icloud unlock for iphones

icloud unlock for iphones

Unaanza kuongelea malipo wakati umesema huwezi kuzifungua, halafu unawaita watu chemba ukawapige, acha utapeli wa kishenzi wewe....

kamba tupu, CIA hawawezi kuondoa iCLOUD hata ya iPhone 4. We mchawi wa Kisarawe unaziondoa unaanzia wapi? Dauche bag!
Kweli wewe Tindikali. Mbona hoja hapa ya kawaida tu? Unaongea hadi povu linakutoka? kama huna iphone si useme? acha wenye issue zao waongee kwa hoja
 
mimi huwa naona ni busara kumpa mtu nafasi atumie halafu upate cha kuongea. sio kumjaj mtu bila kumuona performance yake. kwan ukimpa nafas utapata kitu cha kujifunza kuliko kubaki na ujuzi wa kukariri vitu vya mwaka 47 katika karne ya sayansi na teknolojia. sio vibaya ku update ujuzi.
 
mimi huwa naona ni busara kumpa mtu nafasi atumie halafu upate cha kuongea. sio kumjaj mtu bila kumuona performance yake. kwan ukimpa nafas utapata kitu cha kujifunza kuliko kubaki na ujuzi wa kukariri vitu vya mwaka 47 katika karne ya sayansi na teknolojia. sio vibaya ku update ujuzi.
Asante sana shyja. Mimi nilikuja hapa in order to share what I have ili akipatikana mwingine tuongeze nguvu tusonge mbele. Nashangaa mzee Tindikali kaanza kunishambulia. Any way ni mawazo yake
 
Mkuu iphone zenye processor za 32 zinakuwa bypassed kimbembe kiko kwenye 64 processors ambazo zinarun over ios 9
Ni kweli elmagnifico.
iOS kuanzi 9 ni ngumu na nimeexperience kuliko kuanzia 9 downwards. nimefungua a significant iphones. nilitaka wa kushare naye experience. Nashangaa baadhi ya wadau kunishambulia
 
Unaanza kuongelea malipo wakati umesema huwezi kuzifungua, halafu unawaita watu chemba ukawapige, acha utapeli wa kishenzi wewe....

kamba tupu, CIA hawawezi kuondoa iCLOUD hata ya iPhone 4. We mchawi wa Kisarawe unaziondoa unaanzia wapi? Dauche bag!
Na kwa taarifa yako, mambo yote yanayohusu IT hayana 100% security. watu wanaiba pesa kwenye ATM machine. wanaingilia system ya uchaguzi marekani na hata juzi kenya? Sembuse mtu kafunga simu yake kwa kutumia email account na password watu washindwe kuifungua? for your information. icloud ni locking system inayofanywa na user kwa mwenyewe kuingiza any email account na password. akimuuzia mtu simu au akiipoteza bila owner kuingia kwa login credentials inakuwa useless. kwa wanaojua IT hapo ndo source code ya tatizo na kuna njia nyingi za kuifungua. nyingine zinakataa nyingine zinakubali
 
Ni kweli elmagnifico.
iOS kuanzi 9 ni ngumu na nimeexperience kuliko kuanzia 9 downwards. nimefungua a significant iphones. nilitaka wa kushare naye experience. Nashangaa baadhi ya wadau kunishambulia
Mkuu mimi nakuelewa kwasababu haya mambo nayafanya pia, halafu watu ambacho hawajui ni kuwa FBI walitaka access ile iphone pasipo kufuta data ndiyo maana hawakutaka bahatisha walichokuwa wanataka ni data zilizokuwa kwenye ile simu
 
Mkuu mimi nakuelewa kwasababu haya mambo nayafanya pia, halafu watu ambacho hawajui ni kuwa FBI walitaka access ile iphone pasipo kufuta data ndiyo maana hawakutaka bahatisha walichokuwa wanataka ni data zilizokuwa kwenye ile simu
Hapo sawa. Sasa kiongozi! nimefanikiwa kufungua iphone 6s moja tu kati ya nyingi nilizoletewa. iphone 6 na 7 zinakataa. kuna jamaa hapa bongo wananunua icloud locked iphone kutoka ebay na wanaziuza kama spare na wakikuta mtu hajui icloud wanampiga ndo wananiletea nizifungue. tunaweza kushare experience mzee
 
Hapo sawa. Sasa kiongozi! nimefanikiwa kufungua iphone 6s moja tu kati ya nyingi nilizoletewa. iphone 6 na 7 zinakataa. kuna jamaa hapa bongo wananunua icloud locked iphone kutoka ebay na wanaziuza kama spare na wakikuta mtu hajui icloud wanampiga ndo wananiletea nizifungue. tunaweza kushare experience mzee
Hiyo iphone 6s ilikuwa ina run ios gani mkuu
 
Kwanza Wew Jamaa unadeal na simu za wizi usisingizie eBay Wala nn
Na pili Hii ni promo yako mwenyew unataka kupiga watu Icloud haitoki Kirahisi hivo Labda kwa iPhone 3 na 4 ntakubali ila kwngne huko ni uongo mtupu

sent from my Nokia kidole juu (mshindi) using jamiiforums Mobile app
 
Personally sijabahatika kutoa iphone 6 yoyote mkuu ila nimetoa 5s tatu 4s mbili japo moja baada ya jamaa kui update ilipojirestart tu ikarudisha icloud ya zaman na imenigomea kuitoa
Look here. Ukifanikiwa kuifungua next step ni delete icloud account. kawaida ukilogin apple servers ukitumia iphone unakuwa full rights ya kuwasiliana na apple server na kufanya registration kana kwamba ndo mwenyewe. next time usikosee.
iphone 6 niko nazo napambana nazo nimefanikiwa moja baada ya kupata apple id ya mwenyewe kwa kutumia "social engineering" nafikiri hii lugha unaifahamu. it is anothe tool pia
 
Look here. Ukifanikiwa kuifungua next step ni delete icloud account. kawaida ukilogin apple servers ukitumia iphone unakuwa full rights ya kuwasiliana na apple server na kufanya registration kana kwamba ndo mwenyewe. next time usikosee.
iphone 6 niko nazo napambana nazo nimefanikiwa moja baada ya kupata apple id ya mwenyewe kwa kutumia "social engineering" nafikiri hii lugha unaifahamu. it is anothe tool pia
Asante kwa kuniongezea maarifa kuna kimeo ngoja nikakifanyie zoezi halafu nakupa mrejesho hapa hapa
 
Kwanza Wew Jamaa unadeal na simu za wizi usisingizie eBay Wala nn
Na pili Hii ni promo yako mwenyew unataka kupiga watu Icloud haitoki Kirahisi hivo Labda kwa iPhone 3 na 4 ntakubali ila kwngne huko ni uongo mtupu

sent from my Nokia kidole juu (mshindi) using jamiiforums Mobile app
Naeshimu maoni yako kiongozi. Kama ulinisoma vizuri kwenye introduction nimesema iphone nyingi kuanzia 5 downward nyingi nazifungua nasema kwa asilimia 70%. nimeanza kupata matatizo kwa iphone 6 & 7 upwards ndo nikataka kupata experience kama kuna mtu anajua.
Kiongozi, acha negativity. Nataka kupiga kivipi? si ulete simu yako? nikiifungua unanilipa! nikishindwa unachukua simu yako!
 
Kwanza Wew Jamaa unadeal na simu za wizi usisingizie eBay Wala nn
Na pili Hii ni promo yako mwenyew unataka kupiga watu Icloud haitoki Kirahisi hivo Labda kwa iPhone 3 na 4 ntakubali ila kwngne huko ni uongo mtupu

sent from my Nokia kidole juu (mshindi) using jamiiforums Mobile app
Alafu kiongozi. Kimantiki icloud locked iphone is everywhere. ukienda ebay, hata amazon.co utakuta locked phones. Sasa kawaulize walizipataje? kwahiyo na wao waliiba?
 
Kwanza Wew Jamaa unadeal na simu za wizi usisingizie eBay Wala nn
Na pili Hii ni promo yako mwenyew unataka kupiga watu Icloud haitoki Kirahisi hivo Labda kwa iPhone 3 na 4 ntakubali ila kwngne huko ni uongo mtupu

sent from my Nokia kidole juu (mshindi) using jamiiforums Mobile app
nenda ebay.com na amazon.com search icloud locked phone utaletewa kibao. kawaulize mlizipataje?
 
Alafu kiongozi. Kimantiki icloud locked iphone is everywhere. ukienda ebay, hata amazon.co utakuta locked phones. Sasa kawaulize walizipataje? kwahiyo na wao waliiba?
Ofcoz mkuu kuna za wizi na wengine wanasahau mimi kuna dada ni mpenzi wa iphone since 2014 kila tolea anabadl mpaka nw ana iphone 7 lakini uwa anasahau password yake ya icloud na kila mara uwa nafanya kuireset ya kila mara atanchek uzuri mimi ndiye nilimfungulia na email yangu ndiyo recovery email ya icloud yake
 
Ofcoz mkuu kuna za wizi na wengine wanasahau mimi kuna dada ni mpenzi wa iphone since 2014 kila tolea anabadl mpaka nw ana iphone 7 lakini uwa anasahau password yake ya icloud na kila mara uwa nafanya kuireset ya kila mara atanchek uzuri mimi ndiye nilimfungulia na email yangu ndiyo recovery email ya icloud yake
Umeona eeh? watu hawataki kujifunza. wanakuwa na negativity. Kwanza iphone zinatengenezwa Tanzania? kuna iphone kibao zinatoka ulaya kama mitumba zina icloud. sasa tukatae kujiongeza kiutundu ilitupate kipato kisa heti ziliibiwa? Jamani. Hapa bongo iphone utamuibia nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom