icloud unlock for iphones

icloud unlock for iphones

Well said
Yaani achilia mbali zile zenye ***** kuna nyengine hata email haiji kabisa, hizo service anazotambia ni za kucheck icloud info na status unaweza kupata hio huduma iphoneunlock.zone eti anakuja kutudanganya anatoa lock kwa kulipia kupata izo info.

Katika youtube kuna majamaa wanajidai eti wanatoa icloud tena wanaonesha simu, kumbe simu zao wenyewe wanazilock, kisha wanazi unlock na kuaminisha watu inawezekana.....
 
Yaani achilia mbali zile zenye ***** kuna nyengine hata email haiji kabisa, hizo service anazotambia ni za kucheck icloud info na status unaweza kupata hio huduma iphoneunlock.zone eti anakuja kutudanganya anatoa lock kwa kulipia kupata izo info.

Katika youtube kuna majamaa wanajidai eti wanatoa icloud tena wanaonesha simu, kumbe simu zao wenyewe wanazilock, kisha wanazi unlock na kuaminisha watu inawezekana.....

Hawa nimewaambia kua wangekua mabilionea hii leo Tz tungakua tuna import makontena ya sim zenye icloud kama wangekua wanaweza toa na ku export sim ambazo ziko fresh so wangekua mabilionea shenz
 
Mkuu watanipa akili ya Kununua simu nyingine. Ujue huku mtaani kunawatu wanaotumia simu inamanyufa ya kufa Mtu. Ni bora aibiwe Ili maduka yapate faida

Na ndio uwezo wako wa akili umeishia hapo sim n device il Data zilizomo ndio mali labda kama hili ulikua hujui...
 
Na ndio uwezo wako wa akili umeishia hapo sim n device il Data zilizomo ndio mali labda kama hili ulikua hujui...
simu yangu haikai na data yoyote. Data Zangu ziko Google Drive. Ukiniibia ntaumia kwa kupoteza simu sio data
 

Sim ikiw icloud na na imewekwa find my iPhone akifunga mwenye nayo n kopo kwako huna uwezo wa kufungua zaman weng walkua wanaweka lost mode af anatoa email ake ndo wakawa wanapita humo wez kwa sasa IMPosibooooooooooo
 
simu yangu haikai na data yoyote. Data Zangu ziko Google Drive. Ukiniibia ntaumia kwa kupoteza simu sio data

Haya ila mie kwangu apple ndio kila kitu ntaweka data icloud sijui google drive au itunes lakin ukiibiwa apple umemkomesha pia alieiba atakua analitizama kua n kopo
 
Sim ikiw icloud na na imewekwa find my iPhone akifunga mwenye nayo n kopo kwako huna uwezo wa kufungua zaman weng walkua wanaweka lost mode af anatoa email ake ndo wakawa wanapita humo wez kwa sasa IMPosibooooooooooo
kama ios 8 kwenda mbele ni ngumu sana...ila watu wamefungua sana za nyuma chini ya 8....na baada ya case ya FBI wali upgrade security features na ndio kazi ilipo kwasasa....
nothing is impossible......hawa iphone wenyewe wanawalipa hackers...wakiweza ku crack...unawaonesha wao wanaenda upgrade ulinzi wao.
 
kama ios 8 kwenda mbele ni ngumu sana...ila watu wamefungua sana za nyuma chini ya 8....na baada ya case ya FBI wali upgrade security features na ndio kazi ilipo kwasasa....
nothing is impossible......hawa iphone wenyewe wanawalipa hackers...wakiweza ku crack...unawaonesha wao wanaenda upgrade ulinzi wao.

Ni sawa ios 8 kurud nyuma,,,,hilo la kuwalipa hackers pia sikatai lakin Je mwisho wa siku hazifunguki kama zinafunguka watu wangepiga pesa mana makopo n meng mtaani haswa...lakin mpaka sasa bado hali ni tete kesho wanatoa iOS 11 ingawa kuna mtu juu pale alisema anayo namuliza umeitoa wap anangaza macho
 
Ni sawa ios 8 kurud nyuma,,,,hilo la kuwalipa hackers pia sikatai lakin Je mwisho wa siku hazifunguki kama zinafunguka watu wangepiga pesa mana makopo n meng mtaani haswa...lakin mpaka sasa bado hali ni tete kesho wanatoa iOS 11 ingawa kuna mtu juu pale alisema anayo namuliza umeitoa wap anangaza macho
ahhaa ahaaa ahaa....11 bado sijui labda ni mmoja wa hackers wameipata mapema wanaitafutia njia ya ku crack
 
Ni sawa ios 8 kurud nyuma,,,,hilo la kuwalipa hackers pia sikatai lakin Je mwisho wa siku hazifunguki kama zinafunguka watu wangepiga pesa mana makopo n meng mtaani haswa...lakin mpaka sasa bado hali ni tete kesho wanatoa iOS 11 ingawa kuna mtu juu pale alisema anayo namuliza umeitoa wap anangaza macho
maana kuna jamaa hackers wanataka ku wipe icloud....so labda ni mmoja wao lets not underestimate our countrymen
 
Simple tafuta mwenyewe akufungulie niliibiwa iPhone Yangu natamani apple waongeze hizo security ..
 
ahhaa ahaaa ahaa....11 bado sijui labda ni mmoja wa hackers wameipata mapema wanaitafutia njia ya ku crack

Ipo beta version toka mwezi wa 6 walipo i announce kua Ios 11 ipo wazi ka ajili ya kuibuild madeveloper hata we hapo unaweza shusha tu sema ina bugs kibao kama sio mtaalam wa IT utaona kero ila Gold master inatoka kesho saa tatu usiku wanazindua pa1 na sim zao mpya za 2017.
 
Hawa nimewaambia kua wangekua mabilionea hii leo Tz tungakua tuna import makontena ya sim zenye icloud kama wangekua wanaweza toa na ku export sim ambazo ziko fresh so wangekua mabilionea shenz
😀 😀 😀 they thin every Tanzanian is dumb when it comes to iphone.... Kumbe wao ndio dumbs....

Huwezi kulipia service ya kucheki device info afu ukaja ukajinati kuwa eti umepata victim 😀
 
China inaongoza kwakufanya repair ya simu za iphone maarufu kwa jina refurbished. Lakin ukipeleka cm yako kuwauzia bila kutoa icloud hawakubali utaondoka na simu yako.
Bongo kila aliye jua kuwasha na kuzima pc akajua kuweka window na kutoa basi ICLOUD naweza toa.
Msiibie watu hasa kwa iphone 5s nakuendelea ambazo zinatumia current ios hakuna anae weza itoa.
 
MKUU, SHUGHULI UNAYOFANYA UTAMBUE TU KUWA NI KOSA LA JINAI.

HALAFU UNAFUTA ICLOUD KWENYE CM ILI IWEJE? YA WIZI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom