I stand with Israel

I stand with Israel

Naomba Wakristo wanielimishe: kwa nini unaona ukiwa Mkristo una wajibu wa kuisapoti Israeli? Waisraeli ni Jews ambao mnasema ndio waliomwua Yesu, mungu wenu, au mtoto wa mungu wenu. Sasa inakuwaje mnawapenda watu hawa? It does not make sense to me. Could someone educate me?

Hapana si kweli, Wakristo hawapendi kabisa Israel au Nchi yoyote itende mauwaji, ila sasa nashangaa nyinyi mtu au nchi ya uislam ikikosea na kufanya mauwaji its okey kwasababu tu ni Waislam.

Syria imeuwa watu wangapi na Israel imeuwa wangapi? Au Boko imeua watu wangapi?

Hatuwezi kutetea Israel eti kwasababu sisi ni wakristo, Sisi ni wakristo kwasababu ya kupinga mabaya thats all.

Na siwezi kuwa mnafiki kwasababu mimi ni mkristo, unafiki utakuwa wangu kwasababu ya nafsi yangu na nikiwa mnafiki mzandiki ni ujuha maana nimepewa akili ya kupambanua zuri ni lipi na baya ni lipi.

Waisrael na Wapalestina wanapigana haijalishi nanikashindwa ila huo ndio Ukweli wanapigana, Ningeilaani Israel kama ingekuwa inapiga Hamas bila na wao kurushiwa maloketi hapo ningewaraani.
 
I stand for israel.eti wanaua watoto wadogo wasio na hatia?kwani wale binti wa Nigeria walikuwa na hatia?piga kabisa hao.
 
Uhai ni zawadi kotoka kwa Mungu hakuna mtu mwenye mamlaka ya kuutoa uhai wa mtu yeyote iwe Mpalestina au Muisrael......Hapa sina ushabiki wa aina yeyote....Mungu ninaye muabudu ni Mungu wa wote wenye uhai...

Hakuna mahali mapatano yamepatikana kwa kutumia nguvu na mabavu, ila amani na mapatano yanapatikana kwa watu wenye busara kukaa chini na kukubaliana kuacha machafuko(Diplomacy)

Kama mimi ni Pro-life naomba Mungu awape hekima mataifa haya mawili yaweze kuona nguvu ya mazungumzo(Diplomacy) ni jambo la maana na kuacha mauaji...

Siwezi kushangilia mauaji tena upande mmoja ukuia wanawake na watoto ambao hawawezi kujitetea....

Ahsanteni...
 
Tunachotakiwa kupigania si udini UWE Muslim, Uwe christian tunachokitaka ni UBINADAMUU....
Mimi sipendelei Japo ni Muslim lkn Nina Baadhi ya ndugu zangu Uncles, Babu Christians nawapenda pia singependa wapigane...Pia Wapenzi tunapata wengine Christians / Muslims tuishi kwa amani. Americans ndio wachokozi Believe or NOT ktk mataifa mengi. Viongozi wengi wa nchi zilizo endelea, ni devils amini usiamini...Wanaamini dini ya Shetani wanataka woote twende huko...






View attachment 177617

Kwanini Hamas waliwaua wale vijana wa ki Israel?
 
Hapana si kweli, Wakristo hawapendi kabisa Israel au Nchi yoyote itende mauwaji, ila sasa nashangaa nyinyi mtu au nchi ya uislam ikikosea na kufanya mauwaji its okey kwasababu tu ni Waislam.

Syria imeuwa watu wangapi na Israel imeuwa wangapi? Au Boko imeua watu wangapi?

Hatuwezi kutetea Israel eti kwasababu sisi ni wakristo, Sisi ni wakristo kwasababu ya kupinga mabaya thats all.

Na siwezi kuwa mnafiki kwasababu mimi ni mkristo, unafiki utakuwa wangu kwasababu ya nafsi yangu na nikiwa mnafiki mzandiki ni ujuha maana nimepewa akili ya kupambanua zuri ni lipi na baya ni lipi.

Waisrael na Wapalestina wanapigana haijalishi nanikashindwa ila huo ndio Ukweli wanapigana, Ningeilaani Israel kama ingekuwa inapiga Hamas bila na wao kurushiwa maloketi hapo ningewaraani.

Laani mauaji ya aina yoyote iwe Israel au Palestina....Ombea amani na maridhiano kati ya pande hizi mbili...Huo ndo Ukristo..
 
Psalm 122:6 Pray for the peace of Jerusalem: "May those who love you be secure.

I am a black Jew according to Jesus' blood covenant and I support Israel.

...amen mdogowangu,amen amen,..
 
If Arabs lower their arms, there will be peace: BUT if Israel lower it's arms, it will cease to exist...

hii ndiyo kanuni na ndiyo maana mataifa mengi hata UN huwa kimya when Israel pounds Hamas and the like.

Hapo hakuna cha dini wala nini....it is the right to exist
 
NAdhani Elizabeth Dominic amekuwa carried away na mafuriko ya arabic propaganda.
Hawajui Hamas vizuri, na HAwajui waarabu vizuri?
Atazame kinachofanyika Iraq sasa hivi kwanza ili awajue waarabu vizuri.
kisha apitie katiba ya HAmas ili awajue Hamas vizuri?(kwa ku-download)

Utingo
amesema kitu hiki
If Arabs lower their arms, there will be peace: BUT if Israel lower it's arms, it will cease to exist...hii ndiyo kanuni na ndiyo maana mataifa mengi hata UN huwa kimya when Israel pounds Hamas and the like.

Hamas na serikali ya palestina ni kitu kimoja? Hamas wanalenga kuua raia wa Israel a sio kupigana vita na jeshi la Israel.
Hamas wanawaua na kuwatesa wapalestina waliopo Gaza, ili kuchimba tunnels chini ya nyumba zao.tunnels zile sio za kupitisha nyanya kwenda sokoni zile ni maalumu kwa kufanya Ugaidi kwa waisrael.
Hamas wanawatumia Wapalestina kama shield ili kuepuka majibu ya mashambulizi kutoka Israel.
Mauaji ya Wapalestina ni matokeo ya HAmas kwani ndio wamekuwa wakiwatumia. Hata kuwaua wakiwakataza wasihame maeneo yanayoweza kushambuliwa. Kuna mtoa uzi mmoja aliweka footage hapa ikionesha jinsi hamas wanavyowapiga na kuwatesa raia wa kipalestina wanaotoroka maeneo ya Gaza, mtu mmoja akiwashwa moto kichwani kwa lengo la kumzuia aendelee kubaki maeneo ambayo yatapigwa mabomu na Israel.
All in all Palestina ni ya kulaumiwa kwa kuungana na magaidi. Mauaji ya wapalestina yana mkono wa Wa Hamas.thanx for Hillary Clinton kulitambua hili.
 
If Arabs lower their arms, there will be peace: BUT if Israel lower it's arms, it will cease to exist...

hii ndiyo kanuni na ndiyo maana mataifa mengi hata UN huwa kimya when Israel pounds Hamas and the like.

Hapo hakuna cha dini wala nini....it is the right to exist
wells said mkuu
 
NAdhani Elizabeth Dominic amekuwa carried away na mafuriko ya arabic propaganda.
Hawajui Hamas vizuri, na HAwajui waarabu vizuri?
Atazame kinachofanyika Iraq sasa hivi kwanza ili awajue waarabu vizuri.
kisha apitie katiba ya HAmas ili awajue Hamas vizuri?(kwa ku-download)

Utingo
amesema kitu hiki


Hamas na serikali ya palestina ni kitu kimoja? Hamas wanalenga kuua raia wa Israel a sio kupigana vita na jeshi la Israel.
Hamas wanawaua na kuwatesa wapalestina waliopo Gaza, ili kuchimba tunnels chini ya nyumba zao.tunnels zile sio za kupitisha nyanya kwenda sokoni zile ni maalumu kwa kufanya Ugaidi kwa waisrael.
Hamas wanawatumia Wapalestina kama shield ili kuepuka majibu ya mashambulizi kutoka Israel.
Mauaji ya Wapalestina ni matokeo ya HAmas kwani ndio wamekuwa wakiwatumia. Hata kuwaua wakiwakataza wasihame maeneo yanayoweza kushambuliwa. Kuna mtoa uzi mmoja aliweka footage hapa ikionesha jinsi hamas wanavyowapiga na kuwatesa raia wa kipalestina wanaotoroka maeneo ya Gaza, mtu mmoja akiwashwa moto kichwani kwa lengo la kumzuia aendelee kubaki maeneo ambayo yatapigwa mabomu na Israel.
All in all Palestina ni ya kulaumiwa kwa kuungana na magaidi. Mauaji ya wapalestina yana mkono wa Wa Hamas.thanx for Hillary Clinton kulitambua hili.
You are correct
 
If Arabs lower their arms, there will be peace: BUT if Israel lower it's arms, it will cease to exist...

hii ndiyo kanuni na ndiyo maana mataifa mengi hata UN huwa kimya when Israel pounds Hamas and the like.

Hapo hakuna cha dini wala nini....it is the right to exist
Hapo umelenga penyewe Mkuu Utingo
 
Last edited by a moderator:
Read the Bible Young girl. I follow the infallible Word and not otherwise.

It seems uwezo wako umeishia hapo. I sincerely hope that you will have an open mind. Reading the bible and following it got nothing to do with anything Bro..... 😉
 
NAdhani Elizabeth Dominic amekuwa carried away na mafuriko ya arabic propaganda.
Hawajui Hamas vizuri, na HAwajui waarabu vizuri?
Atazame kinachofanyika Iraq sasa hivi kwanza ili awajue waarabu vizuri.
kisha apitie katiba ya HAmas ili awajue Hamas vizuri?(kwa ku-download)

Utingo
amesema kitu hiki


Hamas na serikali ya palestina ni kitu kimoja? Hamas wanalenga kuua raia wa Israel a sio kupigana vita na jeshi la Israel.
Hamas wanawaua na kuwatesa wapalestina waliopo Gaza, ili kuchimba tunnels chini ya nyumba zao.tunnels zile sio za kupitisha nyanya kwenda sokoni zile ni maalumu kwa kufanya Ugaidi kwa waisrael.
Hamas wanawatumia Wapalestina kama shield ili kuepuka majibu ya mashambulizi kutoka Israel.
Mauaji ya Wapalestina ni matokeo ya HAmas kwani ndio wamekuwa wakiwatumia. Hata kuwaua wakiwakataza wasihame maeneo yanayoweza kushambuliwa. Kuna mtoa uzi mmoja aliweka footage hapa ikionesha jinsi hamas wanavyowapiga na kuwatesa raia wa kipalestina wanaotoroka maeneo ya Gaza, mtu mmoja akiwashwa moto kichwani kwa lengo la kumzuia aendelee kubaki maeneo ambayo yatapigwa mabomu na Israel.
All in all Palestina ni ya kulaumiwa kwa kuungana na magaidi. Mauaji ya wapalestina yana mkono wa Wa Hamas.thanx for Hillary Clinton kulitambua hili.

Nadhani umeona na ku conclude moja kwa moja kuwa nimezolewa na propaganda za waarabu which i fail to understand zinahusiana nini na watu wanaouwawa on the ground. I pray and hope kuwa Mungu atakupa uwezo wa ku rise above huu ujinga ujinga wa Uislamu vs Ukristo au Uarabu vs Uyahudi...... Don't waste your energy on such bullshit
 
It seems uwezo wako umeishia hapo. I sincerely hope that you will have an open mind. Reading the bible and following it got nothing to do with anything Bro..... 
It has to do with everything. In fact, the only infallible book is the Bible.
 
I am christian but i dont stand for israel for what is currently happening in Gaza is not something which even a stupid and dumb person can do. You dont have to be Jesus to recognize that children are being killed in Gaza. Jesus Christ save the palestines and burn israel.


Bolshevick from the Red Army
 
Wana dharau and they think they are very special. Hitler kawachoma moto kwenye matanuru yake. Nyerere kawafukuza. Iddie amini kawapa masaa waondoke. Leo hii mnaona jeuri na ujinga wanaofanya. Wanadharau sana hata watu weusi.


Bolshevick from the Red Army
 
Think about peope's lives before you even think of your holly books and religions. Think of children and women and the aged. Think of the bloodshed. Think of the sufferings and bitterness of being a refugee or asylum seeker. Palestines are also human beings and they have got to live happily without fear of rockets.


Bolshevick from the Red Army
 
I am christian but i dont stand for israel for what is currently happening in Gaza is not something which even a stupid and dumb person can do. You dont have to be Jesus to recognize that children are being killed in Gaza. Jesus Christ save the palestines and burn israel.


Bolshevick from the Red Army

Hapana...Huo sio Ukristo ndugu yangu...Yakupasa kuombea amani ktk mataifa hayo..

God is love....
 
Back
Top Bottom