Rais Ruto amuomba Raila Odinga kusitisha Maandamano, aahidi kuwalinda Wanahabari

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,355
8,042

Akihutubia Taifa leo April 2, 2023, Rais #WilliamRuto amemtaka Odinga kuruhusu mchakato wa Majadiliano ya Wabunge wa pande zote kushughulikia madai ya Upinzani, ikiwemo uteuzi wa Makamishna wa Tume ya Uchaguzi (IEBC).

Pia, Ruto amevihakikishia #VyomboVyaHabari usalama baada ya kuwepo kwa mashambulizi dhidi yao kutoka Idara za Usalama na kuagiza vyombo vya habari viachwe vifanye kazi bila kuingiliwa.

Maandamano hayo chini ya Azimio la Umoja One yanatarajiwa kuendelea tena Jumatatu Aprili 3, 2023 ikiwa ni siku ya 4 tangu kuanza kwake Machi 20, 2013 yakiongozwa na #RailaOdinga.

==============

President William Ruto has urged Azimio la Umoja One Kenya leader Raila Odinga to call off demonstrations and allow for a bipartisan parliamentary approach in tackling issues raised by the opposition, particularly the recruitment of electoral commissioners.

Dr Ruto, who was addressing the nation from State House, Nairobi, called for a bipartisan engagement in Parliament over the reconstitution of the Independent Boundaries and Electoral Commission (IEBC).

The President said the country should not find itself in the same position it was in following the handshake between opposition chief Raila Odinga and then-President Uhuru Kenyatta.

“As a believer in the rule of law and running an accountable government, our position is that we should never be in the position where this country was put in by the handshake where there is no distinction between the government and the opposition,” said Dr Ruto.

He has also reiterated the government's commitment to supporting the media saying no media will be shut down for covering anti-government protests.

Raila media briefing
Mr Odinga is also expected to address the media shortly and is currently in a meeting with members of his coalition.

The addresses come hours after the media called out the Kenya Kwanza government over plans to shut down the internet and a number of media houses.

Under the auspices of the Kenya Media Sector Working Group, the media stakeholders strongly called out Deputy President Rigathi Gachagua and pockets of senior Kenya Kwanza Alliance officials for attempting “to deny the free flow of information to the public”.

The media stakeholders also threatened a raft of measures including giving the government a blackout and staging a peaceful demonstration on Wednesday March 5.

NATION
 
Oh okay sawa. Si ni YY RUTO alisema atashusha SEMBE. Ndani ya cku 100 tu
 
View attachment 2574235
Akihutubia Taifa leo April 2, 2023, Rais #WilliamRuto amemtaka Odinga kuruhusu mchakato wa Majadiliano ya Wabunge wa pande zote kushughulikia madai ya Upinzani, ikiwemo uteuzi wa Makamishna wa Tume ya Uchaguzi (IEBC).

Pia, Ruto amevihakikishia #VyomboVyaHabari usalama baada ya kuwepo kwa mashambulizi dhidi yao kutoka Idara za Usalama na kuagiza vyombo vya habari viachwe vifanye kazi bila kuingiliwa.

Maandamano hayo chini ya Azimio la Umoja One yanatarajiwa kuendelea tena Jumatatu Aprili 3, 2023 ikiwa ni siku ya 4 tangu kuanza kwake Machi 20, 2013 yakiongozwa na #RailaOdinga.

==============

President William Ruto has urged Azimio la Umoja One Kenya leader Raila Odinga to call off demonstrations and allow for a bipartisan parliamentary approach in tackling issues raised by the opposition, particularly the recruitment of electoral commissioners.

Dr Ruto, who was addressing the nation from State House, Nairobi, called for a bipartisan engagement in Parliament over the reconstitution of the Independent Boundaries and Electoral Commission (IEBC).

The President said the country should not find itself in the same position it was in following the handshake between opposition chief Raila Odinga and then-President Uhuru Kenyatta.

“As a believer in the rule of law and running an accountable government, our position is that we should never be in the position where this country was put in by the handshake where there is no distinction between the government and the opposition,” said Dr Ruto.

He has also reiterated the government's commitment to supporting the media saying no media will be shut down for covering anti-government protests.

Raila media briefing
Mr Odinga is also expected to address the media shortly and is currently in a meeting with members of his coalition.

The addresses come hours after the media called out the Kenya Kwanza government over plans to shut down the internet and a number of media houses.

Under the auspices of the Kenya Media Sector Working Group, the media stakeholders strongly called out Deputy President Rigathi Gachagua and pockets of senior Kenya Kwanza Alliance officials for attempting “to deny the free flow of information to the public”.

The media stakeholders also threatened a raft of measures including giving the government a blackout and staging a peaceful demonstration on Wednesday March 5.

NATION
Hiki ndio ccm wanaogopa,wakiwaza katiba mpya,
 
kama kuna laana wakenya wanayo basi ni odinga....... he is a curse to kenya and tje kenyan society!

jamaa ni mbinafsi kupitiliza, yuko radhi raia wafe yeye aingie serikalini
 
kama kuna laana wakenya wanayo basi ni odinga....... he is a curse to kenya and tje kenyan society!

jamaa ni mbinafsi kupitiliza, yuko radhi raia wafe yeye aingie serikalini
Raila siyo tatzo,tatzo ni support aliyo nayo ambayo ni wananchi.. unadhani raila angekuwa tz hata angetangaza kuingia barabarani angepata watu? Kwa jinsi tulivyo waoga
 
View attachment 2574235
Akihutubia Taifa leo April 2, 2023, Rais #WilliamRuto amemtaka Odinga kuruhusu mchakato wa Majadiliano ya Wabunge wa pande zote kushughulikia madai ya Upinzani, ikiwemo uteuzi wa Makamishna wa Tume ya Uchaguzi (IEBC).

Pia, Ruto amevihakikishia #VyomboVyaHabari usalama baada ya kuwepo kwa mashambulizi dhidi yao kutoka Idara za Usalama na kuagiza vyombo vya habari viachwe vifanye kazi bila kuingiliwa.

Maandamano hayo chini ya Azimio la Umoja One yanatarajiwa kuendelea tena Jumatatu Aprili 3, 2023 ikiwa ni siku ya 4 tangu kuanza kwake Machi 20, 2013 yakiongozwa na #RailaOdinga.

==============

President William Ruto has urged Azimio la Umoja One Kenya leader Raila Odinga to call off demonstrations and allow for a bipartisan parliamentary approach in tackling issues raised by the opposition, particularly the recruitment of electoral commissioners.

Dr Ruto, who was addressing the nation from State House, Nairobi, called for a bipartisan engagement in Parliament over the reconstitution of the Independent Boundaries and Electoral Commission (IEBC).

The President said the country should not find itself in the same position it was in following the handshake between opposition chief Raila Odinga and then-President Uhuru Kenyatta.

“As a believer in the rule of law and running an accountable government, our position is that we should never be in the position where this country was put in by the handshake where there is no distinction between the government and the opposition,” said Dr Ruto.

He has also reiterated the government's commitment to supporting the media saying no media will be shut down for covering anti-government protests.

Raila media briefing
Mr Odinga is also expected to address the media shortly and is currently in a meeting with members of his coalition.

The addresses come hours after the media called out the Kenya Kwanza government over plans to shut down the internet and a number of media houses.

Under the auspices of the Kenya Media Sector Working Group, the media stakeholders strongly called out Deputy President Rigathi Gachagua and pockets of senior Kenya Kwanza Alliance officials for attempting “to deny the free flow of information to the public”.

The media stakeholders also threatened a raft of measures including giving the government a blackout and staging a peaceful demonstration on Wednesday March 5.

NATION
Somo limeingia
 
Duh, kweli baba ni baba.

Nimesikia Odinga akisema maandamano ya kesho ndio balaa toka Dunia imeumbwa, mama wa maandamano 😂.

Odinga balaa. Angalia manati hapa chini.
 
Raisi anamuomba jobless msamaha, JPM would never. Democracy zingine ni nonsense 🤣🤣
 
Back
Top Bottom