reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,828
- 21,932
Jamani jamani jamani, nikiona Haya mambo natetemeka, kwa Mara ya kwanza maishan mwangu nililala sero, niliuziwa iPhone ikiwa icloud locked akasema inatoka mbele{nje) kumbe n ya mbio si wataalam waka i unlock, ile natia lain napiga simu siku hio hio Wale jamaa wa kolomijeee wasinitrack. Kwanza simu nilinunua 850k ikaenda, Sero nililala,TB ya bure nikaipataga mule ndani, M6 ikanitoka mana jamaa akadai kaibiwa na M6 japo ile mpaka polisi waliniambia hii M6 unaliwa ila hakukua na jinsi na mwisho akadai 500k ya usumbufu, kwa ufupi nilikula loss ya kama M8 iv . Yan asaiv naogopa hata USB sinunui kwa mtu. Mpk Leo nasema kama dhambi zinapangwa kubwa kwenda ndogo Natamani akishatoka muuaji ya pili iwe ya mwizi na tapeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app

