Atlast nimempata
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 282
- 455
Dear wana Jamii Forums,
Zaidi ya miaka mitatu hivi nilikuwa naondoa Lock za iCloud kwa asilimia zaidi ya 70%. Yaani ukiniletea simu 10 zenye iCloud basi 7 kati ya hizo nilikuwa naweza kuzifungua.
Lakini kuanzia mwezi wa 7 mwaka huu (2017), especially simu mpya kama iPhone 6s plus na 7 zimekuwa ngumu sana kuzifungua.
Je! kuna yeyote hapa tunaweza kushirikiana ujuzi na uzoefu wa jinsi ya kuzifungua?
Trust me, hii ni biashara nzuri sana kwasababu ni kilio Duniani ukiweza kufanikiwa kufungua angalau mbili kwa siku you will never be the same.
Njoo tuzungumze
Zaidi ya miaka mitatu hivi nilikuwa naondoa Lock za iCloud kwa asilimia zaidi ya 70%. Yaani ukiniletea simu 10 zenye iCloud basi 7 kati ya hizo nilikuwa naweza kuzifungua.
Lakini kuanzia mwezi wa 7 mwaka huu (2017), especially simu mpya kama iPhone 6s plus na 7 zimekuwa ngumu sana kuzifungua.
Je! kuna yeyote hapa tunaweza kushirikiana ujuzi na uzoefu wa jinsi ya kuzifungua?
Trust me, hii ni biashara nzuri sana kwasababu ni kilio Duniani ukiweza kufanikiwa kufungua angalau mbili kwa siku you will never be the same.
Njoo tuzungumze