Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,647
Ninyi watu mmekaririshwa vibaya hao ni wahamiaji Haramu hata hapa huwa wanakamatwa wakikamatwa ndiyo iwe sababu ya kuilaum Israel????Huwezi kuweka picha hapa ya watu wamewekwa chini ya ulinzi na kutudanganya kuwa Israel inaonea watu lete habari ya picha hiyo yawezekana yakawa Magaidi yametumwa.
Mkuu we si unasema lile ni Taifa la mungu, wale ni watu wa mungu? tena hao wakimbizi watakuwa ni wakristo wakiomba "hifadhi dhidi ya vita?Tofautisha uhamiaji haramu na KUOMBA ASYLUM.... watu weusi wanabaguliwa wewe na ni maombi ya ukimbizi....
sasa kama hawabaguliwi kwa rangi yao huyu nae unasemaje?....masikini wanateseka watu weusi huko waonee huruma kidogo....