na wala watu hawapati madhara yoyote ila kwa waliopo tu moroni ndio huitumia maji ya bomba lakini kwa mashamba hutumia maji tu y mvua
na mvua zisiponyesha watu hupata tabu sana
umesema eti wavivu, unajua wacomores wengi kila familia utakuta watu zaid ya 3 wapo france hawa ndio husaidia famila na mtoto akipasi masomo humfanyia scholership ya msomo france na kila mtoto anaekua saivi akimaliza tu masomo huondoka comores na kwenda sehemu nyengine kusoma kama moroco, france, senegal egypt saudia ......
capital city ni ngazija na wafanya biashara wengi ni wa anzouani kama tunavyoona wa pemba kibiashara basi wanzuani ndivo walivo
sasa nakuomba nenda kafanye uchunguzi tena comores uje kuandika post yako usione tu mabaya ya comores ona na mazuri yake
kila sehemu kuna wabaya na wema siasa ya comores ni nzuri kuliko siasa ya tanzania kule wakati wa uchaguzi hutosikia mauaji njoo bongo uone na zenji uatafikiri tupo dafur
comores utaongea unachotaka hata kumtukana raisi fanya tz uone kama hutapotea na watu wasiojulikana
naishia hapa . karibuni comores visiwa vya amani visiwa vya mastarehe .
Asante kwa maelezo safi, Mwenyewe nilistuka sana nliposoma hii post, nilimkumbuka jamaa flani alikuwa ana sema Arusha kuna ubaguzi wa makabila, ila nilikaa miaka mitano sikuona huo ubaguzi
 
Inaendekea.....

FURSA ZA BIASHARA

kama nilivyoeleza hapo juu hii nchi haina kitu chochote Inachozalisha kitu ambacho kinapelekea kuwepo kwa fursa nyingi za biashara.

Kitovu cha biashara ni mji wa Moroni - Grande Comores na asilimia kubwa ya biashara huku zinafanywa na Watanzania, Waanjouni na wabushi (Wamadagascar).

Fusra nyingi za kupiga pesa ziko kwenye bidhaa za chakula; hapa nina maanisha mali mbichi na mali kavu pamoja na biashara ya mifugo.

Bei za bidhaa hukun hubadilika kulingana na demand hivyo kama unataka kufanya biashara lazima ujue ni bidhaa gani haiko sokoni ambapo ukibahatisha kuleta na ukajikuta ni wewe mwenyewe utapiga pesa safi. kwa mfano sasa hivi hakuna mayai hivyo ikitokea mtu akaleta leo basi atauza trei moja kwa elf20.

Biashara ya mifugo nadhani ndio inalipa Sana ila ina changamoto zake.

CHANGAMOTO ZA KUFANYA BIASHARA HUKU

Moja ya changamoto kubwa inayo wakumba wafanyabiashara huku ni UTAPELI, NA HUJUMA; vinara wakubwa kwa utapeli na kuhujumu wafanyabiashara wenzao ni watanzania.

Kwa kifupi niseme kuwa watanzania walioko huku ni wabinafsi na wana roho mbaya sana. hawataki kuona wenzao wakifaidika.

Watanzania wengi walioko huku ni matapeli na wameharibu sana reputation ya watanzania wote
Shenzi hao tapeli wa kitanzania. Na ndio hao wanaeneza comoro kuna fulsa sana ya biashara ili muende kwa fujo wawatapeli.
Hebu fikiri nchi yenyewe kaduchu tu hakajai mkono. Watu wenyewe wavivu kuliko wazanzibari. Utajiri wa ardhini kama mafuta au madini hawana kitu. Hizo fursa za biashara kila mtanzania aende huko zinatoka wapi?
Fursa zipo hapahapa nchini sio vinchi kama sawa kata au wilaya za tz.
Ukiniambia fursa drc au sudan nitakusikiliza japo huko napo changamoto za usalama ni kubwa.
 
wee umepita tu haujakaa wenye kukaa ndio sie tuliopo na mpaka watoto tumezaa acha kudanganya watu
eti wacomoro wanakula bila kunawa , hilo ni suala la mtu binafsi kama uliona mtu kafanya hivyo hilo ni suala lake binafsi inamaana tukisema watanzania wote malaya wee utaridhika kwasababu tu buguruni kuna malaya wanajiuza
au tukisema wabongo matapeli majambazi ndio watanzania wote matapeli
comores utatembea na hela yako hata mamilion ya mapesa mfukoni hakuna mtu atakusumbua hata iwe saa nane sa usiku njoo bongo uone elfu 20 tu inaweza kua ndio ajali ya kifo chako
na eti cjui unasema unaweza ukatombewa mkeo hivi unaona na usiweze kufanya lolote acha huo uwongo
na eti unasema wacomores wamegawika makabila 3 na hayo matatu hata hukuyaelezea sasa nakwambia hivi
comores ni mkusanyiko wa visiwa 4 ambavyo ni NGAZIJA , MOHELI, ANZOUANI, na MAYOTTE ila hii MAYOTTE bado inatawaliwa na wa FRANCE lakini serikali ya comores wako mbioni kutafuta solution ya kukipata kisiwa chao ijapo kua ni vigumu maana hata hao wamayote wako radhi wao kutawaliwa na wa france kutokana na hali ya ugumu wa maisha yaliopo comores .
eti watu wanakunya hadharani acha huo uongo cjui wee uliona wapi hayo mabo na cjui ulikua unakaa mji gani maana kila nyumba ya mcomores kuna choo hata kama ni cha pasport size sema tu comores kuna uhaba wa maji kutokana na ardhi yao ni ya volcano jiwe tupu vigumu kuchimba visima hutumia maji ya mvua panajengwa tu hodhi kubwa lina hifadhi maji hata kama ni mwaka na hayo maji hitumiwa na wala watu hawapati madhara yoyote ila kwa waliopo tu moroni ndio huitumia maji ya bomba lakini kwa mashamba hutumia maji tu y mvua
na mvua zisiponyesha watu hupata tabu sana
umesema eti wavivu, unajua wacomores wengi kila familia utakuta watu zaid ya 3 wapo france hawa ndio husaidia famila na mtoto akipasi masomo humfanyia scholership ya msomo france na kila mtoto anaekua saivi akimaliza tu masomo huondoka comores na kwenda sehemu nyengine kusoma kama moroco, france, senegal egypt saudia ......
capital city ni ngazija na wafanya biashara wengi ni wa anzouani kama tunavyoona wa pemba kibiashara basi wanzuani ndivo walivo
sasa nakuomba nenda kafanye uchunguzi tena comores uje kuandika post yako usione tu mabaya ya comores ona na mazuri yake
kila sehemu kuna wabaya na wema siasa ya comores ni nzuri kuliko siasa ya tanzania kule wakati wa uchaguzi hutosikia mauaji njoo bongo uone na zenji uatafikiri tupo dafur
comores utaongea unachotaka hata kumtukana raisi fanya tz uone kama hutapotea na watu wasiojulikana
naishia hapa . karibuni comores visiwa vya amani visiwa vya mastarehe .
mim nimekuamin sana wewe sheh.nimewaz tu utamdun gan wa kunya pemben yKo mtu kakaa? hata mangati hafanyi hivyo.
na mbona napakia sana mizigo ya wakomoro kwenye precion hapa ramp.
 
Inaendekea.....

FURSA ZA BIASHARA

kama nilivyoeleza hapo juu hii nchi haina kitu chochote Inachozalisha kitu ambacho kinapelekea kuwepo kwa fursa nyingi za biashara.

Kitovu cha biashara ni mji wa Moroni - Grande Comores na asilimia kubwa ya biashara huku zinafanywa na Watanzania, Waanjouni na wabushi (Wamadagascar).

Fusra nyingi za kupiga pesa ziko kwenye bidhaa za chakula; hapa nina maanisha mali mbichi na mali kavu pamoja na biashara ya mifugo.

Bei za bidhaa hukun hubadilika kulingana na demand hivyo kama unataka kufanya biashara lazima ujue ni bidhaa gani haiko sokoni ambapo ukibahatisha kuleta na ukajikuta ni wewe mwenyewe utapiga pesa safi. kwa mfano sasa hivi hakuna mayai hivyo ikitokea mtu akaleta leo basi atauza trei moja kwa elf20.

Biashara ya mifugo nadhani ndio inalipa Sana ila ina changamoto zake.

CHANGAMOTO ZA KUFANYA BIASHARA HUKU

Moja ya changamoto kubwa inayo wakumba wafanyabiashara huku ni UTAPELI, NA HUJUMA; vinara wakubwa kwa utapeli na kuhujumu wafanyabiashara wenzao ni watanzania.

Kwa kifupi niseme kuwa watanzania walioko huku ni wabinafsi na wana roho mbaya sana. hawataki kuona wenzao wakifaidika.

Watanzania wengi walioko huku ni matapeli na wameharibu sana reputation ya watanzania wote
Popote duniani mtza kaa nae mbali hata ukiwasikia wanaongea kiswahili
 
Shenzi hao tapeli wa kitanzania. Na ndio hao wanaeneza comoro kuna fulsa sana ya biashara ili muende kwa fujo wawatapeli.
Hebu fikiri nchi yenyewe kaduchu tu hakajai mkono. Watu wenyewe wavivu kuliko wazanzibari. Utajiri wa ardhini kama mafuta au madini hawana kitu. Hizo fursa za biashara kila mtanzania aende huko zinatoka wapi?
Fursa zipo hapahapa nchini sio vinchi kama sawa kata au wilaya za tz.
Ukiniambia fursa drc au sudan nitakusikiliza japo huko napo changamoto za usalama ni kubwa.
Umeambiwa pesa yao Ina thamani kuliko yetu,usipoenda wewe wataenda wengine.
Kama wanajazana kariakoo kufanya shopping kwann wasiwe fursa.
Niliongea na mcomoro mmoja ukitaka kuuza tafuta mcomoro ndo ajifanye ndo mwenye mzigo utauza bila hautouza ni wabaguzi kwenye biashara.
 
Mali kuoza mfano Mihogo, viazi, magimbi ukipata jinsi ya kufikisha kule bila kuharibika pesa ipo.
Mifugo mtihani sijui Wana nini na bahari wanakufa sana baharini.
 
Back
Top Bottom