Eti bless Israel my foot, yani mtu kumuamini ni Mungu ni lazima ai-bless Israel??? Kama namuamini Mungu nasi-bless Israel nakuwa mfuasi wa Lucifer?? Una akili ndogo kuliko mbegu ya haradani!
Kwahiyo yesu huko mbinguni anafurahia yote yanayofanywa na jeshi la Israeli kuua watoto wadogo wasio na hatia?? kwahiyo yesu huko mbinguni anafurahia waafrika walivyobaguliwa na kuteswa na wengine kuuliwa na wayahudi pamoja na polisi wa israeli??? sitaki kukubali yesu analikubali hili!!
Mungu yupi unayemuabudu wewe??? Inawezekana ji-mungu unaloliabudu ni li-mungu linalopenda na kufurahia watoto wadogo wauliwe na jeshi la Israeli, au li-mungu unaloliabudu halina tofauti na li-mungu linalo-ruhusu wauaji wateke Westigate gate ya Kenya na kuua watu ovyo!