I miss my ex man so much jamani

I miss my ex man so much jamani

kwa staili hii ya wanawake lazima wanamme wamtafute MOLA kabla na baada ya kuoa..
 
Huu mwandiko wa hii sredi sio wa kike...

Naona mcharazo wa lijamaa limeamua kutuzingua...
 
Huyu mleta mada anaonekana ni msomi ambae hitumii vizuri elimu yake. Sasa anaomba re-match na x wake hadharani wakati ana mtu mwingine yupo humu humu na atajua tu mtu wake ana nyenyere wanamsumbua sana kule kunako. Kibaya zaidi kashajisema yeye ni yule ambae anapanga kuolewa na Mbotswana aliepata mchumba humu JF. Sasa hizo ni akili? Akitoswa na huyo jamaa atajiona ana mikosi? Au misifa ya kutaka kutangaza anaolewa na foreigner? Hajitambui huyu mtu.
Waacheni wajitafutie faraja za kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu kuna watu wamechanganyikiwa jamani. Juzi tu huyu ' dada' Nrs Sam kadai amepata mume humu na ametukaribisha kwenye mahari yake Tuangoma Kigamboni, leo anakuja andai anan-miss ex wake. Au mchumba kaghairi kama alivyoghairi ex waje?

Vv
 
Ni njaa tu sio kingine, hakuna hela umalaya uliojificha sasa inakuwa wazi...
We ndo malaya unaewaza kuwa mapenzi lazima yahusiane na hela mfyuuu wenzako hatuko hivyo sijawahi hata kuhongwa na mwananaume toka nizaliwe na hata awe na hela vipi siwezi kumuomba nikimuomba ujue namkopa mwisho wa mwezi namrudishia.

Watch your words plssss
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom