Ifike muda wanaume mjipende na kujiheshimu

Ifike muda wanaume mjipende na kujiheshimu

Bro, Nusratt hebu na ww jiweke kwenye nafsi ya Kiume uone kama utaweza kuhimili genye zikipanda.

Sometimes is tough sana na sio kama tunajiendekeza.
Huko ni kujiendekeza.
Yaani bodaboda anakufikisha kijiweni Mori, na hapohapo anataka game na nauli juu umlipe.
How come🤦‍♀️🤷‍♀️

Mimi naishi maisha ya jinsia zote, Ke na Me.
Nyege zisiwaendeshe wanaume.
Tena sio boda tu, kuna kundi hili la pili la wauza mabucha ya nyama na magenge.
Alooooo....

Wanaume, mnagongewa sana na wauza magenge na maduka.
 
Kwa sisi watoto wa kiume hapo sijaona kosa la bodaboda, hata huyo mke unayetaka amuoe unayehisi ni mstaarabu mda huo naye yupo site na current mbaba wake. Dunia ilipofikia sasahivi ni kushinda mechi zako tu hakuna ukamilifu wala utimilifu.
Ni kweli hakuna mkamilifu lakini, ni heri usijue kuliko unaona kwa macho yako na bado baadae unaomba show
 
Siyo boda tu wanaume wengi tu wa hivyo wapo hata humu, huwa nashangaa sana yaani mtu hata sura yako haijui ila kwasababu anakuona kwenye nyuzi anakuja kukutongoza PM, je kama anatongoza jini, loh! Wanaume wana ujasiri wa ajabu
Saaaaaana
Yaani ukiwa na profile picture ya kike Jf, ni tiketi ya wanaume kuja Pm.
Ipo siku atashikishwa mtu mjegeje huko Pm.
Muda haujafika tu
 
Wanaume wa siku hizi, hizi mbanga wanazo kabisa.
Tena wengine sio bodaboda kama secretarybird, mwanaume mwingine anakuokoa katikati ya kundi la wanaume waliokubaka na bado siku 4 au 5 mbele ataomba game tena bila condom.

Wanaume, hizi nyege zenu huwa hamna pa kuzipeleka?
nyinyi ndio wa kututoa jamani muwe mnatuonea huruma
 
Kuna rafiki yangu alinihadithiaga kuna alikuwa na appointment na shemeji sasa akarequest bolt ya bodaboda hadi hapo kwenye hiyo Lodge. Akaja boda akapanda hadi sehemu husika, akaachwa getini kabisa.

Sasa amekaa siku siyo nyingi anaona namba ngeni imempigia, akapokea akajitambulisha yeye ni yule boda aliyempeleka siku flani kule eneo flani, kama ana muda waongee, akamwambia atamcheki, akampotezea.

Baadae akampigia akamuuliza mbona hajamcheki akamwambia alikuwa bize, akaanza kumuuliza kama ameolewa, akamjibu tu kistaarabu hajaolewa ila yupo kwenye mahusiano. Akamwambia dah! Nilikuwa nataka nijaribu bahati yangu.

Wanaume hamna nidhamu ya uoga, wala kujali afya zenu kabisa mtu umempeleka hadi Lodge na unajua kabisa kinachoenda kutendeka humo na bado unamtongoza, WTF


Cc. secretarybird
holoholo
Mshangazi dot com
Nomadix
Nusratt
Poor Brain
Mbaga Jr
Hivi siku hizi ni lazima kuwe na tags kwenye mada za hapa ?
 
Back
Top Bottom