Ijue Botswana japo kidogo tu

Ijue Botswana japo kidogo tu

Sasa kwa hili suala huoni kua nyie wenye 5m raia n wapumbavu na mliokosa akili na mna mali zaidi ya watswana.??? Hyo mwanza tu ina ziwa ila maji shida Kigoma ziwa lote la kwenu maji shida huoni kua bado mna akili za mbwa.???
.
Mimi sikatai kuwa tuliboronga hapo kati, hasa baada ya mwalimu kung'atuka, watu wakaanza ubepari uchwara. Lakini kumbuka vipaumbele vyetu Tanzania vilikuwa tofauti na Botswana. Sisi tuliamua kuondoa umaskini, ujinga na maradhi na kwa kiasi kikubwa tuliweza kuondoa ujinga na maradhi.

Madaktari wetu wamekuwa wakienda kutabibu huko hata kwenye madini wataalamu wetu walisaidia sana. Tanzania waathirika wa HIV ni 3% watswana ni 21% wewe huoni kuwa haya ni maendeleo? Itakusaidia nini kuwa na maji ya bomba kama jamii yote ina maradhi?
 
.
Mimi sikatai kuwa tuliboronga hapo kati, hasa baada ya mwalimu kung'atuka, watu wakaanza ubepari uchwara. Lakini kumbuka vipaumbele vyetu Tanzania vilikuwa tofauti na Botswana. Sisi tuliamua kuondoa umaskini, ujinga na maradhi na kwa kiasi kikubwa tuliweza kuondoa ujinga na maradhi.

Madaktari wetu wamekuwa wakienda kutabibu huko hata kwenye madini wataalamu wetu walisaidia sana. Tanzania waathirika wa HIV ni 3% watswana ni 21% wewe huoni kuwa haya ni maendeleo? Itakusaidia nini kuwa na maji ya bomba kama jamii yote ina maradhi?

Hao madaktari unadhani walipenda kwenda huko au tz ndio kulikua na shida na upuuz kibao wakaona bora kusepa Tz na sio madr. Tu mpaka mainjinia wengi waliondoka sabab Tz mambo ya siasa yalizidi kwan kuna mtu anapenda kukimbia nyumbani.?? Au shida na siasa ndo zikafanya waondoke na hayo mambo ya HIV+ angalia sasa % zimekaaje .??? Watz kuondoka wajaanza leo hata miaka ya 70-80 wengi walikimbilia Zambia vijana kwenye migodi ya shaba. Mpaka JK akaongea na kaunda kuweka ugumu waswahili kwenda kule lakini bado Tz siasa imejaaa ndio mana ni wajinga weng hii leo wajinga wamerudi tena wako kibao kila kitu ni siasa ndio mana nchi haina dira.
 
Uongo mbaya enzi za Mkwere tumetembea duniani sana. Tena sana. Gaborone, Geneva, Washington, London...mara kadhaa nimebadilisha begi airport (JNIA) ni mwendo wa kubadilisha ndege tu (Full paid) enzi hizo tunachagua ndege....tunaenda let say Algiers (Algeria au Tunis, humu humu Africa);
hAHAHA, Kijana wangu, kumbe nawe ulikuwa kwenye hizi,mambo....!!! Umenikumbusha mbali sana, yaan jamaa alitoa exposure kwa Senior staff.
Enzi za kuchagua ndege sasa ivi hazipo, kwanza unakuta kama safari basi labda ni Mkurugenzi wa idara moja tuu, atawakilisha shirika huko anakoenda.
 
Abakima balinamadako matale gudi madandali
1d820ab6adc5948337566ca91ab05dfb.jpg
angoi gudi madandali,waanisecha nkoi ngw'anaongw'iise
 
hii mada imejikita sana upande wa mambo ya kupata watoto!! vitu vya msingi kama Malazi na Chakula haujavigusia na hata nauli imekaaje kazi na mishahara ipoje, unahitaji kuwa na nini ili uishi ki uhalali kabisa!
 
Kuna viwanda vya nyumbani vya kutengeneza sabuni, hivi huajiri mtu mmoja tu! Yeye ni fundi, meneja, afisa masoko na pia ndiye afisa manunuzi.
Viwanda vikubwa bado havitoshelezi.
 
U
Naamu, unaweza fikiri mengi sana kuhusu Botswana kabla hujafika. Moja ya mambo utakayojiuliza hasa ukiwa kijana uliyeishi vijijini na muda mwingine mjini ni haya:-

1: Watu wa Botswana, ni wapole na wakarimu sana isipokuwa kwenye majiji makubwa huko ndiko kuna baadhi wamepinda

2: Utamaduni, ni watu wanaopenda asili yao na hawajifichi ikiwemo kuongea lugha yao ya asili (Setswana). Naweza sema kuwa mila na desturi zao wamekopi kwa wasukuma

3: Uoto wa asili; karibu mimea yote unayoiona Botswana basi utaikuta karibu yote Shinyanga

4: Rangi ya ngozi; asilimia 85% ni maji ya kunde (weupe) na hapo kwa msukuma ndo mahali pake.

5: Yale mambo yetu; Hawana kinyongo na wengi wao wamezalishwa wakiwa Shule ama makwao na kupigwa chini hivyo kukung'ang'ania umuoe ili kumkomoa baba watoto/mtoto ndo zao.

6: Una status gani? Ndilo swali utakutana nalo kila ukianza mahusiano na demu ama mwanamke wa Botswana ili afahamu kama una ngoma ama la na muishi vipi.

7: Ngoma ishakuwa kama Malaria tu.

8: Weekend mademu wa Botswana wengi huvuka border kuja South Africa kuspendi hivyo ukiwa na demu Botswana harafu daily anavuka border kuja South Africa kufanya shopping basi ujue ni shopping ya chini.

9: Kuna tetesi kuwa rais wao ni mbana pua (mimi simo)
Ubeti WA pili msitari WA mwisho umezungumizia kukopi wasukumi !!! Je na wao watsana ni mikono ya sweta!?? Naomba majibu
 
Najiuliza tu hivi ni kweli mademu wa botswana ni mazuri sana kama wanavyosifiwa humu kwenye hii thread bt kiuhalisia ni kwamba wabotswana ni wa kawaida sana hawawezi wakawazidi mademu wakali toka Angola balaa na majirani zetu watoto wa kinyarwanda. Ila cha kusikitisha ngoma imeitafuna sana Botswana na Namibia ukibahatika kuziona documentary tofauti tofauti za kutoka nchi hizi wao janga hili la ukimwi wamelizoea wanaona kawaida kwa kwenye kila familia ya watu hata saba utakuta watu mawili au watatu wana ngoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom