Ijue Botswana japo kidogo tu

Ijue Botswana japo kidogo tu

Ni kweli kbs mie nimewahi kukaa kidogo ktk jimbo la bangwene,mila na desturi zao ni km wasukuma kbs.nyumba zao za mitambiko,namna wanavyoshughurikia misiba na matanga!!yaani kila kitu utafikiri ni wasukuma kbs.
 
Andaa tu milioni moja na nusu ya Kitanzania, siku mbili au tatu kama kutembea zinatosha mkubwa. (Sina uzoefu sana na matumizi, mwezako huku niliko ni Mario kama mnavyotuita huko, nimefanya tathmini pasipo uhalisia kupitia mimi)
umetisha mkuu.
 
Naamu, unaweza fikiri mengi sana kuhusu Botswana kabla hujafika. Moja ya mambo utakayojiuliza hasa ukiwa kijana uliyeishi vijijini na muda mwingine mjini ni haya:-

1: Watu wa Botswana, ni wapole na wakarimu sana isipokuwa kwenye majiji makubwa huko ndiko kuna baadhi wamepinda

2: Utamaduni, ni watu wanaopenda asili yao na hawajifichi ikiwemo kuongea lugha yao ya asili (Setswana). Naweza sema kuwa mila na desturi zao wamekopi kwa wasukuma

3: Uoto wa asili; karibu mimea yote unayoiona Botswana basi utaikuta karibu yote Shinyanga

4: Rangi ya ngozi; asilimia 85% ni maji ya kunde (weupe) na hapo kwa msukuma ndo mahali pake.

5: Yale mambo yetu; Hawana kinyongo na wengi wao wamezalishwa wakiwa Shule ama makwao na kupigwa chini hivyo kukung'ang'ania umuoe ili kumkomoa baba watoto/mtoto ndo zao.

6: Una status gani? Ndilo swali utakutana nalo kila ukianza mahusiano na demu ama mwanamke wa Botswana ili afahamu kama una ngoma ama la na muishi vipi.

7: Ngoma ishakuwa kama Malaria tu.

8: Weekend mademu wa Botswana wengi huvuka border kuja South Africa kuspendi hivyo ukiwa na demu Botswana harafu daily anavuka border kuja South Africa kufanya shopping basi ujue ni shopping ya chini.

9: Kuna tetesi kuwa rais wao ni mbana pua (mimi simo)
Msukuma kaandikia wasukuma wenzake uzi kujifananisha na Watswana.
 
ab430ec29872246c478978740d8734f8.jpg
Mie nilipitia (hupitia) hapa nikitokea Mafikeng

Mafikeng, unapitia Tlokwana Border? Au Mochudi?
 
Hua napita pita tu kwa sasa

Duh, Botswana Nzuri-Gabs yenyewe, Main mall, African mall, Phakalane nk, lakini pamoja na uzuri huo Namibia ni mwisho wa matatizo, Nakumbuka Nyama za Katutula, Swakop na Wavis Bay sio mchezo, ni kweli hizo nchi za South za Namibia na Botswana raia wake hawana tress kabisa, wanaishi maisha ya furaha sana si tupo nyuma sana sana
 
Duh, Botswana Nzuri-Gabs yenyewe, Main mall, African mall, Phakalane nk, lakini pamoja na uzuri huo Namibia ni mwisho wa matatizo, Nakumbuka Nyama za Katutula, Swakop na Wavis Bay sio mchezo, ni kweli hizo nchi za South za Namibia na Botswana raia wake hawana tress kabisa, wanaishi maisha ya furaha sana si tupo nyuma sana sana

Yeah hawa jamaa wanaishi af maisha simple hawana complication Tz tumekalia siasa tu hakuna lolote Namibia mji kama Swakop walvis unakula upepo wa Atlantic safi kabisa.
 
Napenda sana zile sand Dunes na zile Quad-Bike za kupandia hizo dunes,
Wana enjoy sana basi tu na ndio nchi unaweza sema unaomb uraia ukaishi hua inaniuma sana nilikua napita tu af boda to boda ila nilionjoi sana mana hzo nchi nimekatiza pande 4 kwa gari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom