Google IAN KHAMANaomba picha ya rais wao na Jina lake!
Hivyo nilikuwa ninafanya mpango wa kuja kukusalimia J2, wala usiwe na hofu, mgeni mimi nitapika usiwaze kunipeleka kwa mama ntilie.Nimekumiss hadi nimekumisplesi
Teh teh teh teh teh teh, nilikuwa nikiulizwa navuga sijasikia, mwezako nilikuwa nazani anauliza status ya whatsapp. Kiingereza mkuu cha kuunga unga kwa solatepu shida sanaDaaaaah
Hio no 6 nikajua itakuwa economic status, kumbe ni health status
Daaaaaaa , hatarious sanaTeh teh teh teh teh teh, nilikuwa nikiulizwa navuga sijasikia, mwezako nilikuwa nazani anauliza status ya whatsapp. Kiingereza mkuu cha kuunga unga kwa solatepu shida sana

Kiswahili kina tafasiri pana sana, kama uelewa wako umefikia kikomo basi hewalaWaliwakopi Wasukuma!!??? Walikutana wapi????
Mmmmhhh ngoja waje
TUWAULIZE WANAOJIITA WA DARMbana pua maana yake nini? Sisi watu wa mikoani hatuelewi bhanaaaa
Hukatazwi. Kuna maswali wanauliza usipobabaika unapitaHivi.ukiwa na passport. Unaonyesha kila border si ndio!?kwa mfano.umefika mpakani tunduma ukaulizwa unakwenda wapi.utajibu nini?na je uhamiaji wanaweza wakakukataza hata kama una passport ya halali.endapo wakijua unapokwenda hauna ndugu wala nini
Little fat kid of North Korea (in SenatorJohn McCain's voice), jenga tabia ya kufuatilia mijadala. Unafikiri mimi nimeibuka tu from nowhere na kusema hivyo?Oya wewe mbona unatukana![]()
Chuu bhebhe angu mliyomba eyenoyo luga ya TaifaBhaleho abha madako gete shigolo aleyo bhalebhagehu,wengi ni weupe na portable

Duwilaghe imaana ya mbana pua!! What is the meaning of mbana pua?Naamu, unaweza fikiri mengi sana kuhusu Botswana kabla hujafika. Moja ya mambo utakayojiuliza hasa ukiwa kijana uliyeishi vijijini na muda mwingine mjini ni haya:-
1: Watu wa Botswana, ni wapole na wakarimu sana isipokuwa kwenye majiji makubwa huko ndiko kuna baadhi wamepinda
2: Utamaduni, ni watu wanaopenda asili yao na hawajifichi ikiwemo kuongea lugha yao ya asili (Setswana). Naweza sema kuwa mila na desturi zao wamekopi kwa wasukuma
3: Uoto wa asili; karibu mimea yote unayoiona Botswana basi utaikuta karibu yote Shinyanga
4: Rangi ya ngozi; asilimia 85% ni maji ya kunde (weupe) na hapo kwa msukuma ndo mahali pake.
5: Yale mambo yetu; Hawana kinyongo na wengi wao wamezalishwa wakiwa Shule ama makwao na kupigwa chini hivyo kukung'ang'ania umuoe ili kumkomoa baba watoto/mtoto ndo zao.
6: Una status gani? Ndilo swali utakutana nalo kila ukianza mahusiano na demu ama mwanamke wa Botswana ili afahamu kama una ngoma ama la na muishi vipi.
7: Ngoma ishakuwa kama Malaria tu.
8: Weekend mademu wa Botswana wengi huvuka border kuja South Africa kuspendi hivyo ukiwa na demu Botswana harafu daily anavuka border kuja South Africa kufanya shopping basi ujue ni shopping ya chini.
9: Kuna tetesi kuwa rais wao ni mbana pua (mimi simo)
Usinifanye nijione Nina hadhi ya kifalme!!!!!Hivyo nilikuwa ninafanya mpango wa kuja kukusalimia J2, wala usiwe na hofu, mgeni mimi nitapika usiwaze kunipeleka kwa mama ntilie.
Udaktari unalipa sana hukoMbana pua ndo nn kamanda!
Profesional/career gani zinahitajika sana/zinalipa hapo