icloud unlock for iphones

Dear wana jamii forums. Zaidi ya miaka mitatu hivi nilikuwa naondoa lock za icloud kwa asilimia zaidi ya 70%. Yaani ukiniletea simu 10 zenye icloud, 7 nilikuwa naweza kuzifungua. Lakini kuanzia mwezi wa 7 mwaka huu 2017, especially simu mpya kama iphone 6s plus na 7 zimekuwa ngumu sana kuzifungua. Je! kuna yeyote hapa tunaweza kushirikiana ujuzi na uzoefu wa jinsi ya kuzifungua? Trust me. Hii ni biashara nzuri sana kwasababu ni kilio duniani ukiweza kufanikiwa kufungua angalau mbili kwa siku you will never be the same. Njoo tuzungumze
Kwa iphone 7 port zimebadilika ni 9999
Njia nyingine ni zile zile isipokuwa ukiifungua huwezi tumia app store
Ila vingine utafanya kama kawaida ...

Usiku mwema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa unashika watu masikio humu, icloud hakuna anayeweza kuzitoa tofauti na iPhone wenyewe.

Wewe na kimeza chako unakiweka barazani kwenye frem ya mtu kwa kuomba, unajifanya unaweza kuondoa icloud

Yaani watu kama nyie mnajifanya mnajua mambo sana kumbe kichwani kweupe kabisa.

FBI, CIA wameomba poo, alafu wewe kinikia uweze?

Tutolee uongo wako hapa

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata apple wenyewe hawawez maana details kama pasword za email unazo wewe mwenyewe simu
 
The mind is everything. What you think you become jaribu kufikiria namna inavyoweza fanyika.
kitu ambacho nimejifunza kutoka kwako unaamini kupita kiasi badilisha mfumo. asante

Aha siamini kiivo ila napenda dynamic mind kwa ninavojua wangekuletea weng saana hzo sim pia kuonesha ukipanga wako ungewaonesha how unatoa...then sio njaa ungetaka make money mana n pesa kubwa sana hyo ambayo ungetengeneza hzo icloud katoe kwnye iphone 4 labda ila sio iOs 7 au zaidi
 
sina njaa nijinsi tu unavyofikiria

Huko ulaya america ambako Code ndio Zimezaliwa wamekomaa wakaona waache lakini wewe huku mdai pesa za almasi na makinikia utwambie natoa yan jus Simple like that hii nimeshindwa kumeza Mr. Na ulaya/america/asia kuna mijitu imekubuhu katika ugeek na yanashinda nayo haya makitu kila siku lakin wap
 
like i said believe what you believe sasa kama unapata info za iPhone maana yake kila kitu kinakuwepo wewe unakuja sema eti email utapata wap tumia kidogo akili kufikiria na sio mdomo kuongea
I am talking from experience. Nimenunu a iphone 6s icloud lock for experimental reasons. Nimeika ndani saiv. FYI the phone was reported lost/stolen and was erased. The same service kama hio ulotumia wewe mimi nimetumia pia. Hakuna email ilokuwa linked na hio device. Kwaio huna la kunidanganya mkuu. I know the tricks used to make people believe they are removing icloud. The only way you can remove icloud apart from given the password from the original owner ni hardware change tu, which is very complicated.

Kuna njia baada ya kupata email ambayo inabidi uongee na mwenyewe umdanganye kuwa umeuziwa tu simu na mtu bila kujua hapo tena yeye kwa ukarimu aingie icloud na aiondoe device kwenye list yake, sijui kama hii ndio mnajisifia social engineering? kama ndio ivo sishangai kwanini there are alot of opportunities in the market for Developers lakini wote wameng'ang'ania kutengeza accounting packages
 
rafiki yangu hapo sikutumia imei no kuna inshu inaitwa UDID kama unajua basi usingeweza hata koment sema nini believe what you believe
Mkuu hio UDID nafikiri hao developers wenyewe wanaijua zaidi kuliko wewe.

Just to show you that i have been using izo services nakuekea screenshot.

Lazima ujue kama hii ishu ya kuondoa icloud watu wanaifanyia kazi kwa udi na uvumba, wanaishia bypassing tu.

Usidanganye watu
 

Attachments

  • Screen Shot 2017-09-12 at 10.30.39.png
    Screen Shot 2017-09-12 at 10.30.39.png
    13.3 KB · Views: 59
  • Screen Shot 2017-09-12 at 10.32.19.png
    Screen Shot 2017-09-12 at 10.32.19.png
    19.7 KB · Views: 53
Mkuu hio UDID nafikiri hao developers wenyewe wanaijua zaidi kuliko wewe.

Just to show you that i have been using izo services nakuekea screenshot.

Lazima ujue kama hii ishu ya kuondoa icloud watu wanaifanyia kazi kwa udi na uvumba, wanaishia bypassing tu.

Usidanganye watu
Na siku wakiweza hii kitu sinunui tena
 
Jamaa unashika watu masikio humu, icloud hakuna anayeweza kuzitoa tofauti na iPhone wenyewe.

Wewe na kimeza chako unakiweka barazani kwenye frem ya mtu kwa kuomba, unajifanya unaweza kuondoa icloud

Yaani watu kama nyie mnajifanya mnajua mambo sana kumbe kichwani kweupe kabisa.

FBI, CIA wameomba poo, alafu wewe kinikia uweze?

Tutolee uongo wako hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Fbi hawajawahi kuomba poo icloud,kilichokuwa kinatakiwa ni data za mmiliki wa simu,wakaomba apple wakanyimwa,wakazama chimbo iphone ikafunguka. apple wakataka kujua jamaa wamefunguaje nao wakakaza kusema walifanyaje.

So hata mimi leo nikitangaza natoa icloud lock jamaa wataniliwatanilipa,niwape ujanja waufix faster.
 
Fbi hawajawahi kuomba poo icloud,kilichokuwa kinatakiwa ni data za mmiliki wa simu,wakaomba apple wakanyimwa,wakazama chimbo iphone ikafunguka. apple wakataka kujua jamaa wamefunguaje nao wakakaza kusema walifanyaje.

So hata mimi leo nikitangaza natoa icloud lock jamaa wataniliwatanilipa,niwape ujanja waufix faster.
Ntagunduaje iphone ina icloud wakati nanunua iwe dukani au kwa mtu kitu cha kukiangalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hio UDID nafikiri hao developers wenyewe wanaijua zaidi kuliko wewe.

Just to show you that i have been using izo services nakuekea screenshot.

Lazima ujue kama hii ishu ya kuondoa icloud watu wanaifanyia kazi kwa udi na uvumba, wanaishia bypassing tu.

Usidanganye watu

 
Fbi hawajawahi kuomba poo icloud,kilichokuwa kinatakiwa ni data za mmiliki wa simu,wakaomba apple wakanyimwa,wakazama chimbo iphone ikafunguka. apple wakataka kujua jamaa wamefunguaje nao wakakaza kusema walifanyaje.

So hata mimi leo nikitangaza natoa icloud lock jamaa wataniliwatanilipa,niwape ujanja waufix faster.

FBI walichofanya waliwapelekea waisrael flan waka dismantle ile motherboard kitu ki1 baada ya kingine yana wakaifumua sim yooote ndo wakapata data which is too complex
 
Sawa kiongozi "poor country poor mind" sasa niende kuhack NASA ili iweje? ntapata nini? lakini kwa iphone kwavile wengi tunazitumia na wengi wanapata shida kwanini nisitake my chances to solve them huku nikijipatia kipato? Hiyo imekaaje?
Mtoa mada una busara cjapata ona. Napenda unavojibu hizo negativity za watu juu yako. Angekuwa mwingine hapo naye povu lingeanza kumtoka na kurudisha mijitusi ya maana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dear wana jamii forums. Zaidi ya miaka mitatu hivi nilikuwa naondoa lock za icloud kwa asilimia zaidi ya 70%. Yaani ukiniletea simu 10 zenye icloud, 7 nilikuwa naweza kuzifungua. Lakini kuanzia mwezi wa 7 mwaka huu 2017, especially simu mpya kama iphone 6s plus na 7 zimekuwa ngumu sana kuzifungua. Je! kuna yeyote hapa tunaweza kushirikiana ujuzi na uzoefu wa jinsi ya kuzifungua? Trust me. Hii ni biashara nzuri sana kwasababu ni kilio duniani ukiweza kufanikiwa kufungua angalau mbili kwa siku you will never be the same. Njoo tuzungumze
bei gan wa unlock

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom