I miss my ex man so much jamani

I miss my ex man so much jamani

Mbona wajanja tumesha fanya analysis ya data zake tumejua mwaka huu kafungua ID mbili moja ya kutafuta mchumba, ya pili ndio hii ya kuomba kupasha kiporo na x wake 'E', na ule uzi wa kushukuru kampata Mswana. Anayo pia ID aliyofungua mwaka 2010. Kuna taarifa zake nyingi tumezipata kutokana na makosa yake ya kiufundi ktk matumizi ya mtandao. Kuna blander amefanya ambazo ameji-expose sana ID zake zote bila kujua/kujuwa. Isingekuwa kuheshimu sheria za JF tungeweka ID zake zote hadi angeshangaa. Nikipata fursa nitamuelimisha kupitia PM kumulekeza wapi kakosea.
Mtakaa sana
 
you aren't the one my Botswana man never visits jf often he is always busy reading signals in forex trade to make millions unless he has multiple accounts coz I only know one account.

By the way if you are the one forgive me hubby to be I just wanted to say goodbye to my x before I completely come to you
Duh kumbe wazee wa Forex tunaliwa vyetu. OMG!
 
Mi niliwahi kukaa zimbabwe na South Africa 90% ya wanaume wa huko hawajatahiriwa na kwa jinsi unavyooneka wewe .... sijui kama kutakuwa na Ndoa hapo baada ya muda si mrefu.

Any way all the best
 
Mi niliwahi kukaa zimbabwe na South Africa 90% ya wanaume wa huko hawajatahiriwa na kwa jinsi unavyooneka wewe .... sijui kama kutakuwa na Ndoa hapo baada ya muda si mrefu.

Any way all the best
Wanaume wa huko hawana vibamia kama wanaume wa tz 99.9% ya wanaume wa bongo ni vibamia tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom