I stand with Israel

I stand with Israel

Echolima,

Unafikiri kwanini PLO ilikuwa inapewa kiti kwenye OAU kipindi cha harakati za ukombozi?
 
Labda ungeeleza msimamo wako maana wa Nyerere ulikuwa ni wa kuganga njaa tu maana aliwafukuza waisrael baada ya ile so-called FUEL-CRISS 1973 wakati nchi za kiarabu zilipotaka uungwaji mkono na jumuia ya kimataifa kufuatia mzozo wao na Israel nchi hizo ziliamua kutouza mafuta kwa nchi yeyote ambayo ina uhusiano na Israel,Hapo ndipo Mwl.Nyerere aliamua kubwaga manyanga na kuwafukuza maana waarabu walifanya mafuta yao kuwa silaha,kama alikuwa na nia hiyo mbona 1967 hakufanya hivyo????Pili wengi hapa wamekuwa wakisema Wanawake na Watoto wanakufa Swali Who is targeting them and why????na kwa nini wanakufa wanawake na watoto tu maana hao ndiyo wanapigiwa chepuo sana naomba majibu.
Msimamo wangu ni msimamo wa mwalimu Nyerere nasimama na wapalestina wanaokufa in thousands wanawake na watoto.
 
Usimchukie mtu kwa sababu anauchukia Wakristo mueleweshe ikishindikana mwache ni uhuru wake lakini dont HATE any for the sake of God
liangalie kwanza sura mbayaa imejaa laana israel ina hate christians more than you think km akili yako ni memory card basi ina kb1
 
Waliokwisha kutumiwa mara nyingi hawana sera wamebakiza matusi tu na kejeli kwa wengine hata mimi sina uwezo wa kutoa matusi ingawaje nayajua huwezi kunichokoza NIKACHOKOZEKA sana sana naweza kukutumia tumbili wangu aje akusalimie tu, Mimi ninajiamini mimi si kama wewe Pole sana stay-away
well said mkuu: Hii ni dalili ya mtu kukosa hoja: anaamua kutukana. Na ndio maana hata wao Aman hawawezi kuwa nayo.Kwasababu wanapenda kulazimisha hoja na kufuta ukweli. Yeye kwake ameona neno MQ*ndu ni neno kali sana, hivyo akitaja tutapata wasiwasi.Na kukubaliana na hoja zake.Nadhani swali hilo limrudie yeye mwenyewe kwa hao anaowapenda na anashindwa kuwakosoa. Badala ya kuwasaidia wanyonge wachague njia sahihi anawadanganya waendelee kuuwawa.
 
Echolima,

Unafikiri kwanini PLO ilikuwa inapewa kiti kwenye OAU kipindi cha harakati za ukombozi?
PLO wakati huo ilikuwa terrorist organization. Isingestahili kiti. mtu yeyote anayemuunga mkono nyerere anatakiwa afahamu Nyrere alichagua njia ya Aman katika kutafuta UHUru na sio vita.
 
kiziboo mkubwa wewe kubishana na wewe ni kupoteza muda na energy , hujui hata historia ya ethiopia jews au beta israel, unakalia eti ni wahamiaji haramu! wewe Echolima 2013 na Ishmael anaweza kuja jews akakutia kidole mkunduni ukabakia kusema amina, hutaona kosa! ukimpenda mke wako ujue pia na kumkosoa ! done talking to you
You need to grow up and read the relationship between Zahir and Mouhammad.
 
I-stand-with-Israel-16131798601.jpeg
 
Mimi nawashangaa sana mnaposhabikia watu kwa historia zisizotuhusu
Udini sio mzur hata kidogo
Sisi wote ni binadamu
Hakuna aliyezaliwa akajua yeye ni mwislamu au mkristo au myahudi
Hiyo tumeadopt tu mtaani
So kwa nini tusifuate nature tu kwamba sote ni binadamu?
Tukianza Udini tutakuja ukabila na ubaguzi wa Rangi then tutakuwa tunafanya nini?
Kuna mstari mmoja katika kitabu cha babakama kutoka katika Talmud ya waisrael unasema "all Gentiles are non human animals"
So tukianza kubaguana manake unakubali kwamba wewe ni Kama mbuzi au nyani
Je ni kweli?
Tuangalie vizuri ushabiki wetu
Asanteni
 
Huo mstari uliousema si kweli kabisa sema tu na wewe unataka kueneza chuki tu hakuna kitabu chochote cha Mungu kinachosema hivyo wewe unataka kuleta maneno ya mitaani.
Mimi nawashangaa sana mnaposhabikia watu kwa historia zisizotuhusu
Udini sio mzur hata kidogo
Sisi wote ni binadamu
Hakuna aliyezaliwa akajua yeye ni mwislamu au mkristo au myahudi
Hiyo tumeadopt tu mtaani
So kwa nini tusifuate nature tu kwamba sote ni binadamu?
Tukianza Udini tutakuja ukabila na ubaguzi wa Rangi then tutakuwa tunafanya nini?
Kuna mstari mmoja katika kitabu cha babakama kutoka katika Talmud ya waisrael unasema "all Gentiles are non human animals"
So tukianza kubaguana manake unakubali kwamba wewe ni Kama mbuzi au nyani
Je ni kweli?
Tuangalie vizuri ushabiki wetu
Asanteni
 
Mimi nawashangaa sana mnaposhabikia watu kwa historia zisizotuhusu
Udini sio mzur hata kidogo
Sisi wote ni binadamu
Hakuna aliyezaliwa akajua yeye ni mwislamu au mkristo au myahudi
Hiyo tumeadopt tu mtaani
So kwa nini tusifuate nature tu kwamba sote ni binadamu?
Tukianza Udini tutakuja ukabila na ubaguzi wa Rangi then tutakuwa tunafanya nini?
Kuna mstari mmoja katika kitabu cha babakama kutoka katika Talmud ya waisrael unasema "all Gentiles are non human animals"
So tukianza kubaguana manake unakubali kwamba wewe ni Kama mbuzi au nyani
Je ni kweli?
Tuangalie vizuri ushabiki wetu
Asanteni
Unaweza kutuletea huo mstari?
 
Jamaa kaishia mitini hana ubavu wa kuuleta huo mstari,yawezekana huenda alishasikia tu huko mitaani naye akaamini lakini mimi huwa nawashauri wanapoambiwa huko mitaani basi neno hilo walichunguze ili wapate ukweli.
Unaweza kutuletea huo mstari?
 
Question: "What is the land that God promised to Israel?"

Answer: In regards to the land that God has promised Israel, Genesis 15:18 declares to Abraham, “To your descendants I give this land, from the river of Egypt to the great river, the Euphrates.” God later confirms this promise to Abraham’s son Isaac and Isaac’s son Jacob (whose name was later changed to Israel). When the Israelites were about to invade the Promised Land, God reiterated the land promise, as recorded in Joshua 1:4, “Your territory will extend from the desert to Lebanon, and from the great river, the Euphrates—all the Hittite country—to the Great Sea on the west.”

According to Genesis 15:18 and Joshua 1:4, the land God gave to Israel included everything from the Nile River in Egypt to Lebanon (south to north) and everything from the Mediterranean Sea to the Euphrates River (west to east). So, what land has God stated belongs to Israel? All of the land modern Israel currently possesses, plus all of the land of the Palestinians (the West Bank and Gaza), plus some of Egypt and Syria, plus all of Jordan, plus some of Saudi Arabia and Iraq. Israel currently possesses only a fraction of the land God has promised.
 
Sorry Kama ni kitu kipya kwenu
Nilisoma huo mstari Kama miaka mitano iliopita ntachek Kama ntaweza kuupata na kuwaletea kabisa
But traditional scripture ya waisrael ni Talmud Kama mwingine anavosoma biblia pia Ndani ya Talmud Ndio tuna pata babakama then Ndio huo mstari
I will find it soon msipate shida wadau

Mimi napenda tueleimishane sio tubishane
Asante
 
Pia kwa huyo anaezungumzia promised land according to book "international Jews" by Henry ford nilisoma Mwaka 2008 wenyewe hawajui promised land Yao ni ipi zamani walifikiri ni marekani but still waliendelea Kudhani mpaka walipohamia Palestine
 
Kuna mijitu humu labda mpaka moto ushushwe kutoka mbinguni ndo watabadilika kifikra.
Kwa mtu mwenye akili timamu kwa kujifunza namna iron dome inavyofanya kazi basi mtu angetambua haraka sn kwamba Mungu asimamae upande wa Israel sio yule anayeamulu umalaya na kulala na vivulana. Ila kwa kuwa wamekopesha kila kitu ikiwa ni pamoja na ajili zao basi wataendelea kuwa mateka
 
Back
Top Bottom