ID zenu nyingine tunazijua

ID zenu nyingine tunazijua

Ila wanawake tunavumiliaga mengi sana 😆 😂
View attachment 3667816

Kuna mwingine huyo ni mtu namheshimu, nimerudi JF nikagundua ID yake ya pili, kutwa yuko selfika anawaomba picha nyie wadada mnaopitaga naked, nikajisemea yani mijitu ya humu ni 🚮 🚮 🚮
Anatubembeleza kwa machozi🤣🤣🤣
Ndio jamii ya specie za humu, ila kujipa umuhimu sasa kujifanya wanamjua mtu🚮🚮
 
Seran Christine_1 why huyo mtu mnamficha, waambieni wenzenu ili aue ID zake zote aanze upya.

Nilisikitika sana nilivyojua na mimi ni target 🥹😭

Sema nini mwanetu kwangu utakula comments tu jukwaani hakuhakikishia.
Kszi ya mods🤣🤣
Btw mbona unaweza usiione tena ile id akaja kivingine
 
Hivi nguvu ya kumtumia mtu hela online hua mnazipatia wapi watanganyika wenzangu.

Mi nikitoa nipate na chotaka hapohapo. Huna iyo bidhaa mtasubiri waliyonayo walete ninue kitu nachoona.
Yaani ni rafiki yangu wa alimost 4 years. Alishanipa dada mmoja nikamsaidia kumuandikia project yake ya masuala ya wanawake (initiatives) Nikalipwa hela kadhaa.

My bad nilimwamini sana.
 
Back
Top Bottom