Mtoa mada una busara cjapata ona. Napenda unavojibu hizo negativity za watu juu yako. Angekuwa mwingine hapo naye povu lingeanza kumtoka na kurudisha mijitusi ya maana
Sent using Jamii Forums mobile app
We Jamaa bora niwe Tomaso tu ..hadi sasa FBI wenyewe wameshindwa chomoa icloud labda kama unaongelea screen lock...sio vizuri kudanganya watu wazima
Sent using Jamii Forums mobile app
Apple iphone x eeeh hapa sasa nimewakubali mbaya ila bei yake sasa inaanzia $999
Wamechemka sana hiyo simu tofauti Na tulivyotarajiaHatari sana.
1. From touch id to face id
2. No home button
3. Big display
Hyo 999 unaiona kubwa au?Apple iphone x eeeh hapa sasa nimewakubali mbaya ila bei yake sasa inaanzia $999
Wamechemka sana hiyo simu tofauti Na tulivyotarajia
Ndugu naamini ni msomi Na mstaarabu. Si kila mtu apitaye humu ni shambenga au shabiki. Jaribu kutofautisha aina ya watu wa kujibishana nao Na aina ya matamshi ya kutumia.We ambae unasubiri noah ya makinikia ushawaitengeneza hata Kijiti cha kuchomea mishkak.
So the big point hapa ni nini?Kalinganishe toka iphone(2007-2016) starting bei ilkua maximum n Benjamins wangap.?????? For me ni kubwa ila sabab n apple Guru disemba ntaichukua tu hakuna namna
Hapa ujanielewa napo basi lala
Ndugu naamini ni msomi Na mstaarabu. Si kila mtu apitaye humu ni shambenga au shabiki. Jaribu kutofautisha aina ya watu wa kujibishana nao Na aina ya matamshi ya kutumia.
Naamini wewe umewahi ponda vingi tu ambavyo huna uwezo wa kutengeneza. Mimi kutoweza hata tengeneza toothpick hakunifungi kutoa kasoro kwa vilivyokosa ubunifu.
Sent using Jamii Forums mobile app