I stand with Israel

I stand with Israel

Ili kudhibitisha hiyo ni PHOTOSHOP tuambie hiyo picha inasemaje iwekee maneno ili na sisi tuelewe huyo askari na hao wengine ilikuwaje???
th
 
Mimi nilitarajia utaniambia udhalim uliofanywa na Israel mimi sijasemea mambo ya dini wala ukristo
Hizi ligi huwa sizipendi.....watu wasio na hatia wanapoteza maisha kuwa na conciousness ya Kristo na uangalie zaidi ya mipaka ya kidini
 
Ninyi watu mmekaririshwa vibaya hao ni wahamiaji Haramu hata hapa huwa wanakamatwa wakikamatwa ndiyo iwe sababu ya kuilaum Israel????Huwezi kuweka picha hapa ya watu wamewekwa chini ya ulinzi na kutudanganya kuwa Israel inaonea watu lete habari ya picha hiyo yawezekana yakawa Magaidi yametumwa.
Wewe inaonyesha hujasafiri hata kidogo. Mtu mwenye akili zake timamu hawezi kusema kama unavyosema wewe. Kuwapenda Wa-Israil ni sawa sawa na Mtu kumpenda Mnyama Simba na kumuweka ndani ya nyumba yako iko siku maoja atakutafuna akule nyama yako amka mkuu tembea ujionee mwenyewe Hao Wa-Israil unyama wao ndio maana Adolph Hitler aliwachoma moto kama kuku alijuwa hawa ni watu hatari katika hii dunia.
 
Huyu echolima ni udivi. Hivi we umekalilishwa kuwa waisrael ni wema siku zote? Huo ukristo wa kukalili peleka nyumbani kwenu kalimie mihogo.


Bolshevick from the Red Army
 
Yes, it most definitely is.




Supporting Hamas is Anti-Semitic
Criticizing specific Israeli policies is certainly not anti-Semitic. Indeed many Israelis are critical of some of their nation's policies. But support for Hamas is anti-Semitic, because Hamas' policies and actions are based, at their core, on...
GATESTONEINSTITUTE.ORG|BY ALAN M. DERSHOWITZ




 
Naona na wewe unajitahidi kuwakaririsha watu wawe na chuki na Israel,wanaokaririshwa watakuelewa lakini ambao wako huru kimawazo hawataelewa hii ngojera yako unatakiwa ueleze pande zote za shilling na si tu ku-Blast sehemu moja kama ninyi mnavyofanya,Kile kipindi cha mwanzo cha OPERATION PROTECTIVE EDGE Balozi wa Palestina kwenye umoja wa mataifa aliliandikia Barua Baraza la usalama la umoja wa mataifa kulitaka kulaani vitendo vya Israel huko Gaza,Barua hiyo ilikuwa na kurasa 70 Baraza lilipoipitia hiyo barua hiyo haikusema chochote kuhusu kutekwa kwa wale vijana watatu wa kiyahudi,Haikusema chochote kuhusu Maroketi yanayorushwa kuelekea Israel na haikusema chochote kuhusu wanawake na watoto wanaofanywa HUMAN-SHIELD na HAMAS,Na haikusema chochote kuhusiana na HAMAS kujenga mahandaki(TUNNELS)ya kwenda kutobokezea Israel,Haikusema chochote kuhusiana na HAMAS kuweka silaha kwenye shule,hospital za umoja wa mataifa na UNRWA na mwisho haikusema chochote kuhusina na HAMAS watuhumiwa wakuu katika mgogoro huu Baraza walipokosa vitu hivyo katika Barua hiyo walibaki wanajiuma-uma tu hakuna azimio lolote lililopitishwa kila mtu alimlaum huyu na mwingine huyo.Tukija kwenye suala hili hapa ilikuwa vizuri mambo yote yakawekwa wazi hata asiyejua chanzo anaeleweshwa ili hata unapotoa shutuma zako watu wanakuwa wanaelewa unashutuma kwa sababu hii,sasa hapa kila mmoja anaweka mipicha ya maiti ya vitoto mara mipicha ya maandamano huko Israel mara Askari kamwelekezea bunduki mtoto,ali mradi kupandikiza chuki ambazo hazisaidii kitu kama mna nia ya dhati kuelezea Ubaya wa ISRAEL tuambieni kwa uwazi yawezekana hata sisi ambao hatuelewi tutawaelewa.Kuhusu Hitler kuwachoma moto wayahudi hii kitu watu wanashabikia sana hata Idd Amin naye alikuwa anashabikia sana Hitler kuwachoma wayahudi sasa issue hapa je alimaliza tatizo????na yeye yuko wapi????ldd Amin yuko wapi???Chavez yuko wapi??? lakini Israel ipo tu hata sasa, hata mimi na wewe tutaiacha,Hakutakuwa tena na HOLOCOST.Kuhusu mimi kutembea siwezi kujisifu ila tu angalia PROFILE yangu uone kazi yangu je inaniruhusu kutembea au la.
Wewe inaonyesha hujasafiri hata kidogo. Mtu mwenye akili zake timamu hawezi kusema kama unavyosema wewe. Kuwapenda Wa-Israil ni sawa sawa na Mtu kumpenda Mnyama Simba na kumuweka ndani ya nyumba yako iko siku maoja atakutafuna akule nyama yako amka mkuu tembea ujionee mwenyewe Hao Wa-Israil unyama wao ndio maana Adolph Hitler aliwachoma moto kama kuku alijuwa hawa ni watu hatari katika hii dunia.
 
Kuna uwezekano mkubwa wewe ni Mganga wa kienyeji umejuaje kuwa kwetu tunalima Mihogo????Mimi nilishasema wakristo si watu wa kukaririshwa ili wawachukie wengine,Waisrael si wema siku zote ni kama nchi zingine tu yes kuna makosa wanafanya,tatizo lenu mmeanza kampeni kushawishi watu kwa kueleza ubaya wao tu bila kueleza na upande mwingine hapo tu nd mnakosea,wale wakukaririshwa leo hii ukimuuliza akueleze kuhusu mgogoro wa GAZA hajui chochote yeye amefata tu Sheikhe wake alivyosema na alipoambiwa kwenda kushiriki maandamano ya kulaani Israel alifata mkumbo bila hata kujua chanzo Thanks God sisi wakristo hatuko hivyo,Hata kama TUTU ataandamana kupinga Israel sisi tunaamini hayo ni mawazo yake hatuwezi kunwingilia sisi hatufati mkumbo Iran wameandamana na sisi tuandamane hiyo haipo kwetu.
Huyu echolima ni udivi. Hivi we umekalilishwa kuwa waisrael ni wema siku zote? Huo ukristo wa kukalili peleka nyumbani kwenu kalimie mihogo.


Bolshevick from the Red Army
 
Ili kudhibitisha hiyo ni PHOTOSHOP tuambie hiyo picha inasemaje iwekee maneno ili na sisi tuelewe huyo askari na hao wengine ilikuwaje???

sema na hii ni ya kutengeneza,

 
Last edited by a moderator:
Hayo mambo yako katika majeshi yote hata hapa TZ hayo yapo tu na haimaniishi kuwa ndo certificate ya ku-HATE watu,mimi nilikuambia uweke maneno kwa ilie picha niliyoku-quote na humu ulishaweka picha nyingi sana za PHOTOSHOP na ukaziwekea maneno wewe mwenyewe ili tu kujenga chuki hata na kwenye picha hii uliyoweka sasa hivi si sababu ya kuwachukia watu mbona hata hapa kwetu yapo???ila akifanya Israel mnapiga kelele-you are Biased
sema na hii ni ya kutengeneza,

 
Last edited by a moderator:
Kuna waafrika wengi tu walifuata utaratibu wanaishi huko na kufanya kazi,hebu jaribu wewe kwenda nchi yeyote ya kiarabu uone kitakachokutokea

hawa ni wayahudi weusi wenzao wa ethiopia wanabaguliwa kama paka,




 
Last edited by a moderator:

Watu wengi wanawalaumu askari wa Israel kwa kutokujua na wengine kwa sababu ya kukaririshwa maneno na viongozi wao lakini vitendo wanavyofanyiwa wanajeshi hao na vitoto vilivyokaririshwa nchi nyingine haiwezekani hata hapa Tanzania Askari wa hapa ukimletea za kuleta waweza rushiwa kitu kizito chenye ncha kali,au kwa kukuhurumia waweza ng`olewa meno na kucha bila nganzi,angali video hii vitoto vimeshinikizwa viwachokoze askari wa Israel ili wakasirike wavipige na wazazi wao wako wanapiga picha za video ili askari hao watakapowachukulia hatua hiyo video wanarusha Aljazeera na presstv tayari kuonyeshwa Duniani kuwa Israel inanyanyasa watoto lakini ukweli ndiyo huu check mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni Operation Tokomeza ya Israel hata kama ni wa blue kama hawakufuata utaratibu waende kwao,au waende kwenye nchi za kiarabu tena wao wana nchi kubwa sana jiulize kwa nini hawaendi huko?????? wanajua sana unyama wa hao jamaa ndo maana wanalazimisha waende Israel na kwa kuwa nchi yenyewe ni ndogo ni lazima nchi hiyo i-control watu wanaoingia huko na ni haki yao sasa wewe kelele ya nini???
hawa ni wayahudi weusi wenzao wa ethiopia wanabaguliwa kama paka,




 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni Operation Tokomeza ya Israel hata kama ni wa blue kama hawakufuata utaratibu waende kwao,au waende kwenye nchi za kiarabu tena wao wana nchi kubwa sana jiulize kwa nini hawaendi huko?????? wanajua sana unyama wa hao jamaa ndo maana wanalazimisha waende Israel na kwa kuwa nchi yenyewe ni ndogo ni lazima nchi hiyo i-control watu wanaoingia huko na ni haki yao sasa wewe kelele ya nini???

kiziboo mkubwa wewe kubishana na wewe ni kupoteza muda na energy , hujui hata historia ya ethiopia jews au beta israel, unakalia eti ni wahamiaji haramu! wewe Echolima 2013 na Ishmael anaweza kuja jews akakutia kidole mkunduni ukabakia kusema amina, hutaona kosa! ukimpenda mke wako ujue pia na kumkosoa ! done talking to you
 
Last edited by a moderator:
Waliokwisha kutumiwa mara nyingi hawana sera wamebakiza matusi tu na kejeli kwa wengine hata mimi sina uwezo wa kutoa matusi ingawaje nayajua huwezi kunichokoza NIKACHOKOZEKA sana sana naweza kukutumia tumbili wangu aje akusalimie tu, Mimi ninajiamini mimi si kama wewe Pole sana stay-away
kiziboo mkubwa wewe kubishana na wewe ni kupoteza muda na energy , hujui hata historia ya ethiopia jews au beta israel, unakalia eti ni wahamiaji haramu! wewe Echolima 2013 na Ishmael anaweza kuja jews akakutia kidole mkunduni ukabakia kusema amina, hutaona kosa! ukimpenda mke wako ujue pia na kumkosoa ! done talking to you
 
Last edited by a moderator:
Msimamo wangu ni msimamo wa mwalimu Nyerere nasimama na wapalestina wanaokufa in thousands wanawake na watoto.
 
Back
Top Bottom