Ijue Botswana japo kidogo tu

Ijue Botswana japo kidogo tu

Abakima balinamadako matale gudi madandali
1d820ab6adc5948337566ca91ab05dfb.jpg

Madandali ga giligita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia wale dada zetu wa Kanda ya Ziwa wanaoishi kwenye vibanda kule Dar eti wamejazana sana huko wakinadi ile kitu yao
 
Jamaa wanajitahidi kwenye uaminifu, na welfare ya raia wao, Keki yao wanakula wote, kila mtu yuko happy,

Unaweza kwenda sehemu unakuta pori lakini lina miundo mbinu yote, maji, umeme barabra, shule nk lakini hakuan mtu, na wanasema wanajenga kwa ajili ya baadae, madini yanaweza kwisha au yakakosa soko wao watakuwa tayari wameshawekeza

Wanawajali sna raia wao, kwa mfano watu wenye ukimwi unakuta wanapewa vyakula vya mwezi mzima Bure, hapo wamnapewa Maharage, Sukari na uji wao (Mutogo), ni mchi nzuri sana na mfano wa chi zilizoendelea bila imput ya Wazungu, Iko kwenye level moja na Zimbabwe, South Africa na Namibia kwa kujengwa lakini hizo zote zimejengwa na wazungu bali Botswana na "Waswahili"
Safi sana. Maana hapa JF kila siku tunaambiwa nchi za Africa zote choka mbaya na zina viongozi wa ovyo. Waafrika twende Botswana tukaone uwezo wa mwafrika wenzetu kujiletea maisha bora kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom