Earth
Member
- Jun 9, 2015
- 12
- 10
Icloud haijawah kuwaacha watu salama....wenye mijikopo ya iphone na ipad tumieni tu bypass ili muingie hata jamii forums mpunguze machungu
Dis bypass..washa kaji wireless kutoka simu ingine au router kisha we nenda kwenye wireless setting set dns kwa kuweka 104.155.28.90 rudi nyuma weka password za wireless yako tumia..Instagram, Facebook, YouTube, Google na hata kuingia humu jukwaani kuliko kukaa na likopo.
Hapo unakua umejifurahisha ujafungua nikimanisha huwezi kupiga sim na hata ukiweza toa activation lock inakua ipod