Ijue Botswana japo kidogo tu

Ijue Botswana japo kidogo tu

Abakima balinamadako matale gudi madandali
1d820ab6adc5948337566ca91ab05dfb.jpg

Hili furushi la mihogo sio mchezo!!
 
Naamu, unaweza fikiri mengi sana kuhusu Botswana kabla hujafika. Moja ya mambo utakayojiuliza hasa ukiwa kijana uliyeishi vijijini na muda mwingine mjini ni haya:-

1: Watu wa Botswana, ni wapole na wakarimu sana isipokuwa kwenye majiji makubwa huko ndiko kuna baadhi wamepinda

2: Utamaduni, ni watu wanaopenda asili yao na hawajifichi ikiwemo kuongea lugha yao ya asili (Setswana). Naweza sema kuwa mila na desturi zao wamekopi kwa wasukuma

3: Uoto wa asili; karibu mimea yote unayoiona Botswana basi utaikuta karibu yote Shinyanga

4: Rangi ya ngozi; asilimia 85% ni maji ya kunde (weupe) na hapo kwa msukuma ndo mahali pake.

5: Yale mambo yetu; Hawana kinyongo na wengi wao wamezalishwa wakiwa Shule ama makwao na kupigwa chini hivyo kukung'ang'ania umuoe ili kumkomoa baba watoto/mtoto ndo zao.

6: Una status gani? Ndilo swali utakutana nalo kila ukianza mahusiano na demu ama mwanamke wa Botswana ili afahamu kama una ngoma ama la na muishi vipi.

7: Ngoma ishakuwa kama Malaria tu.

8: Weekend mademu wa Botswana wengi huvuka border kuja South Africa kuspendi hivyo ukiwa na demu Botswana harafu daily anavuka border kuja South Africa kufanya shopping basi ujue ni shopping ya chini.

9: Kuna tetesi kuwa rais wao ni mbana pua (mimi simo)
Weee acha kabisa ile kitu inaitwa chura ya wanawake wao si mchezo. Nguo fupi, hips nyeupe na hayo makalio, acha ile miguu ya tembo....... duh, acha kabisa masuala ya Gaborone.
 
uzi mzuri mno ila tungeupanua ili tuone wenzetu nini kumewafanya wawe moja ya nchi zilizopiga maendeleo makubwa hapa bara la Africa ,mimi nimeipenda uhuru walionau wananchi wake,jinsi wanasiasa wake walivyotumia almasi kuboresha uchumi wa nchi,currency yao mimi ningekuwa no 1 hapa Tanzania ningeipandikiza kwenye pula,na kuhakikisha tunauza zaidi ya kuagiza ili tudhibiti inflations,nimempenda no 1 wao ambaye ni simple tuu,anatembea mwenyewe mitaani na pikipiki na ulinzi mdogo sana,wanaokoa matumizi mabaya ya kodi,nimezipenda mno barabara zao ni nzuri mno na pana mno,sometimes hata videge vidogo vinatua kwenye hizi barabara,onlt thing not happy jinsi serikali yao ilivyowanyanyasa wale waasili wa nchi(bushmen)hasa kwenye masuala ya ardhi.otherwise its a great country to live ila wana sheria ngumu mno za uhamiaji,;na wametuibia waalimu wetu wengi hasa wa chuo kikuu,but maisha popote
 
Hapo nimekukubali mkuu asilimia 95% ndio tabia zao,wanapenda ulevi na ngono karibu watu wote Botswana
 
Wengi wa mademu zao vicheche ukiwa foreigner na una hela wanakupapatikia sana niliwahi kwenda huko 2015 enzi za JK na mikutano ya SADC (posho 550 USD per day) tukafikia City Lodge full raha nilikula mizigo ya maana japo bei ghali per night unalipia mpaka 200 USD hapo hujajumuisha bei za kulilisha na kulinywesha.
NB; awamu ya mitiripu ya kupiga pesa imeisha sasa ni kazi tu mpaka uchakae
 
umenikumbusha enzi hizo miss tanzania aliendaga ng'wanza kutembelea makaburi ya mv bukoba igoma huko....sasa kipindi hicho miss tanzania ndio inachanua nsukuma aka ngosha akawa anajua miss tz ndio mwanamke mzuri kuzidi wote tz,,, kafika na baiskeli yake hapo kushuhudia akasonya na kushangaa akapaza sauti "miss tanzania ke ate ni dako " kule uzuri idako faza....mengine baadae
 
umenikumbusha enzi hizo miss tanzania aliendaga ng'wanza kutembelea makaburi ya mv bukoba igoma huko....sasa kipindi hicho miss tanzania ndio inachanua nsukuma aka ngosha akawa anajua miss tz ndio mwanamke mzuri kuzidi wote tz,,, kafika na baiskeli yake hapo kushuhudia akasonya na kushangaa akapaza sauti "miss tanzania ke ate ni dako " kule uzuri idako faza....mengine baadae
Noma sana!
 
Lete habari za Namibia.

Namibia kama Tswana na south africa ila wao wana uzungu sana pia kuna wajerumani bado wanaishi ile nchi,pia ni nchi nzuri kuishi miji kama Swakopmund,Windhoek,Walvis bay au pia maeneo kama southwest karasi region kama sikosei ingawa mbongo yale maisha ataona kero wake mana kuna uzungu sana Lugha zao n Englishi german africaan na lugha za makabila ya asili kama wambo,herero nama etc.
 
Naamu, unaweza fikiri mengi sana kuhusu Botswana kabla hujafika. Moja ya mambo utakayojiuliza hasa ukiwa kijana uliyeishi vijijini na muda mwingine mjini ni haya:-

1: Watu wa Botswana, ni wapole na wakarimu sana isipokuwa kwenye majiji makubwa huko ndiko kuna baadhi wamepinda

2: Utamaduni, ni watu wanaopenda asili yao na hawajifichi ikiwemo kuongea lugha yao ya asili (Setswana). Naweza sema kuwa mila na desturi zao wamekopi kwa wasukuma

3: Uoto wa asili; karibu mimea yote unayoiona Botswana basi utaikuta karibu yote Shinyanga

4: Rangi ya ngozi; asilimia 85% ni maji ya kunde (weupe) na hapo kwa msukuma ndo mahali pake.

5: Yale mambo yetu; Hawana kinyongo na wengi wao wamezalishwa wakiwa Shule ama makwao na kupigwa chini hivyo kukung'ang'ania umuoe ili kumkomoa baba watoto/mtoto ndo zao.

6: Una status gani? Ndilo swali utakutana nalo kila ukianza mahusiano na demu ama mwanamke wa Botswana ili afahamu kama una ngoma ama la na muishi vipi.

7: Ngoma ishakuwa kama Malaria tu.

8: Weekend mademu wa Botswana wengi huvuka border kuja South Africa kuspendi hivyo ukiwa na demu Botswana harafu daily anavuka border kuja South Africa kufanya shopping basi ujue ni shopping ya chini.

9: Kuna tetesi kuwa rais wao ni mbana pua (mimi simo)
Nashukuru kwa elimu nzuri but Botswana hakuna mji unaoqualify kuitwa jiji kubwa. Ni nchi yenye vimji sema tu ni vizuri.
Gaborone ambayo ndiyo jiji kubwa nchini humo, ukiuleta Tanzania, hata top 10 hauingii ndani, maana una wakazi just about 200,000 2017.
 
Naamu, unaweza fikiri mengi sana kuhusu Botswana kabla hujafika. Moja ya mambo utakayojiuliza hasa ukiwa kijana uliyeishi vijijini na muda mwingine mjini ni haya:-

1: Watu wa Botswana, ni wapole na wakarimu sana isipokuwa kwenye majiji makubwa huko ndiko kuna baadhi wamepinda

2: Utamaduni, ni watu wanaopenda asili yao na hawajifichi ikiwemo kuongea lugha yao ya asili (Setswana). Naweza sema kuwa mila na desturi zao wamekopi kwa wasukuma

3: Uoto wa asili; karibu mimea yote unayoiona Botswana basi utaikuta karibu yote Shinyanga

4: Rangi ya ngozi; asilimia 85% ni maji ya kunde (weupe) na hapo kwa msukuma ndo mahali pake.

5: Yale mambo yetu; Hawana kinyongo na wengi wao wamezalishwa wakiwa Shule ama makwao na kupigwa chini hivyo kukung'ang'ania umuoe ili kumkomoa baba watoto/mtoto ndo zao.

6: Una status gani? Ndilo swali utakutana nalo kila ukianza mahusiano na demu ama mwanamke wa Botswana ili afahamu kama una ngoma ama la na muishi vipi.

7: Ngoma ishakuwa kama Malaria tu.

8: Weekend mademu wa Botswana wengi huvuka border kuja South Africa kuspendi hivyo ukiwa na demu Botswana harafu daily anavuka border kuja South Africa kufanya shopping basi ujue ni shopping ya chini.

9: Kuna tetesi kuwa rais wao ni mbana pua (mimi simo)
Mkuu naomba ruksa yako nikuPM
 
Nashukuru kwa elimu nzuri but Botswana hakuna mji unaoqualify kuitwa jiji kubwa. Ni nchi yenye vimji sema tu ni vizuri.
Gaborone ambayo ndiyo jiji kubwa nchini humo, ukiuleta Tanzania, hata top 10 hauingii ndani, maana una wakazi just about 200,000 2017.

Dar es salaam ni mji wa hovyo mchafu hakuna sehem ambazo ni smart kote uchafu mitaro hovyo taka zimejaa rambo zinazagaa mtaani pa1 na Gaborone kua na wakaz wachache ni moja ya town la maana,pia Francistown kumetulia sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom