Ijue Botswana japo kidogo tu

Ijue Botswana japo kidogo tu

Duh, Botswana Nzuri-Gabs yenyewe, Main mall, African mall, Phakalane nk, lakini pamoja na uzuri huo Namibia ni mwisho wa matatizo, Nakumbuka Nyama za Katutula, Swakop na Wavis Bay sio mchezo, ni kweli hizo nchi za South za Namibia na Botswana raia wake hawana tress kabisa, wanaishi maisha ya furaha sana si tupo nyuma sana sana
..kabisa + kuvuana nguo huku si jambo la ajabu hata kidogo 😀😀😀😀
 
Jamaa wanajitahidi kwenye uaminifu, na welfare ya raia wao, Keki yao wanakula wote, kila mtu yuko happy,

Unaweza kwenda sehemu unakuta pori lakini lina miundo mbinu yote, maji, umeme barabra, shule nk lakini hakuan mtu, na wanasema wanajenga kwa ajili ya baadae, madini yanaweza kwisha au yakakosa soko wao watakuwa tayari wameshawekeza

Wanawajali sna raia wao, kwa mfano watu wenye ukimwi unakuta wanapewa vyakula vya mwezi mzima Bure, hapo wamnapewa Maharage, Sukari na uji wao (Mutogo), ni mchi nzuri sana na mfano wa chi zilizoendelea bila imput ya Wazungu, Iko kwenye level moja na Zimbabwe, South Africa na Namibia kwa kujengwa lakini hizo zote zimejengwa na wazungu bali Botswana na "Waswahili"
Mbona rais wao ni kama 'mzungu' (shombe)?
 
Kente ke tsala..kihafela...masa...dumelang...tihako tihabana...
 
Hapo unataka jibu ama?
Nategemea jibu, lakini sio kutoka kwako. Nategemea mtu anielezee historia ya ancestry ya rais na ilikuwaje mtu 'mweupe' akawa chifu wa watu weusi. All of this is above your pay grade.
 
Andaa tu milioni moja na nusu ya Kitanzania, siku mbili au tatu kama kutembea zinatosha mkubwa. (Sina uzoefu sana na matumizi, mwezako huku niliko ni Mario kama mnavyotuita huko, nimefanya tathmini pasipo uhalisia kupitia mimi)
Hahahaaaa....mkuu kumbe wew ni Ben ten
 
Hiri rimjamaa rimejipendeleaga thana, eti Waswana wamewaiga Wasukuma,wapi???.
 
botswana mwanamke kuacha matiti wazi ni kawaida
Kuna mama mmoja na maisha yake niliingia restaurant, alivyokuwa amekaa aliniweka majaribuni hadi nikawa nahisi nameza ARV, ilibidi tu nipige picha bila flash asinistukie. Shikamoo Gaborone
60a7d279fb86b7b5216b0c4e73c91549.jpg
Mtu aged huyo!! Hakuna Toplemon wala carolight hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom