The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,883
- 48,002
Hii ni dunia kamili yenye mfumo tofauti kabisa na ulimwengu tunaoishi.JF kuna ujinga mwingi sana😂😂😂
Hii ni dunia kamili yenye mfumo tofauti kabisa na ulimwengu tunaoishi.JF kuna ujinga mwingi sana😂😂😂
Nendeni tu coz maana tutawaumbua mno!Sasa hii mada si ndio inatuumbua? Tunapoteza konfidensi, kazi inakua ngumu, inabidi tuje na mikakati mipya.
Mmetupopoa sanaNendeni tu coz maana tutawaumbua mno!
Ndio maana unaitwa wizi wa kuaminiwa 🤣Mbona ulitapeliwa kizembe sana
Bado tunaugulia, wengine ukiwaambia wananuna na kutengeneza uadui wanahisi unawazibia rizziki! Ningejua ningeacha walombwe tu🤣🤣Seran Christine_1 why huyo mtu mnamficha, waambieni wenzenu ili aue ID zake zote aanze upya.
Nilisikitika sana nilivyojua na mimi ni target 🥹😭
Sema nini mwanetu kwangu utakula comments tu jukwaani hakuhakikishia.
Tunachunguza bado, mambo ya kuliwa kizembe😎Ole wako unitenge!!
Hapo sawa!Yaani ni rafiki yangu wa alimost 4 years. Alishanipa dada mmoja nikamsaidia kumuandikia project yake ya masuala ya wanawake (initiatives) Nikalipwa hela kadhaa.
My bad nilimwamini sana.
Lord knows 🤦🏽♀️Kszi ya mods🤣🤣
Btw mbona unaweza usiione tena ile id akaja kivingine
Yani, msiamini watu humu, hata urafiki kuwa nao makini, si kwa wanawake, si kwa wanaume.Anatubembeleza kwa machozi🤣🤣🤣
Ndio jamii ya specie za humu, ila kujipa umuhimu sasa kujifanya wanamjua mtu🚮🚮
Enheee utanihadithia hiyo Old Monk inahusiana na nini and why? 🤔Haikua kosa lako, na wewe ulikua muhanga. Saa hizi nataka ku upgrade kidogo, kwenda Old Monk
Mshana anazishangilia😂Na zile anazozituma humu
Pole sana trust no oneNdio maana unaitwa wizi wa kuaminiwa
Ni leo tu mpaka mwakani tena😂Mmetupopoa sana
Hahahahahahahaa!!Mimi kilichoniuma ni kuamini yule mpuuzi ni mchungaji na nikashare naye mambo yangu na tukafanya maombi lisaa nikaanza kulia🤣🤣🤣
Mi nishalala gheto mmoja na mtoto mmoja wa jf! Tulikua Chaka site mmoja hivi lakini Kila mtu akaheshimu mipaka ya mwenzie.Tunachunguza bado, mambo ya kuliwa kizembe😎
Nimeona juzi umeambiwa una rafiki zako kindakindaki, hongera wenzio hatujawahi kubahatika kupata marafiki😂😂😂Yani, msiamini watu humu, hata urafiki kuwa nao makini, si kwa wanawake, si kwa wanaume.
Sasa hapo unafurahia nini we mzee🙄Hahahahahahahaa!!
Hii ni uongo!Mi nishalala gheto mmoja na mtoto mmoja wa jf! Tulikua Chaka site mmoja hivi lakini Kila mtu akaheshimu mipaka ya mwenzie.
Hakuna mchungaji anayeshinda selfika kuchungulia vishuzi vya kondoo😁Uwoga wako! Sisi ndio wachungaji kweli tukikabidhiwa kondoo hatumtamani