Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 31,546
- 90,401
Mnajianika wenyewe yeye kaleta tu mada😂Aaah! Sasa sie ndio jamaa amekuja kutuanika hapa anaharibu interview 😆 😂
Mnajianika wenyewe yeye kaleta tu mada😂Aaah! Sasa sie ndio jamaa amekuja kutuanika hapa anaharibu interview 😆 😂
Ankali nimebambwa nilikuwa najifanya mimi ni njemba kwenye ID moja kumbe mimi ni demu.Nini tena kimetokea ankali
Tuko 'kimkakati'.
Na makucha yake 😂Kumekucha
Nitasema tu, ngoja kakinywaji kanikolee vizuriUwe unatusanua wenzio jmn
Sasa hii mada si ndio inatuumbua? Tunapoteza konfidensi, kazi inakua ngumu, inabidi tuje na mikakati mipya.Mnajianika wenyewe yeye kaleta tu mada😂
Anatubembeleza kwa machozi🤣🤣🤣Ila wanawake tunavumiliaga mengi sana 😆 😂
View attachment 3667816
Kuna mwingine huyo ni mtu namheshimu, nimerudi JF nikagundua ID yake ya pili, kutwa yuko selfika anawaomba picha nyie wadada mnaopitaga naked, nikajisemea yani mijitu ya humu ni 🚮 🚮 🚮
Ole wako unitenge!!Aisee ni noma! Tuchagueni watu kwa umakini wa hali ya juu😅
Atarudi usiku kwa kujifariji na pisi anazoziona ndotoni😂🚮Sijui
Na si umeona kapotea
Ankali tatizo mwandiko umekuponza haufichi uzuri wakoAnkali nimebambwa nilikuwa najifanya mimi ni njemba kwenye ID moja kumbe mimi ni demu.
Kszi ya mods🤣🤣Seran Christine_1 why huyo mtu mnamficha, waambieni wenzenu ili aue ID zake zote aanze upya.
Nilisikitika sana nilivyojua na mimi ni target 🥹😭
Sema nini mwanetu kwangu utakula comments tu jukwaani hakuhakikishia.
Kama unaijua ruksa kabisa kuitaja, hata kama iko ambayo una hisi au kuna namna unawaza inawezakua ID yangu, ntafurahi ikiwekwa hapa wazi, itakua umeokoa wengine kutapeliwa.Au nikutaje na wewe ile ID yako nyingine 😂😉
Hasikii sijui mgonjwaaKahamia na kwangu
Nishamu ignore
Yaani ni rafiki yangu wa alimost 4 years. Alishanipa dada mmoja nikamsaidia kumuandikia project yake ya masuala ya wanawake (initiatives) Nikalipwa hela kadhaa.Hivi nguvu ya kumtumia mtu hela online hua mnazipatia wapi watanganyika wenzangu.
Mi nikitoa nipate na chotaka hapohapo. Huna iyo bidhaa mtasubiri waliyonayo walete ninue kitu nachoona.
Na zile anazozituma humuAtarudi usiku kwa kujifariji na pisi anazoziona ndotoni😂🚮