Ninyi watu mmekaririshwa vibaya hao ni wahamiaji Haramu hata hapa huwa wanakamatwa wakikamatwa ndiyo iwe sababu ya kuilaum Israel????Huwezi kuweka picha hapa ya watu wamewekwa chini ya ulinzi na kutudanganya kuwa Israel inaonea watu lete habari ya picha hiyo yawezekana yakawa Magaidi yametumwa.
Kwa nini wanang`ang`ania nchi ya watu???wahamiaji haram hata hapa kwetu wanapopatikana wanapata joto ya jiwe kama wao waliona Israel ni wakatili kwa nini wasiende nchi za kiarabu???? naamini walienda huko kwa kuwa ni nchi nzuri tatizo hawakufuata utaratibu wengi wao walitokea Eritrea Sudan na kwingineko Swali kwa nini hawaendi nchi za Ki-ARABU????Wanajua watafanyiwa vitendo ambavyo si vya KI-BINADAMU watu wale si wazuri.
Kama wewe unashangaa picha hizo ngoja sasa tukuwekee picha za Operation Tokomeza Uone askari wa Tanzania na Israel wapi wakatili utalia mwenyewe maana TZ wana-adhibiwa mpaka Ng`ombe wanapigwa risasi,Hao ni wahalifu lazima mkono wa sheria ufanye kazi yake.
Wakristo si watu wa kuburuzwa na kila mmoja ana hiari yake hiari ya TUTU istufanye sisi sote tuwe kama yeye,Tena wakristo si watu wa kukariri kama ninyi,Ninyi mmekaririshwa kuwa Israel,na nchi zote za Magharibi eti ni MASHETANI na wote mmeaminishwa hivyo na mkaamini hivyo ndiyo maana kila anayeandika lazima aseme wayahudi si wakristo hilo sisi tunajua sana lakini haiwezi kuwa sababu ya sisi kuwachukia wayahudi maana sisi hatukaririshwi maneno,Wengine kila wanapoandika wanaanza eti kuna waarabu wengi wakristo huko, hiyo pia si sababu ya sisi kuchukia wengine.
ni vema umesema wakristo sio watu wa kuburuzwa sababu i am christian too but i only with humanity side, nitakemea ouvu wowote ule unaofanywa na waislam au wakristo au wayahudi! Hakuna mwenye tatizo na israel na watu wake but pale wakikosea na wewe fungua macho yako sema kweli pale wamefanya vibaya, au na wewe ndio umekaririshwa chochote wanachofanya jews ni sawa mbele ya mungu wako? Una hakika yesu angekuwepo asingekosoa mabaya wanayofanya ndugu zake wayahudi? wewe Echolima 2013 na Ishmael, anaweza akaja jews na qukutia kidole mnduquni mwenu na mtasema amens, hamtaona kosa !
ni vema umesema wakristo sio watu wa kuburuzwa sababu i am christian too but i only with humanity side, nitakemea ouvu wowote ule unaofanywa na waislam au wakristo au wayahudi! Hakuna mwenye tatizo na israel na watu wake but pale wakikosea na wewe fungua macho yako sema kweli pale wamefanya vibaya, au na wewe ndio umekaririshwa chochote wanachofanya jews ni sawa mbele ya mungu wako? Una hakika yesu angekuwepo asingekosoa mabaya wanayofanya ndugu zake wayahudi? wewe Echolima 2013 na Ishmael, anaweza akaja jews na qukutia kidole mnduquni mwenu na mtasema amens, hamtaona kosa !
Nyerere aliwafukuza hao an alikuwa mkristo
Kama unamjua Kristo kweli utapinga udhalimu unaofanywa na Waisrael dhidi ya Wapalestina, binadamu tuna hulka ya unafiki na ubinafsi. Mwenyezi Mungu atusaidie
Nahisi utakuwa shoga wewe
Bado wapendeni Wa-Israil wana wanyanyasa Watu Weusi huko kwao.
Kila nchi katika dunia yetu kuna Wahamiaji haramu hata Bara la Amerika ,Uingereza na ulaya yote kuna Wahamiaji haramu na hawanyanyaswi hata kidogo. Kwa mfano wewe ukienda Kenya ukinyanyaswa na Wa-Kenya kwa sababu wewe ni M-Tanzania? Je kweli hiyo ni haki? Kama sio Ubaguzi wa Rangi huo? Wayahudi na Wa-Arabu wote ni Wabaguzi wa Rangi haswa ukienda nchini kwao .Wewe hujaona Operation Tokomeza mbona hicho cha mtoto na isitoshe hao ni wahamiaji haramu ni lazima washughlikiwe ipasavyo kama Tanzania ilivyofanya kwenye misitu ya Lunzewe na huko Ngara na Kahama Ubaya uko wapi???
I am christian but i dont stand for israel for what is currently happening in Gaza is not something which even a stupid and dumb person can do. You dont have to be Jesus to recognize that children are being killed in Gaza. Jesus Christ save the palestines and burn israel.
Bolshevick from the Red Army
Wana dharau and they think they are very special. Hitler kawachoma moto kwenye matanuru yake. Nyerere kawafukuza. Iddie amini kawapa masaa waondoke. Leo hii mnaona jeuri na ujinga wanaofanya. Wanadharau sana hata watu weusi.
Bolshevick from the Red Army
Think about peope's lives before you even think of your holly books and religions. Think of children and women and the aged. Think of the bloodshed. Think of the sufferings and bitterness of being a refugee or asylum seeker. Palestines are also human beings and they have got to live happily without fear of rockets.
Bolshevick from the Red Army
Huko south america ambako kuna wakristo wengi na wamekata uhusiano na israel halafu jitu jeusi kama mkaa linakenua humu I stand with israel, ni ulimbukeni tu unakusumbua mtoa post na wengine wenye ulimbukeni kama wewe wasiotaka kufikiria
wewe jamaa kweli wewe ni kizibo, ouvu ni ouvu tu ufanywe na watanzania au na wamarekani au wakenya , hakunaga double standard au kuhalalisha ouvu kisa sababu ouvu kama huo huo unafanywa ulifanywa na watanzania! wewe jamaa unaweza kunya sebuleni eti kisasa fulani naye aliwahi au anakunyaga sebuleni. jinga sana wewe!
Mkuu we si unasema lile ni Taifa la mungu, wale ni watu wa mungu? tena hao wakimbizi watakuwa ni wakristo wakiomba "hifadhi dhidi ya vita?Tofautisha uhamiaji haramu na KUOMBA ASYLUM.... watu weusi wanabaguliwa wewe na ni maombi ya ukimbizi....
sasa kama hawabaguliwi kwa rangi yao huyu nae unasemaje?....masikini wanateseka watu weusi huko waonee huruma kidogo....
Waisrael hawaamini ukiristo wala hawamuamn yesu wenu lakini nyinyi hamjielewi yaani nyinyi kwa kifupi mpo against uislam na si vinginevyo na nyinyi ni watu wakusikitiwa mno hamjui pakushika
ww si unaenda tu kama mtalii na kurudi,
nenda weka makazi kama hujafukuzwa kama mbwa,
these guys know nothing about humanity