Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 33,040
- 82,575
naunga mkono hojaMagonjwa yapo tu hivyo yasiwe kikwazo cha kulimega tunda la katikati.
naunga mkono hojaMagonjwa yapo tu hivyo yasiwe kikwazo cha kulimega tunda la katikati.
Usichojua sisi wanaume tunawaona wanawake wanaoingia logde ni kama wanajiuza tu.Kuna rafiki yangu alinihadithiaga kuna alikuwa na appointment na shemeji sasa akarequest bolt ya bodaboda hadi hapo kwenye hiyo Lodge. Akaja boda akapanda hadi sehemu husika, akaachwa getini kabisa.
Sasa amekaa siku siyo nyingi anaona namba ngeni imempigia, akapokea akajitambulisha yeye ni yule boda aliyempeleka siku flani kule eneo flani, kama ana muda waongee, akamwambia atamcheki, akampotezea.
Baadae akampigia akamuuliza mbona hajamcheki akamwambia alikuwa bize, akaanza kumuuliza kama ameolewa, akamjibu tu kistaarabu hajaolewa ila yupo kwenye mahusiano. Akamwambia dah! Nilikuwa nataka nijaribu bahati yangu.
Wanaume hamna nidhamu ya uoga, wala kujali afya zenu kabisa mtu umempeleka hadi Lodge na unajua kabisa kinachoenda kutendeka humo na bado unamtongoza, WTF
Cc. secretarybird
holoholo
Mshangazi dot com
Nomadix
Nusratt
Poor Brain
Mbaga Jr
Hahaha 😂, hiyo itakuwa ya Bichwa Komwekwakweli ni mambo magumu sana kwangu , naogopa hata kuyawaza kichwani mwangu ,masuala sijui ya kupakana vinyesi na vitoto viwili vya afumbili ,very disgusting![]()
Bro we jaribu bahatiSiku hizi si nasikia zipo hadi za bei chee, kwanini asijipooze huko
Nani sasa hapo mkuu?Bro we jaribu bahati
Ila jamani pussy ipewe heshima yake🙌🙌🙌🙌🙌mnamiliki kitu muhimu sana yaani sana acha tu tuitolee pesa walahi msitunyime raha jamani
Popote pale ambapo unaweza pata uteleziNani sasa hapo mkuu?
Wewe unaweza kumtongoza mtu uliyempeleka Lodge kuliwa na mwanaume mwenzio?Akili zako zinafikirisha sana, kwahiyo sababu kaliwa huko lodge ndio asiliwe tena? asitongozwe?
Magonjwa yalikuwepo tangu miaka miaka ya tisa elfu mnamo.naunga mkono hoja
kaka unapanda mnazi na mkono mmoja 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀Ndo mana mm najihusisha na shughuli za upigaji nyeto tuu, mambo ya kupewa umeme na kubaki kilo mbili kisa kushindwa ku-control nyege zangu sitaki aisee
secretarybird kuna kipindi nilipiga nyeto mpaka ukuni ukawa na blue 🙌 ndo nataka hvy sasa 🔥
Upo sahihi pia, but Kwa upande wangu Mimi Kipaumbele changu Mimi ni ukweli. Napenda kujua ukweli no matter how hard it is for me to hold, Ni rahisi sana ku deal na mwanamke mkweli atakama anamadhaifu Gani kuliko ambaye sijui vingi kumuhusu.Ni kweli hakuna mkamilifu lakini, ni heri usijue kuliko unaona kwa macho yako na bado baadae unaomba show
Hii kitu itawamaliza wanaume wengiIla jamani pussy ipewe heshima yake🙌🙌🙌🙌🙌
Hiki kitu jamani inaongeza ujasiri kichwani kwa mwanamke yeyote.
Sawa mnasemaga kuwa inatisha kwa sura na muonekano, ila ndio hii hii huwa inabeba 75% ya 🧠 wa wanaume 😃😃😃.
Au nasema uongo ndugu yangu?
Ahhhh wapi!Watakuundia kakikosi wakuvamie😁😁
Maninaaaa...Punguza wivu mkuu.
Tunatagiana maana wengine hawataki kuonekana kama waruwaru humu ila huko Pm ni vibambala wa kutupwa.
Muhimu utelezi tu.Magonjwa yapo tu hivyo yasiwe kikwazo cha kulimega tunda la katikati.
kale kamchezo ni katamu mno usiombee upate wa kutoka bukoba watamu mnoMagonjwa yalikuwepo tangu miaka miaka ya tisa elfu mnamo.
Yasiingilie kati mchezo mtamu.
😂😂😂😂 Kaka pale kipindi unacheki mechi yaani ungejaribu kupiga kelele ukisema ""pooor brain "" walaah tungeonanaleo nilikuwa mtaani kwenu kaka nacheki fainali ya madogo wa azam pale azam complex