I miss my ex man so much jamani

I miss my ex man so much jamani

huu Mwandiko huu toka uzi wa bwana wa kibotswana tayari tusha connect dots..

Your aren't in shadow anymore reveal yourself before hatuja disclose ID yako ile ya zamani



Sent from my iphone 6s using Jamii Forum Mobile app
 
Afu mwanamke utasikia oooh i need man anaejielewa sijui nini

Mungu Ni Mwema
 
Huyu mleta mada anaonekana ni msomi ambae hitumii vizuri elimu yake. Sasa anaomba re-match na x wake hadharani wakati ana mtu mwingine yupo humu humu na atajua tu mtu wake ana nyenyere wanamsumbua sana kule kunako. Kibaya zaidi kashajisema yeye ni yule ambae anapanga kuolewa na Mbotswana aliepata mchumba humu JF. Sasa hizo ni akili? Akitoswa na huyo jamaa atajiona ana mikosi? Au misifa ya kutaka kutangaza anaolewa na foreigner? Hajitambui huyu mtu.

Kwa akili yake anaamini kwakuwa kabadili ID basi hatagundulika!!!
 
We ndo malaya unaewaza kuwa mapenzi lazima yahusiane na hela mfyuuu wenzako hatuko hivyo sijawahi hata kuhongwa na mwananaume toka nizaliwe na hata awe na hela vipi siwezi kumuomba nikimuomba ujue namkopa mwisho wa mwezi namrudishia.

Watch your words plssss

Unajianika nyamaza tu utunze heshima kidogo kama ipo, biashara matangazo
 
Aisee kwa mwendo huu bora kubaki peke yangu maana mbotswana anahisi anapendwa anapiga show kumbe mawazo ya mdada kwa E.
 
To my x love
Nakupenda sana E the most handsome man in the world even if hunipendi tena but mimi bado uko moyoni mwangu

Only God knows how much I miss my x sweetheart, E nimekumiss sana just send me even a message to say Hi!

I loved you so much. You were the second man in my love life but you were the first man to show me how love tastes.
Mwanaume wa kwanza kabisa kunifikisha kileleni na hajawahi mwingine na sijui kama atatokea tena wa kunifikisha huko. Wewe ndie mwanaume uliyenifundisha nini maana ya mapenzi & for that I will never ever forget you.

My x love you always come in my dreams at night. I dream kissing you, I dream the way we used to hug on bed till we fall asleep, I dream of your hands caressing my back gently, I dream of your priceless smile.....

You were so kind my love I remember how you stood by my side during the difficult moments I went through. There was a time I wanted to kill myself but your sweet words kept me moving on May be now I could be 6 feet down on earth.

Sweetheart when I met you I was more than mshamba but thanks to you you introduced me to the world of wajanja hahahaa you used to say 'abunuasi' For the first time you I went to mwanza by plane and stayed in that classic Mwanza hotel for 3 days thanks so much honey that meant a lot to me.

Honey I know kuna mambo nilikuudhi mengi sana naomba nisamehe kuna vitu nilisema maybe hukutegemea kama ningesema nisamehe mpenzi x.

Last but not least I want to tell you that I am getting married to a Botswanian yeye pia nimempata humuhumu JF kama nilivyokupata wewe my wedding shall be next year March by the grace of God.
X sweetheart I have not done sex with him yet till he gives out the bride price pls dear x if you happen to see this thread this is what I ask from you:

let me taste your delicious lips for the last time
let me hug you for the last time
let me have that thing in me for the last time I felt it so much honey
let me see your smile and hear your voice for the last time

If you were not married dear x ningekuwa na nguvu hata ya kukupigia simu or to text you but with your situation I can't do anything coz they say what God brought together no man can separate. I respect your marriage & I will not want to be the cause of trouble again to hurt your wife again.

I love you so much and you are always in my prayers.

To my irreplaceable

From your x girl.

NB:
Najua muhusika akiona atajijua tu
Sasa sisi tufanyaje,,mfate alipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa akili yake anaamini kwakuwa kabadili ID basi hatagundulika!!!
Mbona wajanja tumesha fanya analysis ya data zake tumejua mwaka huu kafungua ID mbili moja ya kutafuta mchumba, ya pili ndio hii ya kuomba kupasha kiporo na x wake 'E', na ule uzi wa kushukuru kampata Mswana. Anayo pia ID aliyofungua mwaka 2010. Kuna taarifa zake nyingi tumezipata kutokana na makosa yake ya kiufundi ktk matumizi ya mtandao. Kuna blander amefanya ambazo ameji-expose sana ID zake zote bila kujua/kujuwa. Isingekuwa kuheshimu sheria za JF tungeweka ID zake zote hadi angeshangaa. Nikipata fursa nitamuelimisha kupitia PM kumulekeza wapi kakosea.
 
It worked out nyie endeleeni kumwaga mapovu hapa kama mmekula kiwanda cha omo (in zarithebosslady's voice)
 
Mbona wajanja tumesha fanya analysis ya data zake tumejua mwaka huu kafungua ID mbili moja ya kutafuta mchumba, ya pili ndio hii ya kuomba kupasha kiporo na x wake 'E', na ule uzi wa kushukuru kampata Mswana. Anayo pia ID aliyofungua mwaka 2010. Kuna taarifa zake nyingi tumezipata kutokana na makosa yake ya kiufundi ktk matumizi ya mtandao. Kuna blander amefanya ambazo ameji-expose sana ID zake zote bila kujua/kujuwa. Isingekuwa kuheshimu sheria za JF tungeweka ID zake zote hadi angeshangaa. Nikipata fursa nitamuelimisha kupitia PM kumulekeza wapi kakosea.

Mkuu ni pm ni nani huyu malaya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom