Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,400
Hongereni kwa ku-spin mambo!!! Hivi kujiunga CCM si hiari!!! Kama hukubaliani, si unakuwa nje kama mimi, sasa kuna haja gani ya Ku-spin.
Kila siku zinavyoenda hizi spinning strategy zinaendelea kuweka wazi kwamba kumbe CCM wako fiti zaidi.
Sasa ma-think tank wa Upinzani badala ya kuja na mambo yao... kueneza siasa zao wanapata shida na wanaCCM ambao wanabadilisha katiba yao kwa vikao... wanatoa matamko kwa vikao...
Mkuu,
Wengine si si si wanasiasa ila tunapenda kuona mabadiliko.
CCM kwa sasa inaonekana bado imara mno.
Sasa kama ni hivo itabidi pawepo watu kama Simba Makoni ambae huja kuvuruga uchaguzi kiufundi.