Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,986
Tume imesema Ruto amepata Kura 7,176,141 sawa na asilimia 50.49 huku akifuatiwa na Raila Odinga kutoka Chama cha Azimio la Umoja
Mwenyekiti wa IEBC, Wafula Chebukati ametangaza matokeo hayo baada ya siku sita za kuyasubiri tangu siku iliyopigwa kura, Agosti 9, 2022.
Ruto amewashinda wagombea wenzake ambao ni Raila Odinga, mgombea wa Chama cha Agano, David Waihiga ambaye Agosti 14 alitangaza kushindwa, pamoja na Profesa George Wajackoyah wa Chama cha Roots.
William Ruto (UDA)
50.49%
7,176,121 Votes
Raila Odinga (AZIMIO)
48.85%
6,942,930 Votes
George Wajackoyah (RPK)
0.44%
61,969 Votes
David Waihiga (AGANO)
0.23%
31,987 Votes