Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,861
- 44,163
Hii ndo nakumbuka 😄😄😄Hii ya madini imekutach sana mamaake🤣🤣
Hii ndo nakumbuka 😄😄😄Hii ya madini imekutach sana mamaake🤣🤣
Kasheshe mama’ake😄😄😄noma
Ulifanya vzr ht wakikuchukia cha msingi ndani yako hukua na hila na Mungu anajua
So chill
What I can offer ni mibao tu.Heheheheh njoo uone Christine_1 sio yule mtu wetu kweli na ahadi za ma parfume yake ya laki 2 sijui 5 kumbe hata pa kukaa hana😂😂😂🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️
Mshenzi,sema masheteni😁Najuta kuna mashenzi humu ndani, mtu anakimbilia kwneye kuomewa wivu, cha kumuonea wivu hukioni😂
Haha hapana huyu ni tapeli wala sio wa JF he used to be a friend, alikuwa nje akanitext kuwa amefata mzigo wa simu, na nilikuwa nataka simu nikamtumia hela 3.4M akapotea nayo mazima. Nikamdai kama wiki hivi akasema amepata shida migration sijui nini nini nikatemana nae.Heheheheh njoo uone Christine_1 sio yule mtu wetu kweli na ahadi za ma parfume yake ya laki 2 sijui 5 kumbe hata pa kukaa hana😂😂😂🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️
Mimi kilichoniuma ni kuamini yule mpuuzi ni mchungaji na nikashare naye mambo yangu na tukafanya maombi lisaa nikaanza kulia🤣🤣🤣Hii mdo nakumbuka 😄😄😄
Nani alitaka kumtapeliValentines nikupeleke zanzibar🤣
😂😂😂 Kwa jinsi nilivyokuingiza kwenye matatizo kwa kweli ningelipwa ningekununua hata Hennessy 💔Au ulipewa mpunga ukaamua kunitengenezea mazingira? 😄
😄😄😄😄🤣🤣🤣Mimi kilichoniuma ni kuamini yule mpuuzi ni mchungaji na nikashare naye mambo yangu na tukafanya maombi lisaa nikaanza kulia🤣🤣🤣
mabao game au mabao yapi? Rough ni mpira huu? Yu bera woch ua bach chino wana man 😅What I can offer ni mibao tu.
Na rough....... Haya na uhakika nayo 100
Hahaha nimecheka kinoma katibu ulikula nauli na haukwenda😄😄mi alikuta sina hela za kunipiga ila zake nilikula
Shenz
Eti ooh huwa nina bness ya madini
Nikichek mtu anesema hayo na personality yake 2 different things
Sirudii tena kujifanya mtoa misaada aisee😂😂Mshenzi,sema masheteni😁
ok.Why can't you just be real!? Woga wa nini sass😀🙌🏿❗
ID mlima kama zinaleta pesa!?
You just can't hide your inner self
Your reaction..
Your handwriting..
Your cycles..
Your puppetism..
ID ya kusifu watu
ID ya kutukana na kukashifu
ID ya mizinga
ID ya utakatifu feki🙌🏿🙆🏿♂
ID za uzinzi nknk
Shida sio kuwa na ID nyingi kwakuwa sheria inaruhusu.. Shida ni je unazitumiaje?😂
Basi tu tunasitiriana na kupotezea maana tunatambua changamoto za maisha na afya ya akili vinavyotesa wengi
ID ni kinyago unaweza kukibadili lakini sio uhalisia wako
ID ZENYU TUNAZIJUA...😂View attachment 3667736

😂 😂 😂 Nimecheka mpaka nimekaa chini, huyo mtu mwenye milioni 200 sasa 😆Kuna siku nilimkuta anamwmabia Binti wa zamani sijui ampeleke wapi ana kama mil 200 hivi hazina kazi nikamsanua chapchap ndio akamshtukiaga, kuna mtu naye nilimsanua nusu aliwe saiz eti kanigeuza adui ila jf🙌🏾😂
🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️Hahaha nimecheka kinoma katibu ulikula nauli na haukwenda
Jamani ila binadamu bana! Pole sana ilishanikuta na mimi mara mbili au tatu kwenye kuagiza vitu vya biashara na cm ya kutumia mpaka kesho sifanyi hiyo biashara!Haha hapana huyu ni tapeli wala sio wa JF he used to be a friend, alikuwa nje akanitext kuwa amefata mzigo wa simu, na nilikuwa nataka simu nikamtumia hela 3.4M akapotea nayo mazima. Nikamdai kama wiki hivi akasema amepata shida migration sijui nini nini nikatemana nae.
Umepita kama mwaka akanitext kuwa anataka tuonane anilipe hela yangu tufungue ukurasa mpya blah blah. Nikamjibu hii namba uliyonitext nayo tuma hiyo hela hamna haja ya mimi na wewe kuonana.
Nikascreenshot msg nikamtumia The Monk, Huyu ni legend anaelewa mambo yalivyo akaniambia don’t be delusional, mtu mwenye nia ya kulipa asingetuma hiyo msg, nikakaa nikasubiri weeeee mwezi karibu wa 4 huu hajanitafuta tena.
Sasa nimesoma hiyo comment ya mshana kuwa tapeli alimtext kumshukuru na kutaka kulipa fadhila halafu akapotea nikakumbuka situation yangu . 😅
Haha hapana huyu ni tapeli wala sio wa JF he used to be a friend, alikuwa nje akanitext kuwa amefata mzigo wa simu, na nilikuwa nataka simu nikamtumia hela 3.4M akapotea nayo mazima. Nikamdai kama wiki hivi akasema amepata shida migration sijui nini nini nikatemana nae.
Umepita kama mwaka akanitext kuwa anataka tuonane anilipe hela yangu tufungue ukurasa mpya blah blah. Nikamjibu hii namba uliyonitext nayo tuma hiyo hela hamna haja ya mimi na wewe kuonana.
Nikascreenshot msg nikamtumia The Monk, Huyu ni legend anaelewa mambo yalivyo akaniambia don’t be delusional, mtu mwenye nia ya kulipa asingetuma hiyo msg, nikakaa nikasubiri weeeee mwezi karibu wa 4 huu hajanitafuta tena.
Sasa nimesoma hiyo comment ya mshana kuwa tapeli alimtext kumshukuru na kutaka kulipa fadhila halafu akapotea nikakumbuka situation yangu . 😅