Mimi mpaka naogopa kuoawanawake acha tu tunyanyaswe...
acha tu....
yani unataka kupasha nae kiporo?
unataka uonje biringanya kwa mara ua mwisho...eti kuagana.....serious?
Mimi mpaka naogopa kuoawanawake acha tu tunyanyaswe...
acha tu....
yani unataka kupasha nae kiporo?
unataka uonje biringanya kwa mara ua mwisho...eti kuagana.....serious?
Huyu mleta mada anaonekana ni msomi ambae hitumii vizuri elimu yake. Sasa anaomba re-match na x wake hadharani wakati ana mtu mwingine yupo humu humu na atajua tu mtu wake ana nyenyere wanamsumbua sana kule kunako. Kibaya zaidi kashajisema yeye ni yule ambae anapanga kuolewa na Mbotswana aliepata mchumba humu JF. Sasa hizo ni akili? Akitoswa na huyo jamaa atajiona ana mikosi? Au misifa ya kutaka kutangaza anaolewa na foreigner? Hajitambui huyu mtu.
We ndo malaya unaewaza kuwa mapenzi lazima yahusiane na hela mfyuuu wenzako hatuko hivyo sijawahi hata kuhongwa na mwananaume toka nizaliwe na hata awe na hela vipi siwezi kumuomba nikimuomba ujue namkopa mwisho wa mwezi namrudishia.
Watch your words plssss![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mfyuuu niwache babu weeeUnajianika nyamaza tu utunze heshima kidogo kama ipo, biashara matangazo
usiogope...wapo wemaMimi mpaka naogopa kuoa
Mungu Ni Mwema
Sasa sisi tufanyaje,,mfate alipoTo my x love
Nakupenda sana E the most handsome man in the world even if hunipendi tena but mimi bado uko moyoni mwangu![]()
![]()
Only God knows how much I miss my x sweetheart, E nimekumiss sana just send me even a message to say Hi!
I loved you so much. You were the second man in my love life but you were the first man to show me how love tastes.
Mwanaume wa kwanza kabisa kunifikisha kileleni na hajawahi mwingine na sijui kama atatokea tena wa kunifikisha huko. Wewe ndie mwanaume uliyenifundisha nini maana ya mapenzi & for that I will never ever forget you.
My x love you always come in my dreams at night. I dream kissing you, I dream the way we used to hug on bed till we fall asleep, I dream of your hands caressing my back gently, I dream of your priceless smile.....
You were so kind my love I remember how you stood by my side during the difficult moments I went through. There was a time I wanted to kill myself but your sweet words kept me moving on May be now I could be 6 feet down on earth.
Sweetheart when I met you I was more than mshamba but thanks to you you introduced me to the world of wajanja hahahaa you used to say 'abunuasi' For the first time you I went to mwanza by plane and stayed in that classic Mwanza hotel for 3 daysthanks so much honey that meant a lot to me.
Honey I know kuna mambo nilikuudhi mengi sana naomba nisamehe kuna vitu nilisema maybe hukutegemea kama ningesema nisamehe mpenzi x.
Last but not least I want to tell you that I am getting married to a Botswanian yeye pia nimempata humuhumu JF kama nilivyokupata wewe my wedding shall be next year March by the grace of God.
X sweetheart I have not done sex with him yet till he gives out the bride price pls dear x if you happen to see this thread this is what I ask from you:
let me taste your delicious lips for the last time
let me hug you for the last time
let me have that thing in me for the last time I felt it so much honey
let me see your smile and hear your voice for the last time
If you were not married dear x ningekuwa na nguvu hata ya kukupigia simu or to text you but with your situation I can't do anything coz they say what God brought together no man can separate. I respect your marriage & I will not want to be the cause of trouble again to hurt your wife again.
I love you so much and you are always in my prayers.
To my irreplaceable![]()
![]()
![]()
From your x girl.
NB:
Najua muhusika akiona atajijua tu
Mbona wajanja tumesha fanya analysis ya data zake tumejua mwaka huu kafungua ID mbili moja ya kutafuta mchumba, ya pili ndio hii ya kuomba kupasha kiporo na x wake 'E', na ule uzi wa kushukuru kampata Mswana. Anayo pia ID aliyofungua mwaka 2010. Kuna taarifa zake nyingi tumezipata kutokana na makosa yake ya kiufundi ktk matumizi ya mtandao. Kuna blander amefanya ambazo ameji-expose sana ID zake zote bila kujua/kujuwa. Isingekuwa kuheshimu sheria za JF tungeweka ID zake zote hadi angeshangaa. Nikipata fursa nitamuelimisha kupitia PM kumulekeza wapi kakosea.Kwa akili yake anaamini kwakuwa kabadili ID basi hatagundulika!!!
Yataka moyo, kwa kweli nione mme Au ka boyfriend changu kaandikia ex hivi lazima fire waje kuzima huo moto wakeeboooooo, wanajuana wenyewe
Mbona wajanja tumesha fanya analysis ya data zake tumejua mwaka huu kafungua ID mbili moja ya kutafuta mchumba, ya pili ndio hii ya kuomba kupasha kiporo na x wake 'E', na ule uzi wa kushukuru kampata Mswana. Anayo pia ID aliyofungua mwaka 2010. Kuna taarifa zake nyingi tumezipata kutokana na makosa yake ya kiufundi ktk matumizi ya mtandao. Kuna blander amefanya ambazo ameji-expose sana ID zake zote bila kujua/kujuwa. Isingekuwa kuheshimu sheria za JF tungeweka ID zake zote hadi angeshangaa. Nikipata fursa nitamuelimisha kupitia PM kumulekeza wapi kakosea.