itara
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 2,240
- 1,576
Zinafunguliwa labda kama unaamua kubisha. njia inayotumika ni cracking, bypass, hacking, and social engineering. Kama unaelewa hizi lugha utakubaliana na mimi. Ila ni probability ambayo mpaka sasa nasema ni 70%. kama unayo yenye icloud tuwasiliane
labda kwa social engineering, na kw ku hack...lakini kwa ku crack ni ngumu au ku baypass.
labda kama utueleze through cracking ume develop kitu gani ambacho kitatoa lile neno udhi