If Chadema change position it mustt apologize, unconditionally!

If Chadema change position it mustt apologize, unconditionally!

Mwanakijiji, I as a reasonable person presume that you have seen the four corners of the class(you have gone to school). But your arguments raises reasonable doubt that you are part of the cluster of Mafisadi. Ni ukweli usiobishaniwa kuwa J Kiwete ni raisi halali ambaye yupo madarakani kwa mujibu wa katiba ya nchi. The disputable issue, Je JK ameingia madarakani kihalali? This is the stand of CDM. I hereinafter quote from the Mwananchi news paper of today 16th December 2010:
"Akizunguzia suala lililozua mjadala la uchaguzi mkuu, Dk Slaa alisema kamati kuu ilipokea taarifa ya matokea ya urais kujadili na kukubaliana kuwa matokeo yaliyompa ushindi Rais Jakaya Kikwete yalichezewa.
Alisema kutokana na sababu hizo, Chadema imependekeza kuundwa kwa kamati huru itakayochunguza matokeo hayo na kutoa taarifa itakayolenga kuweka wazi juu ya kila kitu kilichojiri kwa manufaa ya taifa.

"Ushahidi wa matokeo kutoka katika vituo kutofautiana na yale ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi; karatasi za matokea kufutwa ni vielelezo tosha kuwa matokea hayo yalichezewa," alisema Dk Slaa.
"Kisheria Tanzania ina rais na sisi Chadema tunasema nchi hii ina rais, lakini njia iliyutumika kumpata rais huyo si halali na hilo ndilo lililosababisha wabunge wa Chadema kutoka nje siku ya ufunguzi wa Mkutano wa Bunge," alisema Dk Slaa.
"Unajua hapa suala la kutambua au kutokumtambua rais siyo issue. Rais yupo na katiba inaelekeza kwamba rais akishachaguliwa huwezi kuhoji mahali popote na kwa maana hiyo rais yupo. Tatizo ni jinsi alivyopatikana."
 
mwanakijiji anataka tuamini hata Mahanga alishinda kihalali.

unafiki tu.

mawazo na fikra zetu kuhusu uchaguzi mkuu have nothing to do with Chadema

Chadema ni jicho la tatu tu. Tuliona wenyewe kwa macho yetu mawili kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki.

Chadema hakifikirii kwa niaba yetu wataka mabadiliko.

tuliona wenyewe.

Kwa hiyo uko juu ya chadema,

Mahanga na ccm wengine ni wezi tu! na kila mtu analijua hilo,CDM walianza vizuri ile move ya kutoka bungeni, na tulitarajia wangeendela na msimamo ule ule na pengine kuukaza na kwenda mbali zaidi.

hakuna haja ya kuwaonea aibu CCM, na cdm ndicho walichofanya!! wewe weka matumaini yako kwa CDM andika chini mark this date.

our AIM is to get true revolution acts from chadema, kama haujaelewa hivyo mtakuwa mkipinga, tunataka twende barabarani, maandamono, let Slaa akae siku 3 jela, kesho mbowe apigwe virungu na Zito apelekwe keko.CDM will be in higher level than it is now!!!

ISSUE hapa sio kuchekeana, CDM wangekaza buti na wangepata support,kumekuwa na tuhuma za ufanyaji biashara wa wapinzani..wait this thread may tell us something

Kaka upo, unataka mabadiliko mimi nataka kwa kasi kuliko wewe, msipingane na kumtukana MKJJ rather tungenungana na kusema CDM are we together? kama wanataka wakashikane mikono na JK waende tu.

kumkubali JK na kukataa process ni sarakasi za siasa ambazo haziiingii akilini mwa watu kirahis, mbaya zaidi process ambazo mlizijua kabla ya uchaguzi.
 
He always does switch sides

Sorry will differ with you on this. He doesn't witch sides......he always appears to support a good course.
The only downside is he can be too passionate on something and allow emotions take the better of him on certain occasions, like the current thread.
 
Geofrey Nyang'oro
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemtaka mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kupima mwenyewe kama aendelee na wadhifa wake wa naibu kiongozi wa upinzani bungeni baada ya wabunge wa chama hicho kupiga kura ya kutokuwa na imani naye.Pia, mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda ameundiwa tume ambayo itamchunguza mwenendo wake ikiwa ni baadhi ya mikakati ya chama hicho kujiweka sawa dhidi ya mtikisiko uliotokea baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu.

Zitto, ambaye alijijengea umaarufu mkubwa katika Bunge la Tisa, aliingia matatizoni baada ya kupinga hadharani msimamo wa wabunge wa Chadema kutoka kwenye ukumbi wa Bunge wakati Rais Jakaya Kikwete akianza kutoa hotuba ya uzinduzi wa Bunge la Kumi.

Zitto, ambaye hakuingia kwenye ukumbi wa Bunge kutekeleza uamuzi wa wenzake wa kumsusia Rais Kikwete, aliitisha mkutano na waandishi wa habari baada ya kitendo hicho cha kihistoria na kusema kuwa hawakupaswa kutoka kwenye ukumbi huo na kuweka hadharani jinsi uamuzi huo ulivyofikiwa ndani ya vikao vya wabunge wa Chadema.
Katibu mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa chama chake hakiwezi kuwaachia viongozi wake kufanya mambo yaliyo kinyume na misimamo ya chama na hivyo kimempa fursa Zitto apime mwenyewe kama anaweza kuendelea kuogoza watu wasiokuwa na imani naye.
Alikuwa akizungumzia mambo yaliyojiri katika kikao cha wabunge kilichofanyika kwa muda wa siku mbili mjini Bagamoyo wiki iliyopita na kufikia uamuzi huo wa kumpigia kura ya kutokuwa na imani mbunge huyo katika nafasi yake ya unaibu kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni.

Dk Slaa alisema maamuzi ya wabunge ya kutokuwa na imani naye kwa nafasi ya unaibu kiongozi bungeni yalifikishwa kwenye kamati kuu ya Chadema iliyoketi Desemba 11 mwaka huu.
"Kamati kuu haikukutana kujadili suala za Zitto sababu chama hakina mamlaka ya kuingilia kazi ya kamati ya wabunge, bali kilipokea taarifa ya uamuzi wa wabunge hao," alisema Dk Slaa.
Alisema kutokana na chama kutokuwa na uwezo wa kutoa uamuzi dhidi ya msimamo huo wa kamati ya wabunge, ni jukumu la Zitto mwenyewe kupima suala hilo na kuchukua uamuzi wa kujiuzulu au kuendelea na wadhifa wake.

Akizunguzia suala lililozua mjadala la uchaguzi mkuu, Dk Slaa alisema kamati kuu ilipokea taarifa ya matokea ya urais kujadili na kukubaliana kuwa matokeo yaliyompa ushindi Rais Jakaya Kikwete yalichezewa.
Alisema kutokana na sababu hizo, Chadema imependekeza kuundwa kwa kamati huru itakayochunguza matokeo hayo na kutoa taarifa itakayolenga kuweka wazi juu ya kila kitu kilichojiri kwa manufaa ya taifa.

"Ushahidi wa matokeo kutoka katika vituo kutofautiana na yale ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi; karatasi za matokea kufutwa ni vielelezo tosha kuwa matokea hayo yalichezewa," alisema Dk Slaa.
"Kisheria Tanzania ina rais na sisi Chadema tunasema nchi hii ina rais, lakini njia iliyutumika kumpata rais huyo si halali na hilo ndilo lililosababisha wabunge wa Chadema kutoka nje siku ya ufunguzi wa Mkutano wa Bunge," alisema Dk Slaa.
"Unajua hapa suala la kutambua au kutokumtambua rais siyo issue. Rais yupo na katiba inaelekeza kwamba rais akishachaguliwa huwezi kuhoji mahali popote na kwa maana hiyo rais yupo. Tatizo ni jinsi alivyopatikana."
Naye mkurugenzi wa habari na uenezi wa Chadema, Erasto Tumbo alisema kamati kuu iliunda tume inayoongozwa na Profesa Mwesiga Baregu na kutaja kazi zake mojawapo ikiwa ni kumpa ushauri Zitto na pili kumchunguza mbunge wa Jimbo la Maswa, John Shibuda.

Shibuda, ambaye alitokea CCM baada ya kuangushwa kwenye kura za maoni, aliripotiwa na vyombo vya habari kuwa alikorofishana na mbunge mwenzake wa chama hicho, Ezekiel Wenje wa Jimbo la Nyamagana kiasi cha kufikia kutupiana maneno makali.
Vyombo hivyo vilidai kuwa Shibuda aliahidi kumshtaki Wenje kwa wazee wa chama hicho kilichoshika nafasi ya pili kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
"Kamati kuu ya imeunda tume itakayaofanya kazi mbili; ya kwanza itakuwa kukutana na Zitto na kumshauri na kazi ya pili ni kumchunguzi mbunge wa Maswa John Shibuda," alisema Tumbo.

Kamati kuu, iliyokutana kwa siku moja jijini Dar es Salaam na pia kujadili suala la uchaguzi mkuu na mwenendo wa wanachama wake, imeeleza kuwa uamuzi wa kumchunguza Shibuda unatokana na mbunge huyo kuonekana kutokuwa na madili ndani ya chama.

"Kamati itamchunguza Shibuda na kutoa taarifa kwa chama na hii imetokana na mwenendo wake kubadilika na amekuwa akikiuka maadili ya chama," alisema Tumbo.
Alisema Chadema ina maadili yake ambayo kila mwanachama na kiongozi anastahili kuyafuata na kwamba kitendo cha mbunge huyo kukiuka maadili hayo ikiwa ni pamoja na kuzungumza mambo ya chama kwenye vyombo vya habari bila utaratibu.

Source:Mwananchi
 
Kwa hiyo uko juu ya chadema,

Mahanga na ccm wengine ni wezi tu! na kila mtu analijua hilo,CDM walianza vizuri ile move ya kutoka bungeni, na tulitarajia wangeendela na msimamo ule ule na pengine kuukaza na kwenda mbali zaidi.

hakuna haja ya kuwaonea aibu CCM, na cdm ndicho walichofanya!! wewe weka matumaini yako kwa CDM andika chini mark this date.

our AIM is to get true revolution acts from chadema, kama haujaelewa hivyo mtakuwa mkipinga, tunataka twende barabarani, maandamono, let Slaa akae siku 3 jela, kesho mbowe apigwe virungu na Zito apelekwe keko.CDM will be in higher level than it is now!!!

ISSUE hapa sio kuchekeana, CDM wangekaza buti na wangepata support,kumekuwa na tuhuma za ufanyaji biashara wa wapinzani..wait this thread may tell us something

Kaka upo, unataka mabadiliko mimi nataka kwa kasi kuliko wewe, msipingane na kumtukana MKJJ rather tungenungana na kusema CDM are we together? kama wanataka wakashikane mikono na JK waende tu.

kumkubali JK na kukataa process ni sarakasi za siasa ambazo haziiingii akilini mwa watu kirahis, mbaya zaidi process ambazo mlizijua kabla ya uchaguzi.

Wewe ni mgumu wa kuelewa. Certified
 
Ndugu zangu hivi mlitaka katika mazingira haya CDM wafanye nini mbadala ndio tuwaone kuwa ni wapiganaji kweli kweli??

Yaani sisi waswahili kwa kweli tumeshindikana, hatusaidiki, hatueleweki, hatutabiriki & hatubebeki hata kwa fuso!

Ama kweli MIAFRIKA NDIO TULIVYO!!!

kama kimefika mwisho wa kufikiri na kama wewe ulivyofikia mwisho wa kufikiri hauoni wanaweza kufanya nn then umeconfirm kuwa CDM is not hope for Tanzanians! kweli ndivyo tulivyo
 
Huu mtazamo ni wako au wa Chadema?
Na Dr. SLaa aliposema hamumtambui Kikwete alikuwa anatoa uamuzi wake au wa Chadema.

Kama mmeona kosa msione ugumu kuapologise, huo ndio uungwana.
Kaa kimya ewe mwana wa kibaraka
 
kama kimefika mwisho wa kufikiri na kama wewe ulivyofikia mwisho wa kufikiri hauoni wanaweza kufanya nn then umeconfirm kuwa CDM is not hope for Tanzanians! kweli ndivyo tulivyo

Hujajibu swali mkuu...

Na unaposema kimefika mwisho wa kufikiri unamaanisha nini?
 
This strengthen my political know how regarding type of leadership Chadema has. I once sadi this three weeks before election day that there are two types of leaders.

1.0 POLITICAL LEADER
2.0 ANALYTICAL LEADER

CHADEMA is typically LED by type 2 leadership i.e ANALYTICAL LEADERS - especially Dr. Slaa and Mbowe. And normally analytical leaders do Blunders + Bloodshed. In this you need a clear vision Political Leader like Zito to counter attack analytical leadres ambition since they are very dangerous to the Party itself and the Nation as a whole. Critically you can say that Zito is a traitor but in actual sense He is a healer!
 
Wewe ni mgumu wa kuelewa. Certified
Ngw'anangwa... naomba urejee kumsoma tena na tena mwanakijiji na pia pia waberoya kisha soma ulichoandika

kuna gaps... MMM kwa hili aweza kuwa sahihi zaidi, unless Slaa ana magic card tusiyoijua, highly interesting
 
CDM is not for revolution it is for evolution and compromisation.They are not supposed to be believed!! coward

.
Coward are those who fighting the battle while the're outside. They dont even seen in any polling station voting. What they trying to do is to remote the revolutionaries that are front in battle by frustrate them. We wont give these coward chance to disturb our charity and stability since we discover sisienism within. CHADEMA IS STILL THE HOPE FOR OUR DESTINY, SO SHALL IT BE TRUSTED AND BELIEVED!!
.
 
Ngw'anangwa... naomba urejee kumsoma tena na tena mwanakijiji na pia pia waberoya kisha soma ulichoandika

kuna gaps... MMM kwa hili aweza kuwa sahihi zaidi, unless Slaa ana magic card tusiyoijua, highly interesting

I always feel of Waberoya as a Chademalist who wants to form his own rabel faction.

Huyu mwanakijiji amenichanganya kabisaaa, mpaka sasa sijamuelewa.
 
This is painful truth! wote wanaoitakia mema nchi hii wakae wakijua CDM wametuuza na hawana mpango wa katiba mpya really! walianza vizuri na wangeendelea na moto ule ule! ikiwamo kususia bunge kama kweli walidhamiria!

mnawacheka CUF kwa mafanikio yao, believe me,CUF is far far away from CDM kwa kila kitu!! KATIBA NI VITA haitatolewa kama pipi,personal interest za baadhi ya viongozi zinawayumisbiah wengi na zinaficha kila kitu.

CDM made mistake na blind followe tu hawawaelewi kuwa wameishauzwa!
Wamekuuza wapi wakati uliwapa ccm kura yako? Mnafiki mkubwa kalale naona una usingizi.
 
Kiongozi, mimi nadhani Chadema sasa hivi inakuwa more strong than ever, leo hii wanajifunza namna gani ya kuongoza vita hata ambapo kuna upinzani wa ndani wa watu wachache,
Baada ya Kumsikiliza Dr Slaa vizuri jana, bado naamini CDM wanashikilia msimamo wao vizuri japo magazeti na vyombo vya habari vinaendeleza propaganda ili kuibomoa CDM, hawatafanikiwa, Chadema itasonga mbele
 
Watu naona wanaitikia kwa haraka sana bila kutulia chini na kusoma hasa nimesema nini. Ninachosema ambacho labda inabidi nikifafanue ni kuwa Chadema wakisema "wanamtambua Kikwete kama Rais" au kutuambia kuwa kutoka kwao Bungeni hakukuwa na uhusiano wa kutomtambua Kikwete basi kuna matatizo. Nilichokisema based on a different thread (naamini labda ningeweka kwenye ile thread ningeeleweka kwa sababu wengine wamekuja na kuanzia hapa).

Kuna thread tulikoanzia ambayo ilikuwa na ujumbe huo kuwa "Chadema yamtambua JK"; Ilikuwa kutokana na hilo ndio maada hii ilipoanzia. kwamba hawawezi kubadilisha msimamo juu ya jambo kubwa kama hili na wakabakia bila ya kulipa gharama yake.

kwa mfano, Chadema wakisema:

a. Wanamtambua JK kuwa ni mshindi wa uchaguzi mkuu wa 2010 watakuwa wamebadilisha msimamo
b. Wanamtambua JK kwa sababu kura zinaonesha kuwa alishinda kwa haki wamebadilisha msimamo

Lakini wakisema (wote na ndio msimamo wa chama) kuwa:

Tume (chombo chenye mamlaka ya kumtangaza Rais) ilimtangaza JK kuwa ni Rais na hivyo JK ni Rais kwa sababu alitangazwa na Tume - watakuwa hawajabadili msimamo kwani wanaelezea a legal situation iliyopo.

Kwa hiyo, la msingi ni kujibu hilo swali. Na hapa niweke hili neno "kama" - kama msimamo wa Chadema wa kumtambua umebadilika kutoka ule wa awali ni lazima waombe msamaha. Lakini kama msimamo wao ni ule ule basi ni jukumu lao kusahihisha taarifa zinazoonesha au kuashiria kuwa wamebadilisha msimamo. Thats all I'm saying.

Mzee mwanakijiji, naona na wewe pia unaanza kubadili msimamo wako; kwa mawazo yangu. Maana hili bandiko linatofautiana na bandiko la kwanza na mtu akisoma haya mabandiko mawili anapata ujumbe tofauti kabisa. Kama thread angekuwa imebeba ujumbe huu tangu mwanzo nadhani ingeeleweka zaidi. Mimi nadhani watu tunajadili msimamo wa Chadema kulingana na kile tulichosikia kwenye magazeti ambayo kulingana na level ya waandishi wetu wengi wa habari ni kuwa wana tabia ya kupindisha habari ili kusema kile wanachotaka watu wasikie badala ya kile kilichosemwa (mfano halisi ni pale unapokuta habari ileile lakini imeripotiwa tofauti kabisa na vyombo vyote vya habari). Tunapojadili msimamo wa chadema kutokana na habari iliyoandikwa kwenye gazeti la uhuru, kiu, ijumaa, mtanzania, habari leo, Rai, Al-nuur na yanayofanana na hayo basi tatizo litakuwa letu na si la chadema. We need to get information from the right sources gentlemen.
 
Will you thnk huyu jamaa atakayeombwa msamaha

atasamehe kikwelikweli au unafiki!!!!!!
 
I always feel of Waberoya as a Chademalist who wants to form his own rabel faction.

Huyu mwanakijiji amenichanganya kabisaaa, mpaka sasa sijamuelewa.
basi ngoja niseme kwa kifupi sana nilivyoelewa mimi

Nimeona kama chadema kurudi nyuma, basi warudi kabisa, wayakane hata yale yaliyokuwa msingi wao wa kupinga maovu yaliyotokea during uchaguzi, tena wayakane vizuri tu kwamba shetani aliwapitia na ndio maana sasa wanamtambua rais na mambo yake yote. kwamba yote waliyafanya kwa namna ambayo haielezeki kirahisi... ndio maana ya wao ku-backtrack

Mimi binafsi jana nilivunjwa moyo sana

Ila hii si mara ya kwanza chadema kufanya funny decisions na zikawork against wao

Ila nawaonya kitu kimonya, Tanzanians tupo kwenye ile industral movement, na historically kwenye ile movement huwa diplomasia ni minimal... na pia chadema waelewe kwamba tukipoa leo basi hatupati joto lile klirahisi tena... they think they can swing as developed world, it is not possible

Most tanzanians, we are illiterate, we are desperate and hata kwenye round table we usually go there with melting point inakaribia

so Ingawa nakubaliana na waberoya, na MMM, nasubiri kusikia nhiyo magic ya mwisho ya chadema

kuna kauli alitoa mwakyembe akisema watanzania si mabwege tena... ile kauli haimaanishi watanzania ni werevu na kama chadema wanadhani watanzania wameerevuka, basi wameula wa chuya,

WATANZANIA TUNGEEREVUKA WASINGEMPA KURA MTU AMBAYE MPAKA MARCH 2010 ALIKUA HAJUI KAMA ATAGOMBEA URAIS... WATANZANIA WALIPANDWA NA HOMA, HOMA YA DEGEDGE... SLAA KAISHUSHA

BASI TUONE IPANDE TENA KAMA ANAWEZA

DISGUSTING SCENARIO INDEED
 
Back
Top Bottom