Nini tena kimetokea ankali
Usiombe yakukute aisee! Wachungaji wa jf noma😂Dah! Nimelia sana 😆
Kumbe 🤣🤣ni huzuni kwakweliNaye ni kondoo? Kidogo aliwe😂
HahahaHuyu shem wangu secretarybird siku hizi anajiita pawa.
Aisee ni noma! Tuchagueni watu kwa umakini wa hali ya juu😅Humu ni hatari,msaada unatoa inategemea mtu na mtu😁
Ila wanawake tunavumiliaga mengi sana 😆 😂Kama chokoraa🤣
Pole sanaUsiombe yakukute aisee! Wachungaji wa jf noma😂
Hiyo achana naye hana jipya hebu tuendelee kukusanya mafaili mezani😂🤣🤣🤣🏃♀️kila 1 ana flavour zake
Ebu niache mie , nilipo nimeridhika na kila kitu...
Umemuona huyo wa dislike 🤣🤣
Ila wanawake tunavumiliaga mengi sana 😆 😂
View attachment 3667816
Kuna mwingine huyo ni mtu namheshimu, nimerudi JF nikagundua ID yake ya pili, kutwa yuko selfika anawaomba picha nyie wadada mnaopitaga naked, nikajisemea yani mijitu ya humu ni 🚮 🚮 🚮
SijuiNimesoma comment yako nimeelewa 💯
Kwanini watu wako hivyo?
Kahamia na kwanguHiyo achana naye hana jipya hebu tuendelee kukusanya mafaili mezani😂
Ni kali mnoHahahahaaa sijawahi, ila kama ni tamu napiga tu. Inategemea niko wapi lakini.
Au nikutaje na wewe ile ID yako nyingine 😂😉Waokoe wenzio, utawaepusha na mabalaa zaidi.
Hivi nguvu ya kumtumia mtu hela online hua mnazipatia wapi watanganyika wenzangu.Haha hapana huyu ni tapeli wala sio wa JF he used to be a friend, alikuwa nje akanitext kuwa amefata mzigo wa simu, na nilikuwa nataka simu nikamtumia hela 3.4M akapotea nayo mazima. Nikamdai kama wiki hivi akasema amepata shida migration sijui nini nini nikatemana nae.
Umepita kama mwaka akanitext kuwa anataka tuonane anilipe hela yangu tufungue ukurasa mpya blah blah. Nikamjibu hii namba uliyonitext nayo tuma hiyo hela hamna haja ya mimi na wewe kuonana.
Nikascreenshot msg nikamtumia The Monk, Huyu ni legend anaelewa mambo yalivyo akaniambia don’t be delusional, mtu mwenye nia ya kulipa asingetuma hiyo msg, nikakaa nikasubiri weeeee mwezi karibu wa 4 huu hajanitafuta tena.
Sasa nimesoma hiyo comment ya mshana kuwa tapeli alimtext kumshukuru na kutaka kulipa fadhila halafu akapotea nikakumbuka situation yangu . 😅
Husikii huambiwi nusu uvunje account ya Dola 😂😭Sasa waambie waheshimiwa majaji kwamba na mimi aliniingiza king, kidogo nivurugane na wife najua nna rescue mwamba kumbe naingia mkenge.(Ila wanawake mmepewa namna ya kutambua hatari na michongo feki) niliambiwa kabisa mbona huyu mtu kama mission town? Ntasikia sasa.
KumekuchaIla wanawake tunavumiliaga mengi sana 😆 😂
View attachment 3667816
Kuna mwingine huyo ni mtu namheshimu, nimerudi JF nikagundua ID yake ya pili, kutwa yuko selfika anawaomba picha nyie wadada mnaopitaga naked, nikajisemea yani mijitu ya humu ni 🚮 🚮 🚮
We acha tu. Ila dunia hadaaHusikii huambiwi nusu uvunje account ya Dola 😂😭