ID zenu nyingine tunazijua

ID zenu nyingine tunazijua

Matapeli hasa waomba hela wa humu wanafahamu exactly kitu ambacho akikwambia kitakugusa.

Kuna ID alisema mkewe mjamzito au kajifungua sikumbuki vizuri, Binafsi ameshanifata kwa ID tofauti kwa script moja. Watu wa JF wana akili sana walishamshtukia, mi nikawaambia hamuwezi jua labda mtu ana shida kweli, nikamtumia na ni hela ndogo tu nadhani ilikuwa 15 K. Mara ya pili nikamuignore siku ya siku naangalia PM yangu naona mbona hii ID imebadilika imekuwa nyingine?
Huwa wanasema na ela ya kula ukikaa week mbili unakuta id imebadli mimi sifuti pm ili nijionee miujiza ya jf😎
 
True story kuhusu multiple IDsp
Kuna mwana hapa jukwaani siwezi kumsahau😂😂🙌🏿 kama anasoma hii post anipe ishara ya 5 tu inatosha..
Huyu jamaa alikuwa na ID kama 10 hivi..! Mimi sikuwahi kujua kabisa

Sasa sijui alijuaje kama kipindi hicho nilikuwa na chenchi kidogo, basi kila week ilikuwa kuna ID ngeni 2 zinaniomba assist PM ya 5 to 10K❗

Mimi bila hiyana wala kinyongo nikawa narusha maana nayajua maisha ya mwanaume kuishiwa

Basi baada ya mwaka nikapata simu ngeni jamaa akanisalimia kwa furaha sana na kunishukuru sana.. Kisha akatuma msg kaka hii

Mshana kuna kipindi nilikuwa nimepigika mno.. Nilikula sana tano tano na kumi kumi zako kupitia ID mbalimbali

Sasa hivi niko Mwanza nataka nikutumie chochote kukushukuru😂😂😂 Je hii number inapokea miamala? Nikamwambia ndio..! Akasema nimpe dakika 5.. !!!

Mpaka Leo nasubiri huo muamala..! Yaani tapeli ni tapeli tuu..! 🙌🏿
Mkuu unaroho nyeupe sana
 
Why can't you just be real!? Woga wa nini sass😀🙌🏿❗

ID mlima kama zinaleta pesa!?
You just can't hide your inner self
Your reaction..
Your handwriting..
Your cycles..
Your puppetism..

ID ya kusifu watu
ID ya kutukana na kukashifu
ID ya mizinga
ID ya utakatifu feki🙌🏿🙆🏿‍♂
ID za uzinzi nknk

Shida sio kuwa na ID nyingi kwakuwa sheria inaruhusu.. Shida ni je unazitumiaje?😂

Basi tu tunasitiriana na kupotezea maana tunatambua changamoto za maisha na afya ya akili vinavyotesa wengi

ID ni kinyago unaweza kukibadili lakini sio uhalisia wako
ID ZENYU TUNAZIJUA...😂View attachment 3667736
Mbona kama mshanaa
 
Alisema he wanted to make things right, he is kind of matured na nini he is looking into new beggining, haaaa ukaanza kuchagua abaya ns nywele za brazil mara unaulizia bei maproduct ya gucci sijakaa sawa channel sijui mavitu ya mbele huko...nikakwambia tuliyaaaa, kaa kimya uone kwanza muamala, na akikulipa nahamia kwa mswati. Kiko wapi?
Heheheheh njoo uone Christine_1 sio yule mtu wetu kweli na ahadi za ma parfume yake ya laki 2 sijui 5 kumbe hata pa kukaa hana😂😂😂🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️
 
Alisema he wanted to make things right, he is kind of matured na nini he is looking into new beggining, haaaa ukaanza kuchagua abaya ns nywele za brazil mara unaulizia bei za maproduct ya gucci sijakaa sawa channel sijui mavitu ya mbele huko...nikakwambia tuliyaaaa, kaa kimya uone kwanza muamala, na akikulipa nahamia kwa mswati. Kiko wapi?
😆😆😆😆😆 Wewe ni nabii!

Nilishajiona navohamisha hela kwenye saving account yangu inavimba!

Kumbe ni tabia yao, nadhani kuna muda guilty fulani inawashika, ila kama alivyosema ankali Mshana, Tapeli ni tapeli tu.
 
Heheheheh njoo uone Christine_1 sio yule mtu wetu kweli na ahdi za ma parfume yake ya laki 2 sijui 5 kumbe hata pa kukaa hana😂😂😂🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️
😄😄😄😄atakua ninyeye
Si alisema ana biashara ya madini?
Mara mil 100🙌🙌
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Screenshot_20260910-180257.png
 
Back
Top Bottom