I stand with Israel

I stand with Israel

Hao jamaa wamezidi ndugu. Amani tumeomba tumechoka. Wana misifa sasa


Bolshevick from the Red Army
 
Bado wapendeni Wa-Israil wana wanyanyasa Watu Weusi huko kwao.
Mathayo5:43 Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;44 lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.46 Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?47 Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani la ziada? Hata watu wa mataifa, je! Nao hawafanyi kama hayo?48 B asi ninyi mtakuwa wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.


<!--EndFragm-->
 
Mathayo5:43 Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;44 lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.46 Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?47 Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani la ziada? Hata watu wa mataifa, je! Nao hawafanyi kama hayo?48 B asi ninyi mtakuwa wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.


<!--EndFragm-->

okay...mbona wawachukia waarabu kiasi hicho...mostly muslims...huu sio unafiki unaoudhihirisha hapa
 
Mathayo5:43 Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;44 lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.46 Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?47 Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani la ziada? Hata watu wa mataifa, je! Nao hawafanyi kama hayo?48 B asi ninyi mtakuwa wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.


<!--EndFragm-->

Umenena vyema..... I hope you understand the true meaning of those words
 
Umenena vyema..... I hope you understand the true meaning of those words

jidanganye ilo andiko analisoma kwa makengeza au limespecify majirani ni wepi...:wacko: kwake haliwahusu waarabu au waislamu hata kama majirani zake...amelitoa kuhalalisha kuunga mkono chuki na ushenzi wa waisrael...

unafiki ni kazi sana...
 
Huko south america ambako kuna wakristo wengi na wamekata uhusiano na israel halafu jitu jeusi kama mkaa linakenua humu I stand with israel, ni ulimbukeni tu unakusumbua mtoa post na wengine wenye ulimbukeni kama wewe wasiotaka kufikiria
 
Wakuu mm ni mkristo ila kwa kitendo inachofanya israel ni cha kulaan vikal inauw watu wasiokuwa na hatia watoto mpaka vikongwe
 
I stand with israel
Nchi ya Ahadi
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
I stand with Israel.
I stand for israel.eti wanaua watoto wadogo wasio na hatia?kwani wale binti wa Nigeria walikuwa na hatia?piga kabisa hao.
Kwanini Hamas waliwaua wale vijana wa ki Israel?
Yoyote yule ambae haoni unyama ambao Wapalestina wanawafanyia Waisraeli kila siku ni juha na mnafiki sana!
I support Israel and not those cowards who are using children and women as shield.
Kilimanjaro (Tanzania) stands with ISRAEL. The peak of Africa, its people and its land, loves ISRAEL.
nenda israel ukafukuzwe kama mbwa. tatizo wakristo weng mna mawazo mgando kuhusu israel mnaiabuduu, mijitu meusi tii ambao wayahudi wanamuona mbwa but yeye anajipendekezaaa. ungejua jews they dnt gv a damn about any human bein but themselves.

....iwaendee na wajahidina walio na mawazo mgando kuhusu arabs and see them as their little gods. ambao wanatetea kila ouvu kisa unafanywa na waarab au waislam wenzao.​

jews they dnt give a damn even about jesus christ or christians..... wake up you morons.

let our religious be peace and righteous, who ever do harmful things should be blamed no matter what is races/nationality or religion.



 
Nadhani umeona na ku conclude moja kwa moja kuwa nimezolewa na propaganda za waarabu which i fail to understand zinahusiana nini na watu wanaouwawa on the ground. I pray and hope kuwa Mungu atakupa uwezo wa ku rise above huu ujinga ujinga wa Uislamu vs Ukristo au Uarabu vs Uyahudi...... Don't waste your energy on such bullshit
Elizabeth Dominic wewe una-tumia mgongo wa Dini ya kikristo kuhalalaisha ajenda.
fahamu pale una-dili na Uislamu na Uyahudi. Na usisahahu atakaye laani kizazi cha Israel atalaanika.Na atakaye kibariki atabarikiwa.Na hiki kipande kipo kwenye ukristo tangu abraham. Waarabu leo hii wanapigika na kusota kwasababu ya kuilaani Israel. Huwezi kujifanya mnafiki ukafanikiwa-hata siku moja.
Downfall ya US tangu mwaka 90 imetokana na kuikandamiza Israel ikubali masharti hewa ya haki za palestine kwenye ardhi ya waisrael.
NB: Koran imesema na Bibilia imesema, na usisahau Judaism pia... inasema ya Kwamba Jerusalem ni eneo maalum kwa wa-Israel.na sio vinginevyo.KAma wewe ni Mkristo na hulioni hili ni mnafiki. Na kumbuka Hakuna dhambi isiyo na malipo: watanzania hawakustahili kupigana vits ya Kagera.Hata unafiki ni dhambi!

mf. Nyerere alikataa kuisaidia Israel isisaidiwe kuokoa watu wake waliotekwa na wapalestina na kupelekwa Uganda, lakini Kenya waliwasaidia Israel kwenye ile operation na ni wazi kuwa Kenya walibarikiwa. Baadaye Nyerere alikuja kukiona cha mtema kuni kutoka kwa Idd Amin. Hakuna dhambi isiyo na malipo . think again: think large!t think huge
 
Kwanini ukiwa Muislam unashabikia Waarabu?

Waisrael hawaamini ukiristo wala hawamuamn yesu wenu lakini nyinyi hamjielewi yaani nyinyi kwa kifupi mpo against uislam na si vinginevyo na nyinyi ni watu wakusikitiwa mno hamjui pakushika
 
ugomvi huu wala si wa kidini. e wajua sababu ya ni kwa nini waingereza, USA na washirika wao wote hawataki kuonna PLO na HAMAS wakiungana? tusidanganywe na hawa mataifa makubwa. masimulizi mengi ya ugomvi wa hawa wapalestina na waisraeli ni kitendo cha kuend elea kuwajaza hao wayahudi toka mataifa yao na kuwapush away wapalestina (wana mchanganyiko wa wakristo na waislamu). wanadai kutambulika kama taifa lao na si kama authority kama waisrael wanavyodai. pata mtu sahihi akueleze ni nini hasa source ya mzozo. si dini kaa vyombo vya habari vya kimagharibi vinavyodai
 
Elizabeth Dominic wewe una-tumia mgongo wa Dini ya kikristo kuhalalaisha ajenda.
fahamu pale una-dili na Uislamu na Uyahudi. Na usisahahu atakaye laani kizazi cha Israel atalaanika.Na atakaye kibariki atabarikiwa.Na hiki kipande kipo kwenye ukristo tangu abraham. Waarabu leo hii wanapigika na kusota kwasababu ya kuilaani Israel. Huwezi kujifanya mnafiki ukafanikiwa-hata siku moja.
Downfall ya US tangu mwaka 90 imetokana na kuikandamiza Israel ikubali masharti hewa ya haki za palestine kwenye ardhi ya waisrael.
NB: Koran imesema na Bibilia imesema, na usisahau Judaism pia... inasema ya Kwamba Jerusalem ni eneo maalum kwa wa-Israel.na sio vinginevyo.KAma wewe ni Mkristo na hulioni hili ni mnafiki. Na kumbuka Hakuna dhambi isiyo na malipo: watanzania hawakustahili kupigana vits ya Kagera.Hata unafiki ni dhambi!

mf. Nyerere alikataa kuisaidia Israel isisaidiwe kuokoa watu wake waliotekwa na wapalestina na kupelekwa Uganda, lakini Kenya waliwasaidia Israel kwenye ile operation na ni wazi kuwa Kenya walibarikiwa. Baadaye Nyerere alikuja kukiona cha mtema kuni kutoka kwa Idd Amin. Hakuna dhambi isiyo na malipo . think again: think large!t think huge

Wewe ni jinga la majijnga kwenye quran wapi imesema israel kwao ni jerusalem?
 
Elizabeth Dominic wewe una-tumia mgongo wa Dini ya kikristo kuhalalaisha ajenda.
fahamu pale una-dili na Uislamu na Uyahudi. Na usisahahu atakaye laani kizazi cha Israel atalaanika.Na atakaye kibariki atabarikiwa.Na hiki kipande kipo kwenye ukristo tangu abraham. Waarabu leo hii wanapigika na kusota kwasababu ya kuilaani Israel. Huwezi kujifanya mnafiki ukafanikiwa-hata siku moja.
Downfall ya US tangu mwaka 90 imetokana na kuikandamiza Israel ikubali masharti hewa ya haki za palestine kwenye ardhi ya waisrael.
NB: Koran imesema na Bibilia imesema, na usisahau Judaism pia... inasema ya Kwamba Jerusalem ni eneo maalum kwa wa-Israel.na sio vinginevyo.KAma wewe ni Mkristo na hulioni hili ni mnafiki. Na kumbuka Hakuna dhambi isiyo na malipo: watanzania hawakustahili kupigana vits ya Kagera.Hata unafiki ni dhambi!

mf. Nyerere alikataa kuisaidia Israel isisaidiwe kuokoa watu wake waliotekwa na wapalestina na kupelekwa Uganda, lakini Kenya waliwasaidia Israel kwenye ile operation na ni wazi kuwa Kenya walibarikiwa. Baadaye Nyerere alikuja kukiona cha mtema kuni kutoka kwa Idd Amin. Hakuna dhambi isiyo na malipo . think again: think large!t think huge

Nina maneno matatu tu

WEWE NI MPUMBAVUU
 
Mathayo5:43 Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;44 lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.46 Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?47 Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani la ziada? Hata watu wa mataifa, je! Nao hawafanyi kama hayo?48 B asi ninyi mtakuwa wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.


<!--EndFragm-->
Kuna Mkristo yoyote anaye wapenda Waarabu? Wangelikuwa wayahudi ni watu wazuri duniani kwanini walimuuwa Bwana YESU?
 
Back
Top Bottom