Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
- Thread starter
- #241
Bakini huko huko na viwanda vyenuNahamia karibun
Bakini huko huko na viwanda vyenuNahamia karibun
Kweli nahitaji. Sina ujuzi mkubwa. Hii ya kulisha ng'ombe nadhani nitaimudu. Kikubwa ni malipo yenye ziada.Hahahahahhaaaaaa duh yamekuwa hayo tena![]()
![]()
![]()
![]()
Kama ina mshahara mzuri wenye ziada nitaifanya. Bongo imenishinda!Hahaha
mkuu wataka ukawe cowboy nn![]()
Kuwa mwelewa usilete mihemuko bure, Waafrika wote ni wabantu ndiyo sababu Wazulu namba sita wanaita "butandatu" kama wasukuma. Sherehe na taratibu za kutoa mahali (lobola) ziko sawa tu na zetu pamoja na mambo mengi tuWaliwakopi Wasukuma!!??? Walikutana wapi????
Vyakula common ni vipi?Kuwa mwelewa usilete mihemuko bure, Waafrika wote ni wabantu ndiyo sababu Wazulu namba sita wanaita "butandatu" kama wasukuma. Sherehe na taratibu za kutoa mahali (lobola) ziko sawa tu na zetu pamoja na mambo mengi tu
Mkuu inamana Tz ya viwanda ndo haurudi tena?Bakini huko huko na viwanda vyenu
Nyumbani ni nyumbani ila siwezi kuvumilia stress tenaMkuu inamana Tz ya viwanda ndo haurudi tena?
Mbona rais wao ni kama 'mzungu' (shombe)?
Hahahaha..... ngosha naseka no!!Abakima balinamadako matale gudi madandali![]()
![]()
Wali, vyakula vyenye asili ya mtama, mahindi, kuku na nyama za ng'ombe. Asubuhi ni toast, sausage kwa chai na kahawa uji (soft porridge)Vyakula common ni vipi?
Usalama?
DuhLekaga gete! Nakigasha ha li hotel lya Gaborone shiku makumyabili, nakazunya. Nakabona makima ga nghana na madako diki lugulu. Nakalisola limo mpag'u bulili bukabinzika.
Shukrani mkuu. Baada ya majibu kuchelewa ikabidi nimtafute uncle Google. Nimeelewa kwa undani kwanini Botswana ina maendeleo makubwa na imefanikiwa sana kutokana na biashara ya madini. Nchi hii kihistoria ipo karibu sana na UK. Ni kama kajimbo kao flan. Nadhan hata hiyo ndoa na Ruth Williams ilisaidia sana ktk diplomacy na western countries.Mama yake Ruth Williams Khama (Lady Khama), alikuwa ni Mzungu, so huyo ni Mulato (halfcaste, Chotara, 0.5)
Alikufa 2002
Shukrani mkuu. Baada ya majibu kuchelewa ikabidi nimtafute uncle Google. Nimeelewa kwa undani kwanini Botswana ina maendeleo makubwa na imefanikiwa sana kutokana na biashara ya madini. Nchi hii kihistoria ipo karibu sana na UK. Ni kama kajimbo kao flan. Nadhan hata hiyo ndoa na Ruth Williams ilisaidia sana ktk diplomacy na western countries.
MmmmmhggKante ke rata dijo tsa bone wa etse se kana ka: mutogo, setswaa, magwinya le dinawa..
Unataka Chakula,Kante ke rata dijo tsa bone wa etse se kana ka: mutogo, setswaa, magwinya le dinawa..