Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
1.
Maneno ya katiba za vyama hatuyahitaji tena tunataka the rule of law, haiwezekani taifa zima li-freeze kwa sababu CCM wanakutana Butiama, ni lini US ili-feeze, eti kwa sababu Democrats au Republicnas wanakutana, never, vikao vya CCM na upinzani vinatakiwa viwe serious na kuzumngumzia sheria za jamhuri, sio maneno ya maadili who needs maadili? Na wanapokutana sisi wananchi na taifa tunaendelea kama kawaida kwa sababu wote tunajua kuwa tuna sheria za jamhuri, hili taifa limedumaa kisiasa na kisheria kwa sababu ya maadili yaliyoshindwa, tumechezewa weee na viongozi wachache wakijitajirisha huku sisi tumeshikilia maadili, sasa eti tuyarudie tena, no way!
Mimi mkuu ndio maana nikasema huko nyuma na ninarudia tena kwamba, wewe ni kati ya wana CCM wachache kabisa ninaoendelea kuwaheshimu maana mnadiriki kulisimamia taifa hata kama kufanya hivyo mtakisuta chama chenu. Nilianza ku-highlight point nzito zaidi hapo juu nikajikuta zote ni nzito na hivyo nikaacha. Hii ni hoja nzito mkuu wangu, tena naomba ruhusa rasmi nije ninukuu maneno yako haya kwenye moja ya makala zangu kwenye gazeti. Ahsante sana, tuendelee kuelimishana kupitia hii njia mahsusi tuliyoletewa na ndugu yetu Invisible. Kwa hoja zako hizi mimi naenda zangu kunywa Fosters, tuonane kesho.