Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #121
Mzee, hatimaye nimefikia swali lako:
Now, it is good you said "purpoted manipulation of the 1995 Zanzibar presidential election". Binafsi siamini (na ninatumia neno siamini very strictly) kuwa Nyerere mwenyewe alishiriki kwenye hiyo "purpoted manipulation" ya Uchaguzi wa Rais.
However, nikiri kuwa suala la Zanzibar lilikuwa linamgusa sana Mwalimu na tena kwa passion. Kati ya vitu ambavyo alitaka kuhakikisha vinasalia hata baada ya yeye kuondoka madarakani au kufa ni kuwa muungano huo unadumu.
Hivyo, siyo suala la uchaguzi wa Zanzibar tu lakini hata suala la hoja ya Tanganyika aliingalia vivyo hivyo. Naamini Nyerere hakufurahia jinsi mambo yalivyoendeshwa na hasa jinsi uchaguzi ulivyoturn out.
Kwa mwalimu alitaka CCM ishinde lakini matokeo ya ushindi ule (na nimesema hapo nyuma) bila ya shaka yalimfanya Nyerere afikirie mara ya pili kwanini alitaka CCM ishinde. Na ndio sababu kama kiongozi yeyote anayefanya self assessment akaona kuondoa mgogoro ni bora wakae chini na kuunda serikali ya mseto. Aliona ukweli mmoja ambao wengine wamechelewa kuuona kuwa Zanzibar itaendelea kugawanyika na itachukua muda mrefu kwa kiongozi wa chama chochote kushindwa asilimia zaidi ya 55.
Sasa, ni jinsi gani Mwalimu alishiriki, binafsi sijui with hard facts ukiondoa maneno ya mitaani au ya watu wengine. Sitajaribu kuspeculate bila kuwa ushahidi wa upande mmoja au mwingine.
Lakini jambo la pili katika swali lako kuwa:
Hapana, siasa is a game of influence and influencing an election or something of that nature is part of politics that is why you have Bill Clinton rooting for his wife na wanasiasa wengine ambao wanaamini wana ujiko. It is all part of politics. Na kufanya hivyo haihusiani na intergrity ya mtu kwani ni sehemu ya siasa.
Wengi wetu hapa tunashiriki kuinfluence serikali kwa namna moja au nyingine and I don't think it diminishes our intergrity by doing so.
Lakini zaidi ya yote, mtu haukuhumiwi kwa uamuzi mmoja au kwa influence yake ya kisiasa. Mtu huukumiwa kwa ujumlisho wa kazi zake na maisha yake yote hadi dakika ya mwisho. HIvyo kusema kuwa that alone tarnishes "his whole persona of a man of high intergrity" ni hyperbole of the first kind.
Mwanakijiji, to what degree, if any, was Nyerere's involvement in the purpoted manipulation of the 1995 Zanzibar presidential vote. Because if he did influence it then that and that alone tarnishes his whole persona of a man of high intergrity.
Now, it is good you said "purpoted manipulation of the 1995 Zanzibar presidential election". Binafsi siamini (na ninatumia neno siamini very strictly) kuwa Nyerere mwenyewe alishiriki kwenye hiyo "purpoted manipulation" ya Uchaguzi wa Rais.
However, nikiri kuwa suala la Zanzibar lilikuwa linamgusa sana Mwalimu na tena kwa passion. Kati ya vitu ambavyo alitaka kuhakikisha vinasalia hata baada ya yeye kuondoka madarakani au kufa ni kuwa muungano huo unadumu.
Hivyo, siyo suala la uchaguzi wa Zanzibar tu lakini hata suala la hoja ya Tanganyika aliingalia vivyo hivyo. Naamini Nyerere hakufurahia jinsi mambo yalivyoendeshwa na hasa jinsi uchaguzi ulivyoturn out.
Kwa mwalimu alitaka CCM ishinde lakini matokeo ya ushindi ule (na nimesema hapo nyuma) bila ya shaka yalimfanya Nyerere afikirie mara ya pili kwanini alitaka CCM ishinde. Na ndio sababu kama kiongozi yeyote anayefanya self assessment akaona kuondoa mgogoro ni bora wakae chini na kuunda serikali ya mseto. Aliona ukweli mmoja ambao wengine wamechelewa kuuona kuwa Zanzibar itaendelea kugawanyika na itachukua muda mrefu kwa kiongozi wa chama chochote kushindwa asilimia zaidi ya 55.
Sasa, ni jinsi gani Mwalimu alishiriki, binafsi sijui with hard facts ukiondoa maneno ya mitaani au ya watu wengine. Sitajaribu kuspeculate bila kuwa ushahidi wa upande mmoja au mwingine.
Lakini jambo la pili katika swali lako kuwa:
Because if he did influence it then that and that alone tarnishes his whole persona of a man of high intergrity.
Hapana, siasa is a game of influence and influencing an election or something of that nature is part of politics that is why you have Bill Clinton rooting for his wife na wanasiasa wengine ambao wanaamini wana ujiko. It is all part of politics. Na kufanya hivyo haihusiani na intergrity ya mtu kwani ni sehemu ya siasa.
Wengi wetu hapa tunashiriki kuinfluence serikali kwa namna moja au nyingine and I don't think it diminishes our intergrity by doing so.
Lakini zaidi ya yote, mtu haukuhumiwi kwa uamuzi mmoja au kwa influence yake ya kisiasa. Mtu huukumiwa kwa ujumlisho wa kazi zake na maisha yake yote hadi dakika ya mwisho. HIvyo kusema kuwa that alone tarnishes "his whole persona of a man of high intergrity" ni hyperbole of the first kind.