Kwahiyo unadhani kuwa waisrael ni wakristo??!!
Walas Ba njoo uone huku ninachokizungumza.
Kwa nini dini hizi zinzalisha wafuadi wanaoshabikia mauaji?
Kwa nini dini hizi zimeshindwa kuzalisha upendo kwa watu wote bila kujali muyahudi au mpalestina?
Mauaji yakifanywa na waisrael, wakristo wanashabikia kwa kudai eti ni wakristo wenzao, mauaji yakifanywa na Al shabaab, waislamu wanashabikia kwa kudai eti ni waislamu wenzao, kwa nini zimeshindwa kufundisha watu kuwa dhambi ni dhambi bila kujali imefanywa na nani?
Ninaposema kuwa dini hizi zimeshindwa, namaanisha mambo kama haya.
I stand with Israel. Well, look at that! Gaza corpses caught moving when they dont know the cameras are on themEti bless Israel my foot, yani mtu kumuamini ni Mungu ni lazima ai-bless Israel??? Kama namuamini Mungu nasi-bless Israel nakuwa mfuasi wa Lucifer?? Una akili ndogo kuliko mbegu ya haradani!
Kwahiyo yesu huko mbinguni anafurahia yote yanayofanywa na jeshi la Israeli kuua watoto wadogo wasio na hatia?? kwahiyo yesu huko mbinguni anafurahia waafrika walivyobaguliwa na kuteswa na wengine kuuliwa na wayahudi pamoja na polisi wa israeli??? sitaki kukubali yesu analikubali hili!!
Mungu yupi unayemuabudu wewe??? Inawezekana ji-mungu unaloliabudu ni li-mungu linalopenda na kufurahia watoto wadogo wauliwe na jeshi la Israeli, au li-mungu unaloliabudu halina tofauti na li-mungu linalo-ruhusu wauaji wateke Westigate gate ya Kenya na kuua watu ovyo!
Nop sijamaanisha kitu kama hicho but wengi wa wakristo wanaamini hii ---- ya kwamba ni taifa teule!! datz it., Nadhani umenielewa now.
Tunachotakiwa kupigania si udini UWE Muslim, Uwe christian tunachokitaka ni UBINADAMUU....
Mimi sipendelei Japo ni Muslim lkn Nina Baadhi ya ndugu zangu Uncles, Babu Christians nawapenda pia singependa wapigane...Pia Wapenzi tunapata wengine Christians / Muslims tuishi kwa amani. Americans ndio wachokozi Believe or NOT ktk mataifa mengi. Viongozi wengi wa nchi zilizo endelea, ni devils amini usiamini...Wanaamini dini ya Shetani wanataka woote twende huko...
View attachment 177617
Hivi msingi wa ugomvi wa israeli na palestina ni dini au kukaliwa kwa aridhi ya watu?
Labda uelewe hivi dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu,lakini wokovu ni mpango wa Mungu kumuokoa mwanadamu aliyeangushwa na dhambi, kwa wakristo kupitia Yesu.
Kimsingi vurugu si mafundisho ya dini,lakini ile hali ya asili ya binaadam kujiona yu bora zaidi me naona ndo inayotuleta apa.
Sijui kama kunamafundisho ya chuki lakini nadhani kuna tatizo katika mapokeo ya mafundisho haya muda mwingine hata wafundishaji nao wangine hawako poa sana.
Lakin pia kila dini ina misingi yake,sasa inapotokea dini inaanza ktk misingi ya hovyoo utegemei kuona haya mkuu? Muda mwingine misingi inaaribiwa kweny safari.
Muda mwingine tuone kwanza uhalali wa hizo dini katika kazi za kumtafuta au kumtukuza Mungu kwanza ,kabla ya kugeneralize kwa kusema dini zina leta fujo.
Ukipata dini ambayo ni kwwli inataka kumuona Mungu sidhani kama inaweza fundisha chuki!
I stand with Israel. Well, look at that! Gaza ‘corpses' caught moving when they don't know the cameras are on them
<header class="entry-header" style="color: rgb(102, 102, 102); font-family: 'Lucida Grande', Arial, 'Lucida Sans Unicode', sans-serif; line-height: 19.5px; background-color: rgb(239, 239, 239);"></header>
Hivi msingi wa ugomvi wa israeli na palestina ni dini au kukaliwa kwa aridhi ya watu?
Labda uelewe hivi dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu,lakini wokovu ni mpango wa Mungu kumuokoa mwanadamu aliyeangushwa na dhambi, kwa wakristo kupitia Yesu.
Kimsingi vurugu si mafundisho ya dini,lakini ile hali ya asili ya binaadam kujiona yu bora zaidi me naona ndo inayotuleta apa.
Sijui kama kunamafundisho ya chuki lakini nadhani kuna tatizo katika mapokeo ya mafundisho haya muda mwingine hata wafundishaji nao wangine hawako poa sana.
Lakin pia kila dini ina misingi yake,sasa inapotokea dini inaanza ktk misingi ya hovyoo utegemei kuona haya mkuu? Muda mwingine misingi inaaribiwa kweny safari.
Muda mwingine tuone kwanza uhalali wa hizo dini katika kazi za kumtafuta au kumtukuza Mungu kwanza ,kabla ya kugeneralize kwa kusema dini zina leta fujo.
Ukipata dini ambayo ni kwwli inataka kumuona Mungu sidhani kama inaweza fundisha chuki!
Nop sijamaanisha kitu kama hicho but wengi wa wakristo wanaamini hii ---- ya kwamba ni taifa teule!! datz it., Nadhani umenielewa now.
I support ISRAEL and not those cowards HAMAS WHO ARE USING CHILDREN AS SHIELD AND TELL LIESMungu afurahii mauaji hata siku moja wewe na Shetani ndio mnafurahia mauaji...Mungu hawezi kufurahia mauwaji ya watoto wasio na hatia, wamama wajawazito wasio na hatia.....Bora wangekuwa wanakufa walioanza vurugu tuu lkn wasio na hatia viumbe waliozaliwa wanakufa....Kwanza kumbuka hata Israel kuna waislam tena wengi tuu...Sasa sijui unaposema Israel sikuelewiii....
Ningependa watu kwenye mitandao wawe makini kuepuka kusimamia upande mmoja kwani ni kuweka chuki....Wewe ukisema unasimamia Israel na mimi nikisema nasimamia Palestina unafikiri itatokea nini...Suluhu itakuwepo? Akili zenu zinatakiwa kuchekechwa na busara kutumiwa...
Naomba Wakristo wanielimishe: kwa nini unaona ukiwa Mkristo una wajibu wa kuisapoti Israeli? Waisraeli ni Jews ambao mnasema ndio waliomwua Yesu, mungu wenu, au mtoto wa mungu wenu. Sasa inakuwaje mnawapenda watu hawa? It does not make sense to me. Could someone educate me?
Kwanini ukiwa Muislam unashabikia Waarabu?
ni kasumba tu ambazo zipo
kwenye dini zote. Wakristo wengi wanashabikia Israel, ingawa Israel kuna
wakristo wachache sana. Vilevile waislam wengi wanashabikia waarabu na
magaidi.
Walas
Ba njoo uone huku ninachokizungumza.
Kwa nini dini hizi zinzalisha wafuadi wanaoshabikia mauaji?
Kwa nini dini hizi zimeshindwa kuzalisha upendo kwa watu wote bila
kujali muyahudi au mpalestina?
Mauaji yakifanywa na waisrael, wakristo wanashabikia kwa kudai eti ni
wakristo wenzao, mauaji yakifanywa na Al shabaab, waislamu wanashabikia
kwa kudai eti ni waislamu wenzao, kwa nini zimeshindwa kufundisha watu
kuwa dhambi ni dhambi bila kujali imefanywa na nani?
Ninaposema kuwa dini hizi zimeshindwa, namaanisha mambo kama
haya.