If Chadema change position it mustt apologize, unconditionally!

If Chadema change position it mustt apologize, unconditionally!

MMM, nawe unatakiwa uwaombe radhi cdm, yaani wabunge wote, plus kamati kuu unaona hawakutoa maamuzi sahihi, eti kuna lack of leadership, hao waliopo si viongozi,ila mawazo zako tuu ndo yako sahihi, eti wasema sitasema tena kwani wewe ni nani hasa, ni zaidi ya CC ya cdm. ubaya wa sisi wabongo tu washabiki sana, leo hivi kesho vile na vigeugeu balaa.

tulia dada; mimi ni nobody. the best you can do ni kuniignore tu.
 
Pole sana MMK, mwenye shida ya ukweli ndiye ataweza kudai na kuifuatilia haki yake na si vinginevyo. Ninao wategemea waje wadai katiba ni wale wanyonge na wanaopuuzwa na kubaguliwa katika elimu, afya na huduma nyingine za kijamii stahiki katika nchi yao. Nasema sasa hivi bado kwa sababu wanapewa vizawadi vidogo vidogo ikiwa ni pamoja na pilau na kisha wanasahau shida zao.
 
Kama kawaida yake Mwanakijiji anauma na kupuliza: Starting with the issue of wether or not the results announced by NEC, Do truely reflects the will of the people; the evidence adduced by chadema in support of its claim that they donot, is so overwhelming that unless these evidence are contradicted by an independent team of investigation, there is no reason not to believe chadema. For that reason, chadema has nothing to apologise for. As regards whether the strategies being pursued by chadema will be able to bring the intended results i.e levelling the playing field, it's everybody's guess; but one thing is certain, civility can never overturn the tyrany of the status quo; only a crisis actual or perceived produces real change. Unfortunately I dont see how the current policies being pursued by chadema is going to create a crisis to ccm- real or imaginary. And again in the absence of such a crisis, I dont see how one can convince ccm to commit sucide by conceding to a complete overhaul of the rule of the game, which currently is very much tilted in its favour.
 
quote_icon.png
Originally Posted by Waberoya
You must be an expert to know one! but here you have made mistake, bad one

It is not high time to answer all those points? answer it from A-Z. You will then be among great thinker unaweza kujibu utakavyo wewe!!

The critics has been made
you have your hidden agenda.

it will fail. believe me.

tangaza uchaguzi hata sasa
Huyu ana spin mambo hapa na nahisi ni mmoja kati ya waandishi wa habari wa Uhuru, Habari leo au mtanzania toiletpapers.
 
I always feel of Waberoya as a Chademalist who wants to form his own rabel faction.

Huyu mwanakijiji amenichanganya kabisaaa, mpaka sasa sijamuelewa.
Ng'wanangwa, hivi unaimani kuwa waberoya ni Chademalist? umejiunga JF lini? take your time, find out the real truth about this crapist utamuelewa kuwa ni ccm anayeleta spins zake hapa.
Wakati wote wa kampeni alikuwa against Chadema huyu. Muondoe kwenye lsit yako na hata kujibizana naye ni kupoteza muda.

kwa mwanakijiji sina comment namjua na najua udhaifu wake. Akipata machungu harudi nyuma. Hanaweza kupiga kiberiti hata nyumba yake ya manyasi. teh teh teh teh teh
 
Ng'wanangwa, hivi unaimani kuwa waberoya ni Chademalist? umejiunga JF lini? take your time, find out the real truth about this crapist utamuelewa kuwa ni ccm anayeleta spins zake hapa.
Wakati wote wa kampeni alikuwa against Chadema huyu. Muondoe kwenye lsit yako na hata kujibizana naye ni kupoteza muda.

kwa mwanakijiji sina comment namjua na najua udhaifu wake. Akipata machungu harudi nyuma. Hanaweza kupiga kiberiti hata nyumba yake ya manyasi. teh teh teh teh teh

yamekua hayo tena? matusi kabisa au???
 
Mimi CHARITYBOY (Mtetezi wa Wanyonge) niliwahi kuwaambia kuwa CDM hawajakomaa kisiasa, Mbowe bado mtoto inabidi wamsikilize zitto.
 
I'm going to say this in very categorical terms. And I mean every single word here in: CHADEMA must apologize to President Kikwete, its members, supporters and all Tanzanians in general. Why you may ask:

a. For leading people to believe that the elections were somehow not as free or fair as expected.

b. By leading people to believe that the presidential election results were somewhat tampered with, sabotaged or somewhat were fraudulent.

c. By suggesting that the National Electoral Commission colluded with CCM to ensure that president Kikwete remain in power.

d. By making people believe that they were the victims of a corrupt political system.

e. For walking out of the parliament when President Kikwete was about to address the nation protesting the legitimacy of the electoral results that put Kikwete in power. We now know that this was a wrong decision bases on what the CC of Chadema has decided.

What does all this mean? It simply means that Chadema has lost the argument on the fairness of the elections. It has lost the argument that NEC somewhat conducted one of the worst elections ever in the United Tanzania. In a long run this is what is going to happen.:

a. CCM will NOT and I'm stating with sense of absolute certainty - WILL NOT initiate or even allow the process to write a new constitution. The best they are going to is a cosmetic amendments to the constitution. Specifically, just those areas that cover NEC.

b. Chadema will go to the next elections from a position of weakness compared to the position it founds itself in during the 2010 elections.

c. Chadema has taken a position of strategic postponement of its internal problems. Once again it seems there is a lack of leadership; while others see the recent moves within Chadema as the most "intelligent" or "strategic" I see them as decisions of political expediency. One, Chadema is not United not in leadership but in vision, decisions and political positions and secondly, they are still thinking in terms of being an opposition party. CCM will definitely will like to maintain that status quo.

In short, Chadema SHOULD apologize, initiate a process of self assessment, correction and rebuilding. Otherwise, LET IT continue to dig its its own grave of political oblivion. They asked the people to support them, they argued for change in their manifesto, but when push came to shovel, Chadema flinched and flinching they continue.

I'm done with one too. Sigusi tena and those are my points and I'm sticking to each one of them.

Either Freedom or Death,

MMM




MMM; few people can read btw lines! What you are suggesting it seems convincing and it is better for Chadema to address those issues.

Why chadema is strong opposition party currently? It is because people do think that, they are honest when it comes to national interest, and to stay on top they should not loose this credibility! They should let the public know why they challenged the NEC and Election results which later resulted in walk-out during JK's speech.

Does Wanachi deserve explanation? Yes, and if in future wananchi learn that all this (said fraud) was a political scam to seek public sympathy our hope for better future will get in question again! We know and agree that; politicians do take opputunities but not jeopardizing nation unity and stability for their own interest.

Does Wananchi need Chadema? Yes, wananchi do need Strong Chadema as they need other strong opposition parties. What we witnessed or realised recently does not suggest that CCM should be left alone without strong opposition parties in deciding which way our country should go.


Again, thank you MMM for not being party fan!
 
Mwanakijiji kazi kuandika habari za Chadema na Sisiem, hata kura hakupiga, Hebu tumewambieni mwanakijiji kuwa aandike habari zinazohusu maendeleo ya Taifa. Mwanakijiji Uchaguzi umesiha acha kuandika habari za uchaguzi. Tunakata upige kelele za maendeleo ya nchi
 
UKWELI KABISA kuna watu kwenye hili jukwaa ''pendwa'' wananichanganya sana
 
SLAA(PhD) ya ukweli kiongozi wa nguvu ya umma sio wa katiba amekuwa wazi na amekuwa akiweka sawa msimamo wake, chadema na watanzania kabla ya kutangaza matokeo, wakati matokeo ya kidikiteta yakitangazwa na baada ya kuapishana kidikiteta. Asiyetaka kuelewa ni mnafiki na mgonjwa. Dr Slaa anafahamu sheria alikuwa na choice tatu muhim za kuchukua kujitangazia ushindi kama alivyofanya Quattara, au kuamuru nguvu ya umma idai haki au kutumia ustarabu na majadiliano kuweka sawa na kuondoa serikali za kidhalimu ambalo ndilo amelichukua -sasa asiyetaka kuelewa ana lake jambo. Kimsingi Dr.Slaaa na Chadema wanalengo kubadili mfumo huu wa kidikiteta na kinyonyaji hawana fitina na mtu wana fitina na mfumo na wale wanaokumbatia mfumo huo. KWAHIYO KWA GREAT THINKER YOYOTE ATAELEWA NINI CHADEMA WANAFANYA, KWA KATIBA YA SASA INARUHUSU UZANDIKI WOTE ULIOTOKEA NDIO MAANA TUNASEMA KATIBA MPYA NDIO KILIO CHA GREAT THINKERS. THIS IS NOT FOR CHADEMA IT IS FOR TANZANIA OR TANGANYIKA
 
CDM hata kama watakosea na kusema wanamtambua mimi simutambui bado. Kama ambapo CDM walikuwa wanatoa upinzani mkubwa matokeo yalikuwa yanachelewa kutolewa na hata kwa nguvu ya Umma; mimi ni against with the system in general. Wewe M.kijiji apologies. Kuanzia kampeni mpaka kutangaza matokeo ulikuwa ni ushetani mtupu. I will not be against with my first decision!!. M.kijiji umechakachuliwa na ZITO.
 
mi hizi siasa za tanzania hata sizielewagi sometimes, full kuchanganyana
 
my way back with full blust, 120km/hr bila kujali coner.

Kwa uelewa na ufahamu wa MMM, siyo rahisi kuamini kuwa hayuko popote katika vikao vya maamuzi. hata CCJaliyoipenda sana hakuwahi kuwa na nafasi kwenye kikao chochote. Lakini ni mkosoaji mzuri sana.

Shabiki mzuri ni yule ambaye yuko tayari kuuona uhalisia wa uwanjani siyo yule atakayetamani kufunga tu, hata kama kwa kufunga mshambuliaji angevunjuka mguu.

Mpaka sasa, hatujui uongozi wa Chadema una taarifa gani kutoka ndani ya CCM na Serikali yenyewe na hata wafadhili. Taarifa tulizonazo ni kutoka magazetini tu, lakini tayari lawama nyingi kabisa. Hivi ikitokea tukagundua baadae kuwa huu ulikuwa mkakati makini na sahihi kuliko yote kutokana na taarifa/mazingira ya wakati huu. JE MMM WILL YOU COME BACK AND APOLOOOOOOO OR YOU WILL JUST GO ON AS KAWAIDA?
 
Watu naona wanaitikia kwa haraka sana bila kutulia chini na kusoma hasa nimesema nini. Ninachosema ambacho labda inabidi nikifafanue ni kuwa Chadema wakisema "wanamtambua Kikwete kama Rais" au kutuambia kuwa kutoka kwao Bungeni hakukuwa na uhusiano wa kutomtambua Kikwete basi kuna matatizo. Nilichokisema based on a different thread (naamini labda ningeweka kwenye ile thread ningeeleweka kwa sababu wengine wamekuja na kuanzia hapa).

Kuna thread tulikoanzia ambayo ilikuwa na ujumbe huo kuwa "Chadema yamtambua JK"; Ilikuwa kutokana na hilo ndio maada hii ilipoanzia. kwamba hawawezi kubadilisha msimamo juu ya jambo kubwa kama hili na wakabakia bila ya kulipa gharama yake.

kwa mfano, Chadema wakisema:

a. Wanamtambua JK kuwa ni mshindi wa uchaguzi mkuu wa 2010 watakuwa wamebadilisha msimamo
b. Wanamtambua JK kwa sababu kura zinaonesha kuwa alishinda kwa haki wamebadilisha msimamo

Lakini wakisema (wote na ndio msimamo wa chama) kuwa:

Tume (chombo chenye mamlaka ya kumtangaza Rais) ilimtangaza JK kuwa ni Rais na hivyo JK ni Rais kwa sababu alitangazwa na Tume - watakuwa hawajabadili msimamo kwani wanaelezea a legal situation iliyopo.

Kwa hiyo, la msingi ni kujibu hilo swali. Na hapa niweke hili neno "kama" - kama msimamo wa Chadema wa kumtambua umebadilika kutoka ule wa awali ni lazima waombe msamaha. Lakini kama msimamo wao ni ule ule basi ni jukumu lao kusahihisha taarifa zinazoonesha au kuashiria kuwa wamebadilisha msimamo. Thats all I'm saying.

Samahani kama ntakuwa nimekosea, lakini sijawahi kuckia mahali cdm wanamtambua kkwete kama raisi kwa kuwa alishinda uchaguzi bali kwa kuwa alitangazwa na NEC ambayo kisheria iamna mahali unako weza kumpinga wala kumshitaki kulingana na sheria! Mzee MM, nahisi wewe kama wananchi wengi hamkuilewa CDM. Hivyo sorry sana kwa hizo comments zako sioni kama ni valid.
 
C
What is shocking about Chadema is that the election conditions they are complaining of after the elections are the same ones that existed before the elections. They knew NEC was led by presidential appointees. They knew everything. So why act now? It is like entering a match where u know the referee is biased but you chose to play it out any way and complain after the match.
.

Mkuu, sawa walijua kabla ya uchaguzi...lakini ulitaka wafanyeje??? What could be the best option? wasusie uchaguzi?? Nadhani you need to put yourself on their shoes alafu uangalie all conditions sio tu ulaumu.


Watu naona wanaitikia kwa haraka sana bila kutulia chini na kusoma hasa nimesema nini. Ninachosema ambacho labda inabidi nikifafanue ni kuwa Chadema wakisema "wanamtambua Kikwete kama Rais" au kutuambia kuwa kutoka kwao Bungeni hakukuwa na uhusiano wa kutomtambua Kikwete basi kuna matatizo. Nilichokisema based on a different thread (naamini labda ningeweka kwenye ile thread ningeeleweka kwa sababu wengine wamekuja na kuanzia hapa).

Kuna thread tulikoanzia ambayo ilikuwa na ujumbe huo kuwa "Chadema yamtambua JK"; Ilikuwa kutokana na hilo ndio maada hii ilipoanzia. kwamba hawawezi kubadilisha msimamo juu ya jambo kubwa kama hili na wakabakia bila ya kulipa gharama yake.

kwa mfano, Chadema wakisema:

a. Wanamtambua JK kuwa ni mshindi wa uchaguzi mkuu wa 2010 watakuwa wamebadilisha msimamo
b. Wanamtambua JK kwa sababu kura zinaonesha kuwa alishinda kwa haki wamebadilisha msimamo

Lakini wakisema (wote na ndio msimamo wa chama) kuwa:

Tume (chombo chenye mamlaka ya kumtangaza Rais) ilimtangaza JK kuwa ni Rais na hivyo JK ni Rais kwa sababu alitangazwa na Tume - watakuwa hawajabadili msimamo kwani wanaelezea a legal situation iliyopo.

Kwa hiyo, la msingi ni kujibu hilo swali. Na hapa niweke hili neno "kama" - kama msimamo wa Chadema wa kumtambua umebadilika kutoka ule wa awali ni lazima waombe msamaha. Lakini kama msimamo wao ni ule ule basi ni jukumu lao kusahihisha taarifa zinazoonesha au kuashiria kuwa wamebadilisha msimamo. Thats all I'm saying.

Mkuu MMJ, nadhani hapa wengi watakuelewa labda kama madela wa madilu aliposema ubadili lugha. Here I got your points vizuri. Labda watu waendelee kuwa wavivu kuelewa.


Ukisoma maoni ya watu humu ndani, then una appreciate the fact kwamba kumbe ni kweli watu/wanadamu wanatofautiana sana uwezo wa ku-analyse situation na mambo mbali mbali. Naona niishie hapo kwani kuna hoja nyingine huwezi zitegemea kabisaa, pengine ni kwa sababu hatufahamiani hapa.
 
my way back with full blust, 120km/hr bila kujali coner.

Kwa uelewa na ufahamu wa MMM, siyo rahisi kuamini kuwa hayuko popote katika vikao vya maamuzi. hata CCJaliyoipenda sana hakuwahi kuwa na nafasi kwenye kikao chochote. Lakini ni mkosoaji mzuri sana.

Shabiki mzuri ni yule ambaye yuko tayari kuuona uhalisia wa uwanjani siyo yule atakayetamani kufunga tu, hata kama kwa kufunga mshambuliaji angevunjuka mguu.

Mpaka sasa, hatujui uongozi wa Chadema una taarifa gani kutoka ndani ya CCM na Serikali yenyewe na hata wafadhili. Taarifa tulizonazo ni kutoka magazetini tu, lakini tayari lawama nyingi kabisa. Hivi ikitokea tukagundua baadae kuwa huu ulikuwa mkakati makini na sahihi kuliko yote kutokana na taarifa/mazingira ya wakati huu. JE MMM WILL YOU COME BACK AND APOLOOOOOOO OR YOU WILL JUST GO ON AS KAWAIDA?

Hata kama they have anything which they know; they should as well understand that they are doing politics and behind them are civilians (Supporters) who have rights to be psychologically prepared. People have got feelings and emotions sasa vipi ku raise adrenaline za watu alafu ghafla bin vu kuwaacha kwenye mataa bila maelezo ambayo yanatayarisha mwitikio sahihi wa audience? Mkiambiwa mnahatarisha amani ya taifa mtakataa? Watu wanyonge wamejenga matumaini makubwa na kwamba wakaaminishwa the right solution has come...mmmh? Acheni kuchezea hisia za watu. MMM aapologize kwa lipi yy madai yake ni kuhusu public ambayo imeachwa ikiwa na sinto fahamu nyingi hata kama yy binafsi anajua kinachoendela if i were to think for him!
 
Back
Top Bottom